Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Daktari Profesa Janabi ana hofu na nini hadi awe na ulinzi mkubwa namna ile?

Prof Jamani ni mtu mmoja very social. Mwaka Jana tulimwalika kwenye kikao chetu Cha kazi kuja kutoa mada, aiseee!!! Tuliinjoy Sana. Jamaa ana madini hatari. Lakini pia huwezi kuchoka kumsilikiza Make Ana vichekesho vya hapa na.pale Hadi rahaaaa
Kwa hyo azidishiwe ulinzi mkuu au

Aachwe aparuliwe na gang fln HV la wahuni
 
Inaonekana ni mtu nyeti kwa Afya za viongozi wa nchi hii Hadi Sasa..wastaafa na walio madarakani ..so ulinzi na mienendo yake lazima ifuatiliwe...
Ukiangalia speech zake ni daktari mzuri Sana ...watanzania wanapaswa kujivunia huyu mtu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Acha utani aisee, Prof Sarungi umemuonea hapo. Ni one of the best Dr's ambao tumewahi kuwa nao. Unamlinganisha na huyu kigwangalla? Kweli?
Ukiona hivyo huyo kazaliwa juzi. Sisi wakushi tunaelewa Prof. Sarungi ni Nani nchini hapa. Alisikitisha mno alipoingia kwenye Siasa. Yaani nchi hii mambo mengine ni hovyo mno. Yaani Yule alikuwa anaunga mifupa isiyoungika kabisa. Yaani MTU anatoka Bugando alishafanyiwa operation kibao au anamfuata huko visiting na akimaliza visiting watu wanatembea. Acha kabisa kichwa hiki.
 
kwanza elewa ni kwanini wa-Iran au hata wa USA wamewa wekea ulinzi wa Hatari ma scientist wao kama lulu…………...
Kuna Scientist mmoja Mchaga Yuko Marekani. Kuna kipindi alikuja likizo yaani mpaka inakua kero. Yaani ulinzi ni mkali mno. Mpaka Kulala siyo nyumbani. Ni hotel na walikuwa wanahama Arusha, Moshi Mjini na Arusha. Nilisikitika Sana. Baba yake mpaka aliugua presha akimuwaza mtoto wake Genius. Ila kwao kumejengwa Sana kama ulaya na tetesi ilisimamiwa na Mmarekani!!!!! Mateso haya.
 
Sahih kbsa late CEO alishakuwa mgonjwa kitambo tu kampeni zake.ni za kuvizia vizia tu mm nilimuona late CEO alivyokuja kufungua stand yake ambayo ilikuwa Bado haijaisha na daraja la John kijaz na alivyo muapisha bwana ally bashiru nilitilia shaka binafs Hali yake ya kifya. Na sura yake na uzoni alichoka sna kweli ajakatiza mwez tayari Israel Yuko karibu sna kumalizan naye

Hakika nilishtuka Sana mzee wetu jemedari mkuu jiwe Moja la taifa alipo dondoka nilibaki nalia sna ingwa pia allikuwa akiniudhi kwa baadh ya kauli zake za kibabe Zaid [emoji23] ila alikuwa Ni CEO ambaye ajui sheria Wala kutambua katiba ya kampuni hi inasemaje yey ndio sheria na aliweza kuwashauri watendaji wakuu 23 HV wa kampuni hii badala ya watendaji kumshauri yey . Alikuwa mtu alichalleng mpk madaktari kwa kuwapenyezea mapapai ,mafua ya mbuzi ,kondoo na kwale wapimwe Kama nao wana Corona nilicheka sna kipindi hcho nilivyo sikia hyo experiment yake alipenyeza kweny maahabara kuu ya kampuni na kuibua utata mwingi Sana. Dahaa aise CEO hatari tupu [emoji1787][emoji1787]
 
Huyu huyu Bab ake na Maria tstai sarungi au siyo Bab ake yule mzee
 
Muhimbili mpaka 2005 ilikua Kama soko la mbuzi
 
Hata wewe babu yako wa 100 nyuma anaweza akawa ni mmanyema ama mnubi......

Kama tu babu Yangu alijihalalisha kuwa ni raia wa TANZANIA; kama hakufanya hivyo mimi nitakuwa muhamiaji haramu!!! Unajua hilo wewe bwege!
 
Kwamba alikuwa na hali mbaya kumshinda nywele nyeupe ambaye alikuwa mshindani mwenzie 2015?
 
Anajua anahusika na tukio la 17/3/2021 kwahiyo ulinzi lazima uwepo tu ila ni suala la muda watalipia uovu
 
Anazijua papuch za viongozi wengi , sasa juz kati kazinguliwa pay yke flan akatishia kua anazo kwa flash
 
Wewe kama humuelewi Maria Sarungi ni lazima utakuwa sio mwehu tu bali ni CHIZI!!! Shangazi anatema madini namna ile halafu wewe bwege unasema hakuna substance?
Madini ya wapi babu!!!...utakua na akili za kipinzani tu ndiyo maana unaona madini
 
Wewe kama humuelewi Maria Sarungi ni lazima utakuwa sio mwehu tu bali ni CHIZI!!! Shangazi anatema madini namna ile halafu wewe bwege unasema hakuna substance?
Nyie mnanichanganya eti mnasema noo substance over fom kwa mtot wake [emoji1787][emoji1787] profu Ana vinasba na warusi ilisemekana Ni mwafrica wa Kwanza kbsa kuoa mrusi kwa kipindi kile bas jamaa lilikuwa fire snaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…