Kama yule Jamaa waTPDC Mzee Baba asingempa point za Mezani Kigogo hata kama aliteleza, angejua ku balance juu kwa juu kama alivyofanya kwa Makonda
'…Mimi ukinipangia ndio umeharibu…sipangiwi mimi…'
Mwamba yule hana Sub kwa miaka 50 ijayo
'…Mimi ukinipangia ndio umeharibu…sipangiwi mimi…'
Mwamba yule hana Sub kwa miaka 50 ijayo
Ndio maana magufuli alikuwa jeuri na kuwajibu shombo maana watanzania mna midomo sana.