Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Zakijinga sawa
Lakini ndio hivyo
Mipaka lazima iwepo
Sometimes najiuliza ni mwanaume gani anapenda kusifiwa sifiwa kiasi hiki!! Mimi najua wanawake ndio hupenda kusifiwa sifiwa, hata kama kanenepeana kama Nguruwe bado atataka aambiwe umependeza na wewe ni mzuri, hata kama ni mburula na kilaza hatari atataka asifiwe kua ana akili. Qwi Qwi Qwi...........
 
Melo yuko salama..wala hakuna jambo jipya kaitwa kuhojiwa tuu.
Lakini walio sababisha kuitwa kuhojiwa ni wale waleta habari za uzushi ambazo serikali inalazimika kuhangaika kuzikanusha kila leo...
sheria ile ya mitandao ina ipa mamlaka polisi kupata taarifa za mtu kutoka kwa mtu na inawezekana hata kuchukua vifaa husika...
Melo yuko salama salimini.


Mkuu mtu yupo ndani unasema yupo salama, kuna usalama gani hapo,
 
MIMI NAMUOMBEA KWA MUNGU, HIYO KESI ILIYOPO MBELE YAKE AWEZE KUSHINDA...REFERENCE ZA JUDGMENT ZA KESI KAMA HIZI ZIPO UNITED KINGDOM NA USA, HATA UKI GOOGLE TU UTAZIPATA HAKUNA MAHALI POPOTE ETI WAKAWEZA KUSHINDA KESI HII
Mkurugenzi mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo, ameitwa na baadaye kuwekwa ndani, Central Police.

Polisi wanaeleza muda huu kwamba leo atalala ndani hadi kesho atakapofikishwa mahakamani.

Kosa ni kuwanyima Polisi taarifa binafsi za wateja wa mtandao wa JamiiForums zilipohitajika. Maxence ameendelea kushikilia msimamo kuwa ni uvunjwaji wa sheria na haki za wananchi kufanya hivyo.

Taarifa zaidi baadaye
 
Watumiaji hawako salama.
Max. Atakataa kutoa taarifa kwa muda lakini baadae atashindwa...
Bora kwa wa watumiaji huu mtandao ukawa deactivated kwa muda wa wiki moja then uka flush data zote za members na kuanza upya kuandikisha watumiaji...otherwise wengi wataumizwa kwani wengi wanatumia internet za simu kutumia jamii forum. Akikubali kutoa basi ni watakamatwa wengi ...
 
MIMI NAMUOMBEA KWA MUNGU, HIYO KESI ILIYOPO MBELE YAKE AWEZE KUSHINDA...REFERENCE ZA JUDGMENT ZA KESI KAMA HIZI ZIPO UNITED KINGDOM NA USA, HATA UKI GOOGLE TU UTAZIPATA HAKUNA MAHALI POPOTE ETI WAKAWEZA KUSHINDA KESI HII

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Nchi hii mpaka Leo hujaijua ndo maana unataka watu waka google!

Tanzania na Watanzania wenyewe ni Google tosha kabisa!
 
kwani hizo taarifa si wanazipata tu hadi wakamsumbue huyo CEO wa Jf? wangetakiwa kujiunga na Jf kisha wakaanza kusoma thread tu ingewasaidia ,mbona mimi napata taarifa zote ,alafu kingine sidhani kama kukamatwa kwa mkuu Maxence kuna husiana na kuminya uhuru wa maoni na kutoa taarifa kama watu wanavyoanza kujishuku humu ndani
Taarifa zinazotakiwa siyo hizi za kusoma wewe ume coment nini. wanataka kujua kwa mfano huyu mtu anajiita akili tatu ni nani ili wamshughulikie.
 
Anataka kufunga mitandao ya kijamii.atashindwa tu!..
 
Mungu ampiganie atoke salama soon as possible...

Freedom of speech inapingwa kwa nguvu zote awamu hii

Best kama nakuona vile, kwa mwendo huu tunatoboa kweli? Naona jinsi watu walivyoingia ubaridi. Sipati picha huko jela itakuwaje kwa watu wengi walio humu jukwaani. Chezea kunyoosha nchi kwanza ww.
 
Back
Top Bottom