Al gator
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,029
- 565
Unaweza kutoa mfano wa taarifa ya kizushi iliyo wekwa humu!?Habari za mashoga zinahusiana vipi ?
Kung'amua kama sio ukweli ni swala la mtoa habari
Kwanini alete habari ya kizushi ?
Serikali iwe kilasiku kukanusha uzushi !!!