ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Tumefika huku kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.mbona sisi huku jf tunatumia majina feki tupu au ndio mtatukamata hivyohivyo.Mkurugenzi mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo, ameitwa na baadaye kuwekwa ndani, Central Police.
Polisi wanaeleza muda huu kwamba leo atalala ndani hadi kesho atakapofikishwa mahakamani.
Kosa ni kuwanyima Polisi taarifa binafsi za wateja wa mtandao wa JamiiForums zilipohitajika. Maxence ameendelea kushikilia msimamo kuwa ni uvunjwaji wa sheria na haki za wananchi kufanya hivyo.
Taarifa zaidi baadaye
Kwa haya masharti wengi watajitoa wahamie huko Instagram.Vigezo na masharti inabidi kuzingatiwa ili twende na sheria mpya ya magazeti na ile ya mitandao
kusema ukweli humu JF mazombi tupo wengi mno inabidi uongozi ili ujichomoe na kadhia hii ni muhimu wote kuwa verify our names na adress kwa ujumla wake
kama kweli hatuna nia mbaya,
Magu hausiki hapaHivi atakubali kweli tumbadilishe mwingine baada ya miaka yake mitano? Naona kama sasa amezidi, hataki kukosolewa, kusemwa vibaya, mbona katika jamii zetu sijawahi kuona mtu anasemwa kwa mazuri tu, hata ufanye mazuri mwingine anaweza kuona ni mabaya kwa mtazamo wake, yani leo wote tuwe na mtazamo sawa inawezekana kweli? Mbona mke kila mtu anachagua anayempenda iweje kwa kiongozi kulazimishana kumpenda wote?!!!! anyway duniani kuna kuzaliwa na kufa, yote ni maisha, hakuna atakayeishi milele, Hitler alikua mbabe kweli lakini mwisho wa siku alikufa.
Melo yuko salama..wala hakuna jambo jipya kaitwa kuhojiwa tuu.
Lakini walio sababisha kuitwa kuhojiwa ni wale waleta habari za uzushi ambazo serikali inalazimika kuhangaika kuzikanusha kila leo...
sheria ile ya mitandao ina ipa mamlaka polisi kupata taarifa za mtu kutoka kwa mtu na inawezekana hata kuchukua vifaa husika...
Melo yuko salama salimini.
Na ni nani atang'amua kua hii taarifa au habari ni uongo uongo!? Kama serikali ina nia njema kwanini isikamate mashoga wanao jiuza FB!? Lengo hapa ni kutoa Taarifa zitakazo msifia na kumtukuza mtukufu.Yote juu yako
Lakini hoja kubwa ni kuleta habari ya maana na sio kuzusha zusha habari za uongo ili kuchochea watu,
Kamwe haliwezi kubalika
Mwana jf kama weweWe ni nani?
Mbona kulikua na kesi mahakaman na JF walishinda kwa hizo ishu za polisi kutaka axcess ya database ya jamii forums.
Ilikuwa bado mahakamani. Alishinda pingamizi katika kesi hiyo sikumbuki ni lipi. Ngoja nitafute nitaliweka hapaIla kuna kesi jf ilishinda kuhusu hii kutoa taarifa sijui nini kiliendeleaga Retired
Magu ndo nani? wapi nimemtaja huyo Magu wako?Magu hausiki hapa
Sheria ya mitandao imepitishwa ns bunge Magu si Rais
Hilo mlifahamu,
Watu wanapost habari za uzushi bila kuangalia athali zake kwa jamii.
Hii inaleta maana kuwa
Unapo leta uzushi ujue sheria IPO
Uwe tayali kukabiriana na sheria husika.
Mkuu sheria na haki ni vitu viwili tofauti.Mbona kulikua na kesi mahakaman na JF walishinda kwa hizo ishu za polisi kutaka axcess ya database ya jamii forums.
Rudia Kusoma postkisa na mkasa?
hii ni habari ya ukweli ama nini
wewe ni mmojawapo wa mods
pole yake