nduza
JF-Expert Member
- Feb 7, 2019
- 1,595
- 2,503
Siyo watanzania dunia nzima na Tanzania bado watu wengi hawana elimu tukiwa na wasomi wengi zaidi kutakuwa hadi na maandamano kwa vitu kama kupandisha bei ya mafuta sh50 au 100 itafanya watu waandamane kiti cha urais kitakuwa cha moto sana kwa sasa bado sanaNdio maana magufuli alikuwa jeuri na kuwajibu shombo maana watanzania mna midomo sana.