Unaweza kutoa mfano wa taarifa ya kizushi iliyo wekwa humu!?Habari za mashoga zinahusiana vipi ?
Kung'amua kama sio ukweli ni swala la mtoa habari
Kwanini alete habari ya kizushi ?
Serikali iwe kilasiku kukanusha uzushi !!!
*Hatudanganyiki kihivyo mkuu.Kuna Postive na Negativ..kuna baadhi ya yetu humu JF uwa tunachangia hoja kwa evidnce nzito..smtmz polis wanatafuta evdnce ya tukio flani ukiingia JF unakuta member moja ameliongelea lile tukio kiundan zaidi lazima polis watafute evidnce hapa..
unatuuliza kama nani?hivi huwa mnasoma heading na kucoment bila kusoma content au!!? mmeambiwa sababu ni kuwanyima polisi taarifa za memba wa jf pindi zinapotakiwa
Duh..... Kama ndiyo hivyo, hakika Taifa hili linaelekea kubaya.......
It seems that there is no more freedom of expression in our country as per article 18 of The Constitution of United Republic of Tanzania, 1977.
Hayo yakwakoNdege zilivyonunuliwa, bilioni kumi kwa ajili ya askari magereza bajeti zilipitishwa na bunge lipi?
shida zote hizi ni kwa sababu malaika wenu hataki kukosolewa, usitake kutafuta mchawi naniNiliwahi kusema jf hii
Kuna watu wanavuka mipaka
Sasa mzigo anabebeshwa Kipenzi chetu jf !!!.
Inawezekana alishinda sababu Tanzania tulikuwa hatuna sheria inayosimamia mambo hayo, sasa ipo na imeshasainiwaIlikuwa bado mahakamani. Alishinda pingamizi katika kesi hiyo sikumbuki ni lipi. Ngoja nitafute nitaliweka hapa
www.thecitizen.co.tz/News/JamiiForums-drags-the-police-to-court.../index.html
Yoga ni kikwazo kikubwa katika kufanikiwa,Nataka nioneshwe namna ya kujitoa JF
Dadangu umeongea kwa uchungu sana.Nawapa pole wote mlioguswa na hili.Ikosekane, sio kila unalosemwa au kulisikia likufanye ushindwe kutimiza malengo , minadhani JF ifungiwe tu, Facebook , twitter na mitandao yoooote.
Mnatka, tukae kwenye social media tukiongea the same way?!!!! Kwamba tunaipongeza...... Tunampongeza.......... Zombie sie?!!! Yazimwe tu!!!
Kuna sheria gani kwenye katiba ya nchi inayosema nikimnyima polisi maelezo nanyimwa dhamana na kupelekwa mahakamani?Kwa kosa la kuwanyima polisi maelezo binafsi ya members wa Jf .