Mkurugenzi Mpya TPA, Bw. Erick Benedict Hamis amewahi kufaulu katika lipi?

Mkurugenzi Mpya TPA, Bw. Erick Benedict Hamis amewahi kufaulu katika lipi?

Mashirika kama TPA, TPDC ni mashirika makubwa na ya umma. Anayeshika madaraka kuyaongoza shurti tumjue. Yakizama tunaumia na kupoteza pakubwa. Si haya makubwa tu mi natamani taasisi yoyote kubwa ya umma anayeongoza lazima awe mwenye uwezo mkubwa unaojulikana waziwazi. Isiwe siri.

Mwenye kujua alichowahi kufanikisha tuwekeeni hapa, tafadhali
 
Mi namfahamu mwaka 2013 akiwa TIB nilimkuta kituo cha polisi Urafiki na jamaa wa TAKUKURU wanataka kumlaza ndani. Bahati yake akapewa dhamana kijanja . Ndo nikaambiwa ni kijana wa kipenyo. Ni hiyo tuuu
 
kasoro inaanzia kwenye jina tu. ERICK HAMISI


Kwa vipi ? [emoji2369]

Mbona huwa inatokea kuwa na majina mchanganyiko wa hivyo?!

Mifano michache;
Anna Abdalalah
Augustino Ramadhan

N.k yapo mengi tu ya hivyo na ni kawaida tu
 
Niombe mwenye CV ya Mkurugenzi Mpya wa TPA lakini pia tupate experience yake pamoja na Miradi au ofisi alizowahi kuhudumu na mafanikio au mabadiliko aliyosababisha katika ofisi hizo.

Tumekuwa na wateule wa Rais ambao hawajawahi kufanikiwa popote walipowahi kufanya kazi, lakini pia utamaduni wakutumia vyeti vya taaluma nao umetukwamisha kwenye mambo mengi, utaratibu mmoja wakutumia makada wa CCM pia nao umelididimiza Taifa.

Ningependa kujua huyu Bwana huko alikokuwa alifanya nini hadi tumkabidhi bandari zetu?

Ukitafuta taarifa zake mitandaoni haupati ile flavour ya kupata nafasi ya Mkurugenzi wa bandari. Tukumbuke ili ni lango kubwa la uchumi wetu.
Hakika hana CV "kabambe" ni dogo tu alikuwa hapo TIB Mlimani City kama Manager mikopo. Magu akampeleka Mwanza kwenye yale mamiradi ya meli zake (akawa anafanya kazi kwa maelekezo ya Mkulu) In short hana CV ya kuongoza na kupambana na zile sarakasi za pale bandarini.....
 
Hakika hana CV "kabambe" ni dogo tu alikuwa hapo TIB Mlimani City kama Manager mikopo .Magu akampeleka Mwanza kwenye yale mamiradi ya meli zake (akawa anafanya kazi kwa maelekezo ya Mkulu) In short hana CV ya kuongoza na kupambana na zile sarakasi za pale bandarini.....
Basi wampeleke Gwajiboy
 
Ni alikuwa CEO MSCL huko Mwanza aliikuta iko hoi mpaka ilipofikia ni yeye na wenzake kwa kuwezeshwa na serikali. Meli zote zilizokarabatiwa na zinazoendelea kujengwa zipo chini yake.
 
Tubashiri yawezekana akafanya vizuri kama waliotangulia..au akaharibu kama wengine..Tukumbuke kazi hizi haufanyi peke yako kama mteule bali na watu wenye tabia tofauti na zako..

Tamaduni za tawala za ulimwengu wa tatu ni tofauti na tawala za ulimwengu wa kwanza na wa pili japo sera zinaelekeana kuhusu maendeleo ila shida ipo kwenye kuyafikia..
Maneno mengi maana ndogo..
 
Marehemu hasemwi kwa mabaya kwa sababu hayupo ili kujitetea, tumkumbuke kwa mazuri tu Raisi wetu ambayo alijitoa kwa ajili ya watanzania wote.
ACHA kukariri, marehemu ameua baba yako na mama yako kikatili bila sababu, leo utasema sema mazuri ya marehemu ya kuwaua baba yako na maa yako haina maana? acha jinga huo. Idd zamin aliua milioni moja maiti zinaelea kagera, leo useme tusimsema mabaya aliyoyatenda. magufuli kaua wengi akina Ben, azory sandarusi MKIRU halafu usme tusiyakumbuke? acha ujinga huo wa kukariri misemo ya kijima
 
CV yake iko wapi? Ni ngumu kupatikana?
Acheni ubabaishaji na blah blah nyingi.
CV unaitafuta mitaoni unafikiri kils mtu huwa anakesha mitandaoni kupost CV zake ?
 
