Mkurugenzi Mpya TPA, Bw. Erick Benedict Hamis amewahi kufaulu katika lipi?

Mkurugenzi Mpya TPA, Bw. Erick Benedict Hamis amewahi kufaulu katika lipi?

Kazi za Erick B. Hamis
1617636008465.png


1617636033724.png

1617636048539.png

1617636067836.png

1617636090927.png
1617636123068.png
1617636134879.png
1617636162363.png
1617636184652.png
 
Wakosoaji wanatamani wao ndio wateuliwe ila na mimi ningependa kufahamu zaidi ya kutukana mitandaoni ni nini wakosoaji hawa WA kila jambo wamelifanyia Taifa hili.

Labda wanataka wapate uteuzi kwa umahiri wa kukashifu mitandaoni.
Wee Mata mjinga uliekua unasifia kila upumbavu wa Meko bado unapanua panua domo tu..!!?
 
Huyu naye asije kuwa kama Yule Mwesigwa wa TPDC aliyeteuliwa na baadaye kuambiwa stop
Eric is a perfect choice.

Ukitaka kujua historia ya Huyu jamaa,tafuta data za Best Bankers ktk miaka ya 2010 mpk
2015 pale TIB.

Huyu Bwana alikuwa Director wa Portfolio pale.

He was a no nonsense guy there.

Vetting ya TIB by then haikuwa ya kitoto.

So he is capable and truly a leader.

Pale Mwanza Bandari Amefanya kazi kubwa na nzuri,yet a very simple young man.

Hayo macheti anayo lakini kikubwa si hayo makaratasi ya kugoogle....

-Creativity.
-Leadership
-Social interactions
-Capacity to Evolve into higher economic level.

Dogo yuko vizuri sana!!

A good choice.
 
Kuongoza watanzania kazi sana, Mama angebaki na wateule wote walioteuliwa na hayati bado mngepiga milunzi sasa ameamua kubadilisha kidogo bado hamridhiki.
Hata mimi hayo ndio yalikuwa matarajio yangu,sioni sababu ya kufanya mabadiliko
 
Eric is a perfect choice.

Ukitaka kujua historia ya Huyu jamaa,tafuta data za Best Bankers ktk miaka ya 2010 mpk
2015 pale TIB.

Huyu Bwana alikuwa Director wa Portfolio pale.

He was a no nonsense guy there.

Vetting ya TIB by then haikuwa ya kitoto.

So he is capable and truly a leader.

Pale Mwanza Bandari Amefanya kazi kubwa na nzuri,yet a very simple young man.

Hayo macheti anayo lakini kikubwa si hayo makaratasi ya kugoogle....

-Creativity.
-Leadership
-Social interactions
-Capacity to Evolve into higher economic level.

Dogo yuko vizuri sana!!

A good choice.
Bila kusahau Standard Chartered Bank. Erick ni super
 
Hizo sio kazi zake.Hata wewe ungemwagiwa pesa na serikali ungeweza kufanya hivyo pia.
Tupe CV yake.
Serikali inatoa pesa tu bila proposal ????? Kuna zaidi ya kutoa pesa return ya pesa na usimamizi ni kitu kingine. ATCL wameleta majibu umesikia kuhusu MSCL anaposimamia Erick B Hamis ????
 
Alifufua shirika la Marine Services lilikuwa mbioni kubinafsishwa. Shirika lilikuwa linapewa ruzuku na Serikali lakini kwa sasa linajiendesha na lina Meli za kutosha ziwa ni.
Mamlaka ni zaidi ya shirika.
 
Mkuu naamini unamjua Erick.
Usitake kujua kwanini najua unajua,anyway kausha usianzishe zile ligi zako hapa ntakukimbia😁😊
Mkuu, hata kama namjua sijui kama namjua.It has been so long since I was on the scene.
Over 20 years!

So long mpaka naona majina karibu yote mapya.

Naona Fred anaandaliwa, Nick kabana palepale.

Tujipange 2025 nilete ligi bungeni naona limelala sana.
 
Kuongoza watanzania kazi sana, Mama angebaki na wateule wote walioteuliwa na hayati bado mngepiga milunzi sasa ameamua kubadilisha kidogo bado hamridhiki.
Tatizo kila mtu ana mtu wake, na inapotokea hajateuliwa ndipo mapovu huanza. Ingawa wistleblowing ni muhimu sana vinginevyo yule wa TPDC angepeta halafu tukashuhudia kizaa zaa.
 
Tatizo kila mtu ana mtu wake, na inapotokea hajateuliwa ndipo mapovu huanza. Ingawa wistleblowing ni muhimu sana vinginevyo yule wa TPDC angepeta halafu tukashuhudia kizaa zaa.
Kazi za Erick zinaonekana huyo wa TPDC ndio balaa
 
Kuna mtu ameomba CV ya bwana Eric Hamis tangu asubuhi hadi sasa haijapatikana
Waandishi wa habari nao wanaandika tuu kilichotokea hata kujiongeza kutuletea CV wameshindwa....

Ingekua mambo yetu yale ya udaku tingepewa CV hadi ya shughuli za kijamii
 
Back
Top Bottom