Mkurugenzi mwingine PSSSF ajikopesha Tsh. Milioni 200 kinyemela

Mkurugenzi mwingine PSSSF ajikopesha Tsh. Milioni 200 kinyemela

Kwani si atairudisha? Wamuulize atairudishaje basi vinginevyo utashangaa wanamfukuza na anatokomea nazo agahahha
 
Sasa hv nafuatilia hizi kesi ili nijue kozi muhim za kusoma hii nchi. Ili hata wanangu wasome waje kula hii keki ya taifa maana its obvious hakuna supervision
  • Kozi yoyote na sahihi yenye nguvu ni dili.
  • Pia uwe na connection yenye nguvu kwenye Chama
 
Tunaumia na hizi tozo halafu kuna mpumbavu mmoja anajichotea kirahisi tu. Serikali imeshindwa kudhibiti myanya ya matumizi mabaya ya pesa na sasa tunaumia sisi. Kesi za hawa jamaa huwa zinaishia hewani tu. Mtu anaiba milioni 20 halafu eti mahakamani anapigwa faini ya mil 4 haingii akilini kbs.
 
Mkurugenzi wa Mifumo ya TEHAMA wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Gilbert Chawe, amefikishwa kwenye Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kwa tuhuma za ukiukwaji wa maadili na kukopa Sh. milioni 200.7 kinyume cha utaratibu wa mfuko.

Akisoma mashtaka hayo mbele ya baraza hilo mwishoni mwa wiki, Wakili wa Serikali, Hassan Mayunga, alidai mkurugenzi huyo alitumia fedha za umma za mfuko wa PSSSF Sh. milioni 135.6 bila kufuata utaratibu kwa kuzikopa na kununua gari binafsi, ilhali akijua fedha hizo hazikutengwa kwenye bajeti ya mwaka 2020/21.

“Katika shtaka la pili, mlalamikiwa, akitekeleza majukumu yake ya kikazi kati ya mwaka 2020 na 2021, alipokea na kutumia bila kufuata utaratibu fedha za umma kutoka PSSSF Sh. milioni 65.13 kwa ajili ya kulipia kodi ya ununuzi wa gari binafsi bila kufuata utaratibu,” alidai.

Wakili huyo alidai kitendo hiko ni kinyume cha kifungu cha 6(1)(a), (b) na (f) cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya Mwaka 1995, kikisomwa pamoja na Kanuni ya 3(2)(a) na (e) ya Kanuni za Udhibiti wa Mgongano wa Maslahi na Kanuni 7(d) na (e) ya Kanuni za Ahadi ya Uadilifu.

“Shtaka la tatu ni kupokea fedha Sh. milioni 65. 13 kutoka PSSSF kwa ajili ya kulipia kodi ya ununuzi wa gari binafsi,

lakini kiasi hicho kilitumika kinyume cha utaratibu pia hakikutumika kama ilivyokusudiwa,” alidai.

Wakili Mayunga, alidai mlalamikiwa huyo alipata mkopo huo kinyume cha Sera ya Mikopo ya PSSSF na haukupita kwenye kamati ya mikopo ya taasisi.

Upande wa mlalamikaji ulidai mbele ya baraza hilo kuwa kipengele cha 4(2)(b) cha Sera ya Mikopo ya PSSSF ya tarehe 1/11/2018 kinasema mfuko utalipa asilimia 100 ya kodi kwa mkurugenzi mkuu na wakurugenzi wengine kwa gari jipya, lakini gari alilonunua mlalamikiwa halikuwa jipya, bali gari chakavu.

Upande wa mlalamikaji pia uliwasilisha vielelezo mbalimbali ikiwamo mkataba wa mkopo uliotiwa saini Aprili 24, 2021, orodha ya wanufaika wa mkopo na hati ya malipo ya Aprili 29, 2021.

Vilevile, ushahidi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) unaonyesha kuwa, gari alilonunua Chawe lenye namba za usajili T 607 DTQ, lilisajiliwa kwa mara ya kwanza na mamlaka hiyo Juni 12, 2020 na mmiliki wake wa kwanza ni Kipenka Musa.

Mnamo Mei 4, 2021, umiliki wa gari hilo ulihamia kwa Chawe kutoka kwa Salim Cars wa Dar es Salaam ambapo Salim Cars alilinunua kutoka kwa Jaji Musa wakati gari hilo lilishalipiwa kodi na serikali na ililinunua gari hilo na kumpa Jaji Musa kama stahiki yake alipostaafu.