ACHA kukariri, marehemu ameua baba yako na mama yako kikatili bila sababu, leo utasema sema mazuri ya marehemu ya kuwaua baba yako na maa yako haina maana? acha jinga huo. Idd zamin aliua milioni moja maiti zinaelea kagera, leo useme tusimsema mabaya aliyoyatenda. magufuli kaua wengi akina Ben, azory sandarusi MKIRU halafu usme tusiyakumbuke? acha ujinga huo wa kukariri misemo ya kijima
Sasa anae hukumu yupo huko alikokwenda, ukiambiwa uthibitishe vifo ulivyotaja utaweza??????
 
Niombe mwenye CV ya Mkurugenzi Mpya wa TPA lakini pia tupate experience yake pamoja na Miradi au ofisi alizowahi kuhudumu na mafanikio au mabadiliko aliyosababisha katika ofisi hizo.

Tumekuwa na wateule wa Rais ambao hawajawahi kufanikiwa popote walipowahi kufanya kazi, lakini pia utamaduni wakutumia vyeti vya taaluma nao umetukwamisha kwenye mambo mengi, utaratibu mmoja wakutumia makada wa CCM pia nao umelididimiza Taifa.

Ningependa kujua huyu Bwana huko alikokuwa alifanya nini hadi tumkabidhi bandari zetu?

Ukitafuta taarifa zake mitandaoni haupati ile flavour ya kupata nafasi ya Mkurugenzi wa bandari. Tukumbuke ili ni lango kubwa la uchumi wetu.
Hizi nafasi watu wanatakiwa wafanye interview na mwisho ziwe za mikataba na siyo kuteuana kishikaji
 
Wakosoaji wanatamani wao ndio wateuliwe ila na mimi ningependa kufahamu zaidi ya kutukana mitandaoni ni nini wakosoaji hawa WA kila jambo wamelifanyia Taifa hili.

Labda wanataka wapate uteuzi kwa umahiri wa kukashifu mitandaoni.
Tuondoe mambo ya kuteuana, nafasi zitangazwe watu wafanye interview na mwisho iwe ni nafasi za mikataba.
 
TASAC licha ya kufanya vizuri, DG wake ameondoshwa ofisini.
Yajayo yanafurahisha.
Tasac imefanya kawaida, ukisema imefanya vizuri waambie watoe gawio hata la kipindi Cha mwaka maana wanafanya shughuli za kibiashara kama usajili wa Meli,Clearing and Fowarding,Ship Agency kwa meli za mafuta,ngano,sukari,mbolea n.k.

Waweke wazi kwa mwaka wanapata kiasi gani,maana wanafanya biashara ya kuingiza mabilioni itakuwa ajabu kama serikali inatoa ruzuku kwa TASAC.

Kwa sasa TASAC na TPA inabidi wawe wanatoa gawio kubwa sana serikalini.
 
TASAC licha ya kufanya vizuri, DG wake ameondoshwa ofisini.
Yajayo yanafurahisha.
DG aliyepita inabidi amwambie ukweli Mama Samia mapato yote yaliyokusanywa yalipelekwa wapi.

Maana kwa hesabu raisi wao walifanya biashara wakakusanya pesa ukitoa matumizi yao maana ni Shirika changa, faida waliyopata baada ya kila kitu.
CAG afanye audit kama Shirika linapata hasara waseme ili shughuli nyingine zirejee kwa watu binafsi.
 
ametagulia kule ambapo hata wewe utaenda.
....Dunia tunapita, eheee kila kitu kitabaki... majivuno ya niniiiii itabaki mileleee ni milimaaaaaaa.....
Ukitambua hilo utaishi kwa Aman na kupenda wengine
 
Kazi za Erick zinaonekana huyo wa TPDC ndio balaa
Jamaa yupo vizuri Sana anastahili nafasi aliyopata.
TPA atakumbana na stakeholder wakubwa kutoka Tanzania na nchi zinazotuzunguka zinazotegemea bandari zetu, kikubwa apewe nafasi wazee wa mjini wamuache.
 
Tuondoe mambo ya kuteuana, nafasi zitangazwe watu wafanye interview na mwisho iwe ni nafasi za mikataba.
Mkuu unataka iwe kama Kenya, wao kumpata bosi wa Kenya Port Authority (KPA) inatangazwa nafasi watakao kuwa na vigezo wanaingia kwenye usahili.

Ukipata marks below 70% umedis qualify na unatangazwa public.

Sasa Bongo ikiletwa hii itakuwa vita, mtu ana vigezo anapewa interview Kisha anafeli magazeti kesho yapo na wewe. Bado wakijua mshahara na bonus utazopata kutoboa itakuwa ni ndoto.
 
Back
Top Bottom