Ahsante piaShukrani sana, ila nilisoma na taarifa inasema madereva wote wawili wanashikiliwa Kwa uchunguzi zaidi! Inawezekana wakawa wamemshikilia marehemu. Asante Mkuu kwa reminder pia japo nilishasoma!
Pamoja na Hilo hiko kipande cha Kibaha Pwani nacho kinaongoza kwa ajali, lazima kuna engineering errors ambazo hatujawahi kukaa chini kuulizana.. Why njia hiyo ina ajali nyingi sanaMadereva wa Serikali sijui wanapatikana kwa njia gani. Fikra zangu zinanituma kuwa hawa madereva wa Serikali kama ilivyo kwa watumishi wengi wa Serikali, wanapatikana kwa njia ya vimemo na siyo weledi.
Yaani gari ya Serikali iwapo barabarani ni potential hazard kwa watumiaji wengine wote wa barabara.
Madereva wa magari ya Serikali, kabla ya kuajiriwa wapelekwe chuo maalum, na iwepo kampuni maalum ya kuwafanyia grading.
Poleni sana wafiwa.
Tunamwomba Mungu wa huruma amjalie pumziko jema la milele.
Huenda ilijengwa na wanafunzi wa field.... Na mbaya zaidi hakuna wa kufanya hii research zaidi ya siasa.Pamoja na Hilo hiko kipande cha kibaha pwani nacho kinaongoza Kwa ajali lazima kuna engineering errors ambazo hatujawahi kukaa chini kuulizana ..why njia hiyo ina ajali nyingi sana
Wakili Mkuu wa serikali?Kibaha. Mkurugenzi wa Mipango Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Katiba na Sheria Dk Abdul Mussa, amefariki dunia leo Jumapili Aprili 23, 2023 saa sita mchana baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Dar es Salaam kuelekea mkoani Dodoma kupata ajali eneo la Mdaula wilayani Bagamoyo.
Taarifa hiyo imethibitishwa na Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Pius Lutumo amesema ajali hiyo baada ya gari aina ya Toyota Hilux alilokuwa akisafiria likiendeshwa na Alex Festo kuligonga kwa nyuma gari aina ya Howo lililokuwa linaendeshwa na Rashid Mohamed.
"Tunaendelea kuwashikilia madereva wote waliokuwa wanaendesha magari hayo na chanzo cha ajali bado tunaendelea kukichunguza,"amesema
Also Read
Amesema kuwa mwili wa marehemu huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi kusubiri taratibu nyingine.
Kamanda Lutumo amesema katika ajali hiyo hakuna majeruhi yoyote zaidi ya kifo cha mkurugenzi huyo na amewataka madereva kuongeza umakini pindi wawapo barabarani Ili kuepusha ajali zinazoepukika ambazo husababisha vifo, uharibifu wa mali na miundombinu.
Mwananchi
Umenena vema mkuu hizi barabara zetu zimejengwa bila kujimuisha utaalam, pia hawa madereva wengi wapo above traffic laws wakiwa barabarani, they don't take a shit, wao kwao ni speed tu, hawajui slow &fast corners, hawajui breaking points zake na haya ndio matokeo yake, dereva huyu kagonga Lori kwa nyuma, hii sio rocket science alikua speed, no good following distance, na why police wamshikilie dereva wa Lori ambaye amegongwa kwa nyuma?au kwa sababu ya kigogo nhe!Pamoja na Hilo hiko kipande cha kibaha pwani nacho kinaongoza Kwa ajali lazima kuna engineering errors ambazo hatujawahi kukaa chini kuulizana ..why njia hiyo ina ajali nyingi sana
Wakuu wa ofisi ndo wanatembelea ma VX ndg.Mkurugenzi tena Dokta anatembelea Hilux wakati Kuna ma VX ya kutosha?????
Kama kuna madereva wanasoma vizuri na kila mara wanarudi short course ni hawa wa Serikali shida ni hao maboss wao ndio wanawapa viburi..Madereva wa Serikali sijui wanapatikana kwa njia gani. Fikra zangu zinanituma kuwa hawa madereva wa Serikali kama ilivyo kwa watumishi wengi wa Serikali, wanapatikana kwa njia ya vimemo na siyo weledi.
Yaani gari ya Serikali iwapo barabarani ni potential hazard kwa watumiaji wengine wote wa barabara.
Madereva wa magari ya Serikali, kabla ya kuajiriwa wapelekwe chuo maalum, na iwepo kampuni maalum ya kuwafanyia grading.
Poleni sana wafiwa.
Tunamwomba Mungu wa huruma amjalie pumziko jema la milele.
Lakini hata hizi movements za Dar-Dodoma kwa viongozi wa Serikali zinachangia sana, wewe fikiria mtu anaendesha gari usiku kucha.Waliwatoa madreva wa vyeti FEKI wanaojuwa kuendesha wakawaleta madreva wenye vyeti HALISI wasiojua kuendesha. Matokeo ndiyo haya
Hiko ndio mdudu gani?Pamoja na Hilo hiko kipande cha kibaha pwani nacho kinaongoza Kwa ajali lazima kuna engineering errors ambazo hatujawahi kukaa chini kuulizana ..why njia hiyo ina ajali nyingi sana
Ukaguzi wa vyeti kwa madereva wa Serikali ufanyike upya!Kibaha. Mkurugenzi wa Mipango Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Katiba na Sheria Dk Abdul Mussa, amefariki dunia leo Jumapili Aprili 23, 2023 saa sita mchana baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Dar es Salaam kuelekea mkoani Dodoma kupata ajali eneo la Mdaula wilayani Bagamoyo.
Taarifa hiyo imethibitishwa na Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Pius Lutumo amesema ajali hiyo baada ya gari aina ya Toyota Hilux alilokuwa akisafiria likiendeshwa na Alex Festo kuligonga kwa nyuma gari aina ya Howo lililokuwa linaendeshwa na Rashid Mohamed.
"Tunaendelea kuwashikilia madereva wote waliokuwa wanaendesha magari hayo na chanzo cha ajali bado tunaendelea kukichunguza,"amesema
Also Read
Amesema kuwa mwili wa marehemu huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi kusubiri taratibu nyingine.
Kamanda Lutumo amesema katika ajali hiyo hakuna majeruhi yoyote zaidi ya kifo cha mkurugenzi huyo na amewataka madereva kuongeza umakini pindi wawapo barabarani Ili kuepusha ajali zinazoepukika ambazo husababisha vifo, uharibifu wa mali na miundombinu.
Mwananchi
Wewe nae ni mwathirika akiliniMkurugenzi tena Dokta anatembelea Hilux wakati Kuna ma VX ya kutosha?????
Kweli kabisa..Hapa duniani ni mahala pa kupita tu.
Lambda mwendo..ila alama sio chanzo cha ajali.Madereva wa serikali hawanaga mwendo mdogo......hawana alama za barabarani, hawana Sheria yoyote ile!
Eebhana, eeh! Noma sanaMkurugenzi tena Dokta anatembelea Hilux wakati Kuna ma VX ya kutosha?????
Jini?Siku ya Eid mkuu, pembeni huwezi jua alikuwa kakaa Nani
Dar to Dodoma ni less than 6hrs comfortable drive, uchovu utoke wapi wa kuendesha usiku kucha? Barabara ni mbovu, bucket hii inaishia hapa, barabara ni mbovu, Lusaka to Livingstone ni 550km, sprinter zinatambaa kwa 4 to 5 hrs,....barabara ni safi!Lakini hata hizi movements za dar dodoma kwa viongozi wa serikali zinachangia sana wewe fikiria mtu anaendesha gari usiku kucha