Mlalamikiwa huyo alikana mashtaka hayo yote lakini akakiri mbele ya baraza kuwa mmiliki wa kwanza wa gari hilo ni Jaji Musa.

“Ni kweli gari hilo alipewa Jaji Musa kama stahiki yake, lakini aliliacha Toyota kwa lengo la kutafuta mnunuzi mwingine,” alisema Chawe.

Alipoulizwa kama Salim Cars anayedaiwa kulinunua kutoka kwa Jaji Musa, alimwonyesha hati za malipo ya kodi, mlalamikiwa alishindwa kulithibitishia baraza.

“Mfuko wa PSSSF ulimlipa fedha za kodi Salim Cars, siyo mimi, malipo haya yalilipwa baada ya kujiridhisha na kiasi cha kodi kilichotakiwa kulipwa,” alidai.

Mlalamikiwa alipoulizwa mbele ya baraza kama Sh. milioni 13.6 ambayo ni asilimia 10 ya Sh. milioni 135 iliyotakiwa kulipwa TRA kama gharama ya uhamisho wa umiliki wa gari ililipwa, alishindwa kulithibitishia baraza malipo hayo.
Ni Jambo la Faraja kwamba issue hizi tunazipata zikiwa zinachukuliwa hatua, ni wazi kwamba uwezi umeengezeka. Big up Kamati ya maadili na aliyefikisha mashtaka.
 
Ule msemo kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake unatekelezwa balabala..
 
Mkurugenzi wa Mifumo ya TEHAMA wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Gilbert Chawe, amefikishwa kwenye Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kwa tuhuma za ukiukwaji wa maadili na kukopa Sh. milioni 200.7 kinyume cha utaratibu wa mfuko.
Ukiwaambia nataka mafao yangu wanakwambia mpaka ustafu.yani unatamani kuvaa silaha ufanye yako.kumbe wanatunyima heka zetu huku wanajikopesha? Inatia hasira sana
 
Mkurugenzi wa Mifumo ya TEHAMA wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Gilbert Chawe, amefikishwa kwenye Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kwa tuhuma za ukiukwaji wa maadili na kukopa Sh. milioni 200.7 kinyume cha utaratibu wa mfuko.

Akisoma mashtaka hayo mbele ya baraza hilo mwishoni mwa wiki, Wakili wa Serikali, Hassan Mayunga, alidai mkurugenzi huyo alitumia fedha za umma za mfuko wa PSSSF Sh. milioni 135.6 bila kufuata utaratibu kwa kuzikopa na kununua gari binafsi, ilhali akijua fedha hizo hazikutengwa kwenye bajeti ya mwaka 2020/21.

“Katika shtaka la pili, mlalamikiwa, akitekeleza majukumu yake ya kikazi kati ya mwaka 2020 na 2021, alipokea na kutumia bila kufuata utaratibu fedha za umma kutoka PSSSF Sh. milioni 65.13 kwa ajili ya kulipia kodi ya ununuzi wa gari binafsi bila kufuata utaratibu,” alidai.

Wakili huyo alidai kitendo hiko ni kinyume cha kifungu cha 6(1)(a), (b) na (f) cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya Mwaka 1995, kikisomwa pamoja na Kanuni ya 3(2)(a) na (e) ya Kanuni za Udhibiti wa Mgongano wa Maslahi na Kanuni 7(d) na (e) ya Kanuni za Ahadi ya Uadilifu.

“Shtaka la tatu ni kupokea fedha Sh. milioni 65. 13 kutoka PSSSF kwa ajili ya kulipia kodi ya ununuzi wa gari binafsi,

lakini kiasi hicho kilitumika kinyume cha utaratibu pia hakikutumika kama ilivyokusudiwa,” alidai.

Wakili Mayunga, alidai mlalamikiwa huyo alipata mkopo huo kinyume cha Sera ya Mikopo ya PSSSF na haukupita kwenye kamati ya mikopo ya taasisi.

Upande wa mlalamikaji ulidai mbele ya baraza hilo kuwa kipengele cha 4(2)(b) cha Sera ya Mikopo ya PSSSF ya tarehe 1/11/2018 kinasema mfuko utalipa asilimia 100 ya kodi kwa mkurugenzi mkuu na wakurugenzi wengine kwa gari jipya, lakini gari alilonunua mlalamikiwa halikuwa jipya, bali gari chakavu.

