Mkurugenzi Mtendaji wa Eilat Port Golber ametangaza kuwa kazi katika bandari ya Eilat imesimama kabisa

Mkurugenzi Mtendaji wa Eilat Port Golber ametangaza kuwa kazi katika bandari ya Eilat imesimama kabisa

Aya tumesikia.. wacha tuone kama Devil atadumu.. washamaliza kuzima moto?

Hizo meli zingekuwa zinalipuliwa na Israel mngeanfamana sana ila ni waislam wenzenu mmetulia tuli.. sababu yupo Allah hapo kuzuia meli.. ila Dawa ya Allah ipo jikoni
 
Kwamba mossad idf na mashirika yooote tanzu wameshindwa kufanya jambo kwa houthi
Bila kusahau mashoga zao Americant na Uk
Israhell ya kwenye media inatisha sana jamani dah
 
Wanaukumbi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Eilat Port: "Operesheni zimesimama kabisa katika Bandari ya Eilat kutokana na meli kushindwa kupita upande wowote kufika bandarini."


View: https://x.com/suppressednws/status/1815004127891423470?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hahahaha siku za nyuma nilisema hapa Yemen ni kiboka US, UK na ma partner wao in crime, walijidai watamzuia Yemen hapo Red Sea. Kuna waimbaji kwaya wa Paulo alio ota yuko chini ya mti akitokea Damascus wakacheka oh hi Yemen hata JWTZ tutawatandika, JWTZ si atavurugwa siku moja tu na Yemen.

US mwenyewe kakiri Yemen ni level ingine, kule Tel Aviv watu wanevaa Pampers hawajui sa ngapi vitu vitanza kuland kule.

Poleni wajukuu wa Paulo endeleni kuota mko chini ya mzambarau pale Manyoni 😄
 
Aya tumesikia.. wacha tuone kama Devil atadumu.. washamaliza kuzima moto?

Hizo meli zingekuwa zinalipuliwa na Israel mngeanfamana sana ila ni waislam wenzenu mmetulia tuli.. sababu yupo Allah hapo kuzuia meli.. ila Dawa ya Allah ipo jikoni
Walio piga pale sio Israel dogo. Israel ni star wa bollywood hana jipya, bora hata Sharukh Khan film zake zinalipa.

Walio piga ni wale makhaini warabu, USA na UK we huoni Sisi analia lia kupiga simu Oman ili Sultan wa Oman awasimamishe Al Houth wasi revenge, na Saud Arabia analia sio mimi anawajua Al Houth ni moto wa mbali. Pia US kisha mwambia Israel akae mkao wakuliwa, vitu vinakuja very soon 😄
 
Hahahaha siku za nyuma nilisema hapa Yemen ni kiboka US, UK na ma partner wao in crime, walijidai watamzuia Yemen hapo Red Sea. Kuna waimbaji kwaya wa Paulo alio ota yuko chini ya mti akitokea Damascus wakacheka oh hi Yemen hata JWTZ tutawatandika, JWTZ si atavurugwa siku moja tu na Yemen.

US mwenyewe kakiri Yemen ni level ingine, kule Tel Aviv watu wanevaa Pampers hawajui sa ngapi vitu vitanza kuland kule.

Poleni wajukuu wa Paulo endeleni kuota mko chini ya mzambarau pale Manyoni 😄
Hahahaha nakumbuka watu waleta kejeri sana walitushambulia leo hii bandari imebakia kuvua samaki.
 
Bab al Mandab- Hapo kuna shughuli wala kath wamesimika ,wa nje nje,wa ndani ndani.
 
Hahahaha nakumbuka watu waleta kejeri sana walitushambulia leo hii bandari imebakia kuvua samaki.
Nakumbuka sana mkuu, wengine walikuwa wanasema wale wala mirungi watafanya nini 😄

US na UK wanapiga maboom we mpaa wanaishiwa, wanakimbia kujificha mbali wakiletewa silaha wanasogea kwa mbali ndege zao zinapiga we mpaa zinachoka wanaona vyombo vinawafata.

Ikabidi wanajeshi wa US wawe wanasikiliza habari za Al houth kujua kama wenzao wako salama, chezea 🇾🇪

Wacha tuwataftie kambale zilizo anikwa ziko mdomo wazi ili crane zao ziwabebe 😄
 
Back
Top Bottom