Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

Mungu aepushie mbali asije kuwa anasokotwa kwa moja ya post/comment yangu JF.
 
Wewe MOTOCHINI umekazana tu kwamba watu waache Uzushi huo uzushi ni kama upi kwa mfano? Na unang'ng'ania kwamba serikali ndiyo yenye nchi hivyo ikiamua kitu ni lazima kifuatwe. Umewahi kusoma Ibara ya 8 ya Katiba yetu?
Uhuru na mipaka yake

Sheria ya mitandao imepitishwa bungeni
Magufuli hategemewi kuwa Rais
 
Mtu anaandika JF: "Ben Saanane alitaka kutusaliti. Sasa tumemshikisha adabu". Unatategemea polish watafanya nini?
 
Kama nilivyosema huo ni uamuzi wake, lkn najua kwamba ninyi mnaomchochea kesho akihitaji mtu wa kumdhamini mtaanza sababu sijui nasomesha mara mama kalazwa n.k.

Usitake kujifanya ni ushauri unampa wakati ni hivyo anatakiwa kufanya na ww utashukuru kwani ukweli mwingine huwa unawaumiza nyie wapambe kuliko wakuu wenyewe. Mimi naona mpaka sasa ukweli umeshasemwa mwingi na wala sio mwisho. Ninachopinga mimi ni wale wanaotukana, lakini wanaosema ukweli hao hawana shida zaidi ya wanaosemwa kujirekebisha.
 
JF ina rensponsibility kubwa sana, kama vivlivyo vyombo vingine vya Habari, kuna mambo mengi ya uongo na uzushi huletwa humu na kuachwa, ikumbukwe kwamba nchi nyingi kama Kenya, Rwanda, Burundi n.k Vita ililetwa na Vyombo vya Habari kama redio na TV, hivyo JF ina jukumu la kulinda amani ya nchi, kama ni kweli amekamatwa, na kama siyo kweli basi wajifunze na wabadilike, watambue jukumu lao kwenye Jamii!

CEO wa JF asipumbazwe na watu wanaosapoti kwenda kinyume na Serikali hapa, wengi wao wana maisha yao na wala hawaishi TZ, na JF ikifa kesho, au ofisi ya JF kunyimwa kibali cha kufanya kazi TZ hawana cha kupoteza, zaidi ya kuhamia kwenye mtandao mwingine na kuendeleza wanayoyafanya, hivyo angalia maisha yako na familia yako, fanya lililo sahihi na jinsi Serikali inavyokutaka kwani mwisho wa siku Serikali ndiyo yenye nchi, watakushauri wanachama wa JF wanavyotaka lkn Serikali ndiyo wasimamizi wa hii nchi!
Hapo penye nyekundu. Yaani serikali kweli ndiyo yenye nchi na sisi niwapangaji? Nafikiri hapa wigo umepanuliwa kupita kiasi. Nilifikiri watanzania ndiyo wenye nchi na serikali imepewa ridhaa ya kuwaongoza tu. Sitasema mengi kwani walengwa hapa ni sisi ........... Pole ndugu MM-ukifuata ushauri huu basi JF itakuwa Serikali Forum na kuelekea kuzimu.
 
Hapo penye nyekundu. Yaani serikali kweli ndiyo yenye nchi na sisi niwapangaji? Nafikiri hapa wigo umepanuliwa kupita kiasi. Nilifikiri watanzania ndiyo wenye nchi na serikali imepewa ridhaa ya kuwaongoza tu. Sitasema mengi kwani walengwa hapa ni sisi ........... Pole ndugu MM-ukifuata ushauri huu basi JF itakuwa Serikali Forum na kuelekea kuzimu.
hahaha tatizo ccm ilitunyima elimu sasa inatukanyaga inavyotaka
 
Kwa nini tusiwe safe? Tunafanya maovu yepi? Labda wale wanaotukana viongozi
To be honest lizaboni Lino humu jf watu wanatukana viongozi,je wakuu maana ya kupigwa ban ukileta uongo,au matusi humu jf.
Humu nijuavyo tume kuwa Huru kuwajadili na kuwapongeza,kuwakosoa,na kuwapa Moyo pale wanapo tetereka.
Na ndio maana viongozi wengi wanatembelea jf kupata habari mbali mbali hata amabazo hazijaripotiwa kwenye mamlaka husika.
 
The world*
Umekariri vibaya
misa-i-cant-even-imagine-a-world-without-light-l-well-yes-that-would-be-quite-dark.jpg
upload_2016-12-13_16-20-26.jpeg
 
Kama sababu ni hiyo, ebu tujiulize nani alikuwa na makosa?
 
Ngojea Nidelete account yangu kwa Muda,,nisije fungwa jiwe nikatoswa baharini bure,,,hali tete sasa,,,,bora miaka mitano ingefika mapema aisee
 
Back
Top Bottom