Upande wa mlalamikaji pia uliwasilisha vielelezo mbalimbali ikiwamo mkataba wa mkopo uliotiwa saini Aprili 24, 2021, orodha ya wanufaika wa mkopo na hati ya malipo ya Aprili 29, 2021.

Vilevile, ushahidi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) unaonyesha kuwa, gari alilonunua Chawe lenye namba za usajili T 607 DTQ, lilisajiliwa kwa mara ya kwanza na mamlaka hiyo Juni 12, 2020 na mmiliki wake wa kwanza ni Kipenka Musa.

Mnamo Mei 4, 2021, umiliki wa gari hilo ulihamia kwa Chawe kutoka kwa Salim Cars wa Dar es Salaam ambapo Salim Cars alilinunua kutoka kwa Jaji Musa wakati gari hilo lilishalipiwa kodi na serikali na ililinunua gari hilo na kumpa Jaji Musa kama stahiki yake alipostaafu.

Mlalamikiwa huyo alikana mashtaka hayo yote lakini akakiri mbele ya baraza kuwa mmiliki wa kwanza wa gari hilo ni Jaji Musa.

“Ni kweli gari hilo alipewa Jaji Musa kama stahiki yake, lakini aliliacha Toyota kwa lengo la kutafuta mnunuzi mwingine,” alisema Chawe.

Alipoulizwa kama Salim Cars anayedaiwa kulinunua kutoka kwa Jaji Musa, alimwonyesha hati za malipo ya kodi, mlalamikiwa alishindwa kulithibitishia baraza.

“Mfuko wa PSSSF ulimlipa fedha za kodi Salim Cars, siyo mimi, malipo haya yalilipwa baada ya kujiridhisha na kiasi cha kodi kilichotakiwa kulipwa,” alidai.

Mlalamikiwa alipoulizwa mbele ya baraza kama Sh. milioni 13.6 ambayo ni asilimia 10 ya Sh. milioni 135 iliyotakiwa kulipwa TRA kama gharama ya uhamisho wa umiliki wa gari ililipwa, alishindwa kulithibitishia baraza malipo hayo.
Huyo hakukopa alikuwa kaiba hapo wamejsribu tu ku-diverge.
 
Mkurugenzi wa Mifumo ya TEHAMA wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Gilbert Chawe, amefikishwa kwenye Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kwa tuhuma za ukiukwaji wa maadili na kukopa Sh. milioni 200.7 kinyume cha utaratibu wa mfuko.

Akisoma mashtaka hayo mbele ya baraza hilo mwishoni mwa wiki, Wakili wa Serikali, Hassan Mayunga, alidai mkurugenzi huyo alitumia fedha za umma za mfuko wa PSSSF Sh. milioni 135.6 bila kufuata utaratibu kwa kuzikopa na kununua gari binafsi, ilhali akijua fedha hizo hazikutengwa kwenye bajeti ya mwaka 2020/21.

“Katika shtaka la pili, mlalamikiwa, akitekeleza majukumu yake ya kikazi kati ya mwaka 2020 na 2021, alipokea na kutumia bila kufuata utaratibu fedha za umma kutoka PSSSF Sh. milioni 65.13 kwa ajili ya kulipia kodi ya ununuzi wa gari binafsi bila kufuata utaratibu,” alidai.

Wakili huyo alidai kitendo hiko ni kinyume cha kifungu cha 6(1)(a), (b) na (f) cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya Mwaka 1995, kikisomwa pamoja na Kanuni ya 3(2)(a) na (e) ya Kanuni za Udhibiti wa Mgongano wa Maslahi na Kanuni 7(d) na (e) ya Kanuni za Ahadi ya Uadilifu.

“Shtaka la tatu ni kupokea fedha Sh. milioni 65. 13 kutoka PSSSF kwa ajili ya kulipia kodi ya ununuzi wa gari binafsi,

lakini kiasi hicho kilitumika kinyume cha utaratibu pia hakikutumika kama ilivyokusudiwa,” alidai.

Wakili Mayunga, alidai mlalamikiwa huyo alipata mkopo huo kinyume cha Sera ya Mikopo ya PSSSF na haukupita kwenye kamati ya mikopo ya taasisi.

