Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

kakataa kutoa taarifa za baadhi ya watumiaji/wateja wa jf
Duh.. E mungu nijaalie kukoment maneno ambayo hayatanisaibakraimu AMEN. E mungu nijalie nisome komenti ambazo siyo saibkraimu Amen.. Emungu njaalie niskotiwe ujumbe ambao ni saibakraimu Amen
 
Daaaah, kwa hiyo hawataki tuhoji? Mungu atusaidie tu maana huu ni zaidi ya ukoloni sasa!
 
Nina wasiwasi na Savers za JF wanaweza Ku destroy naomba IT wetu wazilinde! Nchi ya Kipumbavu sana wakati FBI wangezama tuu bila hata huyo Melo kujua.


Mimi Apart from ID
Jina language Fake
Email Fake
ID Fake
Birthday Fake

Mkuu hiyo ip address unayotumia kupost mara kwa mara si itaonekana tu. Yaani hapa mwanangu kama ulikuwa unaiponda serekali imekula kwako. Anza kuandika urithi kabisa kama una chochote maana jela inakuhusu. Huyo Maxence Melo mwenyewe alivyo mwembamba akipigwa kibao kimoja tu anakabidhi server yote kituoni. Mimi leo naenda kuraruana na mke wangu ya mwishomwisho maana huko jela hiyo huduma hamna ni nyeto tu.
 
Pole zake!nina imani atatoka kwakuwa hakuna lisilona mwisho
 
Mkuu hiyo ip address unayotumia kupost mara kwa mara si itaonekana tu. Yaani hapa mwanangu kama ulikuwa unaiponda serekali imekula kwako. Anza kuandika urithi kabisa kama una chochote maana jela inakuhusu. Huyo Maxence Melo mwenyewe alivyo mwembamba akipigwa kibao kimoja tu anakabidhi server yote kituoni. Mimi leo naenda kuraruana na mke wangu ya mwishomwisho maana huko jela hiyo huduma hamna ni nyeto tu.
IP haitoshi na ni un reliable kwa sababu wengine wanatumia WiFi so unakuja eneo au jwngo lina watu zaidi ya 15 wanatumia same IP

Wajanja zaidi hawatumii static IP wanatumia VPN
 
Hilo ni juu ya CEO wa JF kuamua mimi nimetoa ushauri tu, kwamba aidha atii Serikali wanavomtaka au ageuke kuwa Mwanamapinduzi lkn jambo moja nalijua kwamba when chips are down atakuwa mwenyewe na familia take, na nyie wote mnaomchochea mtahamia kwingine!
Kujifikilia wewe na familia yako ni mawazo ya kijinga na dunia hii isingekus hivi. Hivi kama nyerere angeifikilia kwanza familia yake Leo tungekuwa hapa?
 
ha ha ha ha mkuu umenichekesha sana
ndugu yangu sio utani tunapoelekea kubaya sana maana maisha magumu na kuongea tunachaguliwa maneno ya kuongea,yaani ni sawa na mtu aliyekuzidi nguvu anakufinya na kukupiga halafu anakuzuia kulia wala hata kusema "yalaaaaaaaaa".Yani we uwe kimya tu na uendelee kuumia
 
View attachment 445691

Mkurugenzi mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo, ameitwa na baadaye kuwekwa ndani, Central Police.

Polisi wanaeleza muda huu kwamba leo atalala ndani hadi kesho atakapofikishwa mahakamani.

Kosa ni kuwanyima Polisi taarifa binafsi za wateja wa mtandao wa JamiiForums zilipohitajika. Maxence ameendelea kushikilia msimamo kuwa ni uvunjwaji wa sheria na haki za wananchi kufanya hivyo.

Maxence Melo anakamatwa huku kukiwa na Kesi ya Kikatiba dhidi ya taarifa ambazo Jeshi la Polisi wanazitaka, kesi namba 9 ya mwaka 2016 dhidi ya Jamii Media dhidi ya polisi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kesi ambayo mahakama kuu itatolea hukumu, tarehe 20 Februari.



Polisi si wawaulize member wenyewe, majina yao.

Ikiwa member hawataki kutoa majina ina maana hakuna mwenye imani nao hao Polisi.

Kwa hivyo itawabidi wajipange upya kuwafanya wananchi kuwa na imani nao bila hivyo watakuwa wanaonekana ni washenzi tu
 
Issue tunetakiwa kukamatwa sisi yeye akataaa kuwapa ubuyu wa mahali tuipo!!!! L000h.........Ngoja habari hizi nizifikishe kijijini kwao wahaya wote waandamane
Iwe bojo chonka basi omushaija yatumala amagosi ...
 
Back
Top Bottom