Mkurugenzi Mpya TPA, Bw. Erick Benedict Hamis amewahi kufaulu katika lipi?

Mkurugenzi Mpya TPA, Bw. Erick Benedict Hamis amewahi kufaulu katika lipi?

Kama yule Jamaa waTPDC Mzee Baba asingempa point za Mezani Kigogo hata kama aliteleza, angejua ku balance juu kwa juu kama alivyofanya kwa Makonda

'…Mimi ukinipangia ndio umeharibu…sipangiwi mimi…'

Mwamba yule hana Sub kwa miaka 50 ijayo
Ndio maana magufuli alikuwa jeuri na kuwajibu shombo maana watanzania mna midomo sana.
 
Ohooo mama amewaskia wapenda maendeleo ya Nchi, kama mtu Hana CV nzuri piga chini
 
!
Kama umetumia takwimu za awamu ya Tano nakukumbusha hata Bodi ya Mikopo ilitoa gawio japo kuna watu walikuwa wamekosa mikopo ,ATC walitoa hadi gawio kumbe imepigwa 'tanganyika jeki' ya Mabilion
 
vp bado hujaridhika tu,hizi nafasi hazipo kwa ajili ya watu flani bali yeyote anayefaa na mweye uwezo kwa mamlaka ya mwenye kuteua
 
Wakosoaji wanatamani wao ndio wateuliwe ila na mimi ningependa kufahamu zaidi ya kutukana mitandaoni ni nini wakosoaji hawa WA kila jambo wamelifanyia Taifa hili.

Labda wanataka wapate uteuzi kwa umahiri wa kukashifu mitandaoni.
Ni hao hao wakosoaji unaowadharau ndio walikuwa wa mwanzoni kuibua issue ya dogo wa Evening Class from unknown institution kuteuliwa kuwa DG wa TPDC, na Samia, unayedhani ana mawazo kama yako, hatimae akatengua uteuzi bila kujali kama alitengua kutokana na influence ya hao unaowaona "wanatamani wangeteuliwa wao" lakini huo ni ujumbe tosha kwako kwamba watu wanakosoa huku wakifahamu nini wanakosoa!
 
Wakosoaji wanatamani wao ndio wateuliwe ila na mimi ningependa kufahamu zaidi ya kutukana mitandaoni ni nini wakosoaji hawa WA kila jambo wamelifanyia Taifa hili.

Labda wanataka wapate uteuzi kwa umahiri wa kukashifu mitandaoni.
Pia nasi tunatamani kujua nawe ni upi mchango wako kwa taifa.
 
Wana midomo kwa sababu ni nchi yao na wao raia ndio wanalipa mishahara ya watumishi wote wa umma. Ni haki yao kabisa kuwa na midomo sana.
Miruzi mingi humpoteza mmbwa
 
nimefurahi pamoja na kusikitika sana
huyu mwamba nimekua nafatilia sana ike Tasac jinsi walivoboresha mausafiri ya meli huko sehem mbalimbal na kufufua na kujenga meli mpya.
sasa hiv watu bukob via mwanza kwa meli raha zako unafika huku umelala.
nasikitika sana kukosa safar za meli Dar Tanga Mtwara.waliwah kusem ndio mpango unaokuja.ila ndio bas tena sijui.
Tasac wamefanya kazi kubwa sana
 
Wakosoaji wanatamani wao ndio wateuliwe ila na mimi ningependa kufahamu zaidi ya kutukana mitandaoni ni nini wakosoaji hawa WA kila jambo wamelifanyia Taifa hili.

Labda wanataka wapate uteuzi kwa umahiri wa kukashifu mitandaoni.
Stroke acha jazba
 
Ndio maana magufuli alikuwa jeuri na kuwajibu shombo maana watanzania mna midomo sana.
Ujeuri umemfikisha wapi? Unayafahamu waliyokuwa wanayafanya wateule wake?. Wewe kama limdomo lako linanuka ukashauriwa namna ya kulifanya unachukia? Umeyaona ya MATAGA mwenzako Thobias Mwesiga? Kwahiyo isingekuwa hiyo unayoiita midomo ingekuwaje?
 
Mbona kama maelezo yanakinzana yenyewe, huku unatafuta c.v, huku hutaki utaratibu wa vyeti vya taaluma. Mindset zetu zinatuponza. C.V. haifanyi kazi, vyeti havifanyi kazi, mfanya kazi ni mtu. Na si mara zote mtu akafanikiwa kila anakopita, na vilevile kila kitu kina mwanzo wake. Acha aende afanye kazi, hiyo C.V. anza nayo sasa huko TPA. !
 
nimefurahi pamoja na kusikitika sana
huyu mwamba nimekua nafatilia sana ike Tasac jinsi walivoboresha mausafiri ya meli huko sehem mbalimbal na kufufua na kujenga meli mpya.
sasa hiv watu bukob via mwanza kwa meli raha zako unafika huku umelala.
nasikitika sana kukosa safar za meli Dar Tanga Mtwara.waliwah kusem ndio mpango unaokuja.ila ndio bas tena sijui.
Tasac wamefanya kazi kubwa sana

TASAC licha ya kufanya vizuri, DG wake ameondoshwa ofisini.
Yajayo yanafurahisha.
 
Hiyo nafasi kama ni ngumu hivyo bora iwe chini ya jeshi..hizi sarakasi zinatufikirisha sana sisi 'wanyonge'!
 
Hii ndio ile wenyeji wangu huku husema ukichimama nkuki,ukikimbia nchale [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Tujenge utamaduni wa kuheshimu mamlaka na tuje hapa kuziuliza pale tunapoona mambo yameenda ndivyo sivyo..(ni mawazo yangu tuu lakini sipingani na mleta mada na wachangiaji wengine).

Easter Monday njema wakuu mbalimbali.
Asanteni sana.
 
Back
Top Bottom