Upande wa mlalamikaji ulidai mbele ya baraza hilo kuwa kipengele cha 4(2)(b) cha Sera ya Mikopo ya PSSSF ya tarehe 1/11/2018 kinasema mfuko utalipa asilimia 100 ya kodi kwa mkurugenzi mkuu na wakurugenzi wengine kwa gari jipya, lakini gari alilonunua mlalamikiwa halikuwa jipya, bali gari chakavu.

Upande wa mlalamikaji pia uliwasilisha vielelezo mbalimbali ikiwamo mkataba wa mkopo uliotiwa saini Aprili 24, 2021, orodha ya wanufaika wa mkopo na hati ya malipo ya Aprili 29, 2021.

Vilevile, ushahidi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) unaonyesha kuwa, gari alilonunua Chawe lenye namba za usajili T 607 DTQ, lilisajiliwa kwa mara ya kwanza na mamlaka hiyo Juni 12, 2020 na mmiliki wake wa kwanza ni Kipenka Musa.

Mnamo Mei 4, 2021, umiliki wa gari hilo ulihamia kwa Chawe kutoka kwa Salim Cars wa Dar es Salaam ambapo Salim Cars alilinunua kutoka kwa Jaji Musa wakati gari hilo lilishalipiwa kodi na serikali na ililinunua gari hilo na kumpa Jaji Musa kama stahiki yake alipostaafu.

Mlalamikiwa huyo alikana mashtaka hayo yote lakini akakiri mbele ya baraza kuwa mmiliki wa kwanza wa gari hilo ni Jaji Musa.

“Ni kweli gari hilo alipewa Jaji Musa kama stahiki yake, lakini aliliacha Toyota kwa lengo la kutafuta mnunuzi mwingine,” alisema Chawe.

Alipoulizwa kama Salim Cars anayedaiwa kulinunua kutoka kwa Jaji Musa, alimwonyesha hati za malipo ya kodi, mlalamikiwa alishindwa kulithibitishia baraza.

“Mfuko wa PSSSF ulimlipa fedha za kodi Salim Cars, siyo mimi, malipo haya yalilipwa baada ya kujiridhisha na kiasi cha kodi kilichotakiwa kulipwa,” alidai.

Mlalamikiwa alipoulizwa mbele ya baraza kama Sh. milioni 13.6 ambayo ni asilimia 10 ya Sh. milioni 135 iliyotakiwa kulipwa TRA kama gharama ya uhamisho wa umiliki wa gari ililipwa, alishindwa kulithibitishia baraza malipo hayo.
Hawa PSSSF wanatuona Watanzania NI wajinga Sana si ndiyo?
 
Mkurugenzi wa Mifumo ya TEHAMA wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Gilbert Chawe, amefikishwa kwenye Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kwa tuhuma za ukiukwaji wa maadili na kukopa Sh. milioni 200.7 kinyume cha utaratibu wa mfuko.

Akisoma mashtaka hayo mbele ya baraza hilo mwishoni mwa wiki, Wakili wa Serikali, Hassan Mayunga, alidai mkurugenzi huyo alitumia fedha za umma za mfuko wa PSSSF Sh. milioni 135.6 bila kufuata utaratibu kwa kuzikopa na kununua gari binafsi, ilhali akijua fedha hizo hazikutengwa kwenye bajeti ya mwaka 2020/21.

“Katika shtaka la pili, mlalamikiwa, akitekeleza majukumu yake ya kikazi kati ya mwaka 2020 na 2021, alipokea na kutumia bila kufuata utaratibu fedha za umma kutoka PSSSF Sh. milioni 65.13 kwa ajili ya kulipia kodi ya ununuzi wa gari binafsi bila kufuata utaratibu,” alidai.

Wakili huyo alidai kitendo hiko ni kinyume cha kifungu cha 6(1)(a), (b) na (f) cha Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya Mwaka 1995, kikisomwa pamoja na Kanuni ya 3(2)(a) na (e) ya Kanuni za Udhibiti wa Mgongano wa Maslahi na Kanuni 7(d) na (e) ya Kanuni za Ahadi ya Uadilifu.

“Shtaka la tatu ni kupokea fedha Sh. milioni 65. 13 kutoka PSSSF kwa ajili ya kulipia kodi ya ununuzi wa gari binafsi,

lakini kiasi hicho kilitumika kinyume cha utaratibu pia hakikutumika kama ilivyokusudiwa,” alidai.

