Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Daktari Profesa Janabi ana hofu na nini hadi awe na ulinzi mkubwa namna ile?

kuna wakati tuwe tunawaza vizuri na tuache hizi siasa chafu..... hizi zile clips za video You tube na kwingineko unafikiri ni salama kwa DR kuwa kama mimi ninayekaa Buza...
hahaaaaaaaa!!
 
Kwamba alikuwa na hali mbaya kumshinda nywele nyeupe ambaye alikuwa mshindani mwenzie 2015?
Nywele nyeupe walimtukana Sana mpaka aliitwa marehemu. Ila Mungu hapangiwi na ni fundi mzuri Sana. Yupo manywele na majuxi alifanyiwa operation ninaamini yuko salama aliko. Daktari wa Mwendazake ndiyo anajua Hali ya mgonjwa wake Ila walijitahidi Sana kuhakikisha ana gari la support na madaktari wa kutosha. Ila ikifika ya kufika hata uwe na nini bado utaondoka.
 
Muhimbili mpaka 2005 ilikua Kama soko la mbuzi
Yaani Acha kabisa. Yaani mikoa yote case ngumu Muhimbili. Halafu huduma hafifu na uchafu kipindi hicho. Yaani wodini wagonjwa walilazwa wawiliwawili mpaka kule Kwa watoto walilazwa wawiliwawili. Kweli mageuzi Sekta ya Afya yamesaidia Sana.
 
Yaani Acha kabisa. Yaani mikoa yote case ngumu Muhimbili. Halafu huduma hafifu na uchafu kipindi hicho. Yaani wodini wagonjwa walilazwa wawiliwawili mpaka kule Kwa watoto walilazwa wawiliwawili. Kweli mageuzi Sekta ya Afya yamesaidia Sana.
Watu hawajui haya
 
Mlinzi wa kweli ni mungu peke yake. Kikombe kilekile alichomnywesha naye atakinywea.
 
Picha ya walinzi tafadhali!
 
Janabi huyu anayetuambia tusile maharage, tusile matunda, tusinywe maji, tusile nyama, tusile ugali, tusile ubwabwa, tusile hiki, tusile kile!!!

He is a nutty professor
πŸ˜‚πŸ˜‚
Hakuna ka clip akitoa hayo maelekezo?
 
It's unique he deserve nadhani kwa level yake tunaye mmoja tu, na sio mawazo mengine potofu ya ajabu ajabu
 
Naomba mwenye details kuhusu Prof.Shaba,aanzishe uzi wake,lol na anitag kwa manufaa ya kujua historia ya wataalamu wetu waliotumikia Taifa kwa weledi wa hali ya juu,na kuhifadhi kumbukumbu.Asante
 
Kuzima kile kifaa mchezo?
 
Huwezi kuwa Daktari wa mtu na ukazima kifaa kile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…