Wakili Mayunga, alidai mlalamikiwa huyo alipata mkopo huo kinyume cha Sera ya Mikopo ya PSSSF na haukupita kwenye kamati ya mikopo ya taasisi.

Upande wa mlalamikaji ulidai mbele ya baraza hilo kuwa kipengele cha 4(2)(b) cha Sera ya Mikopo ya PSSSF ya tarehe 1/11/2018 kinasema mfuko utalipa asilimia 100 ya kodi kwa mkurugenzi mkuu na wakurugenzi wengine kwa gari jipya, lakini gari alilonunua mlalamikiwa halikuwa jipya, bali gari chakavu.

Upande wa mlalamikaji pia uliwasilisha vielelezo mbalimbali ikiwamo mkataba wa mkopo uliotiwa saini Aprili 24, 2021, orodha ya wanufaika wa mkopo na hati ya malipo ya Aprili 29, 2021.

Vilevile, ushahidi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) unaonyesha kuwa, gari alilonunua Chawe lenye namba za usajili T 607 DTQ, lilisajiliwa kwa mara ya kwanza na mamlaka hiyo Juni 12, 2020 na mmiliki wake wa kwanza ni Kipenka Musa.

Mnamo Mei 4, 2021, umiliki wa gari hilo ulihamia kwa Chawe kutoka kwa Salim Cars wa Dar es Salaam ambapo Salim Cars alilinunua kutoka kwa Jaji Musa wakati gari hilo lilishalipiwa kodi na serikali na ililinunua gari hilo na kumpa Jaji Musa kama stahiki yake alipostaafu.

Mlalamikiwa huyo alikana mashtaka hayo yote lakini akakiri mbele ya baraza kuwa mmiliki wa kwanza wa gari hilo ni Jaji Musa.

“Ni kweli gari hilo alipewa Jaji Musa kama stahiki yake, lakini aliliacha Toyota kwa lengo la kutafuta mnunuzi mwingine,” alisema Chawe.

Alipoulizwa kama Salim Cars anayedaiwa kulinunua kutoka kwa Jaji Musa, alimwonyesha hati za malipo ya kodi, mlalamikiwa alishindwa kulithibitishia baraza.

“Mfuko wa PSSSF ulimlipa fedha za kodi Salim Cars, siyo mimi, malipo haya yalilipwa baada ya kujiridhisha na kiasi cha kodi kilichotakiwa kulipwa,” alidai.

Mlalamikiwa alipoulizwa mbele ya baraza kama Sh. milioni 13.6 ambayo ni asilimia 10 ya Sh. milioni 135 iliyotakiwa kulipwa TRA kama gharama ya uhamisho wa umiliki wa gari ililipwa, alishindwa kulithibitishia baraza malipo hayo.
Hii mifuko imejaa madudu washa wa kutosha. Hizo fedha zinapigwa kisawasawa..
 
Taifisha mali hiyo. Ishasemwa ni ya UMMA baraza la nini sijui maaana yake nini kutuhadaa na kutuonyesha wanafanya kazi?

TAKUKURU ndio hapo wanahitajika kuingilia na kumfungulia mashitaka Mahakamani
Au...
Atokee mtu wakamshitaki mahakamani. Kesi ya madai. hiyoooo Hana la kupinga huyo JAMBAZI
 
PSSSF ni jamba lingine! Wastaafu na walioachishwa kazi wanapoenda kuchukua pesa zao huwa wanakiona cha mtemakuni!
 
Imagine mtu asiye na akili sawa sawa anachukua milioni 200 anakwenda kununua gari? [emoji848] Hivi unatakiwa kuwa mpumbavu kiasi gani ununue gari la milioni 200 wakati kwa mkundu wake anajua kabisa hiyo hela imechangwa na watanzania kwa kukatwa hela kila mwezi ili waje kulipwa mafao yao mbwa huyu. [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
 
Kwani si atairudisha? Wamuulize atairudishaje basi vinginevyo utashangaa wanamfukuza na anatokomea nazo agahahha
Anarudisha zitoke wapi mtu amenunua gari? Angekuwa amekwenda kutumia kama mtaji wa biashara tungesema wakae nae awaeleze alipanga kurejesha vipi hela za watu.

Huyu amechukua amenunua gari ina maana hana mpango wa kurejesha ni kama mwanafunzi anayekula ada kwa kuendea club, hizo hela zinarejeshwaje? [emoji848]
 
Back
Top Bottom