Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
madereva wa serikali shida ni kwamba wanalipwa kidogo, na wanaendesha magari wakiwa na hasira. waongezeeni mishahara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dereva wa Hilux nina mashaka naye sana.Kibaha. Mkurugenzi wa Mipango Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Katiba na Sheria Dk Abdul Mussa, amefariki dunia leo Jumapili Aprili 23, 2023 saa sita mchana baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Dar es Salaam kuelekea mkoani Dodoma kupata ajali eneo la Mdaula wilayani Bagamoyo.
Taarifa hiyo imethibitishwa na Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Pius Lutumo amesema ajali hiyo baada ya gari aina ya Toyota Hilux alilokuwa akisafiria likiendeshwa na Alex Festo kuligonga kwa nyuma gari aina ya Howo lililokuwa linaendeshwa na Rashid Mohamed.
"Tunaendelea kuwashikilia madereva wote waliokuwa wanaendesha magari hayo na chanzo cha ajali bado tunaendelea kukichunguza,"amesema
Also Read
Amesema kuwa mwili wa marehemu huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi kusubiri taratibu nyingine.
Kamanda Lutumo amesema katika ajali hiyo hakuna majeruhi yoyote zaidi ya kifo cha mkurugenzi huyo na amewataka madereva kuongeza umakini pindi wawapo barabarani Ili kuepusha ajali zinazoepukika ambazo husababisha vifo, uharibifu wa mali na miundombinu.
Mwananchi
Kuna dogo mmoja wa mtaani kwetu. Alikuwa ni dreva wa tug boat zile zinazovuta meli toka nje ya mlango hadi maegesho. Naye alikuwa na cheti feki pamoja na wenzie. Wote mwaka 2018 walipigwa chini. Lakini TPA ikawa inawatumia kama vibarua kufanya kazi ile ile kwa miezi kama 6 kwa kuwa wenye vyeti halisi walikuwa hawana uwezo wa kuegesha meli.Hili swala lilinishangaza, kazi kama udereva ni kazi inayohitaji experience zaidi, waliwaonea
Mdaula tangu lini ikawa Bagamoyo?Mkurugenzi wa Mipango Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Katiba na Sheria Dk. Abdul Mussa, amefariki dunia leo Jumapili Aprili 23, 2023 saa sita mchana baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka Dar es Salaam kuelekea mkoani Dodoma kupata ajali eneo la Mdaula wilayani Bagamoyo.
Taarifa hiyo imethibitishwa na Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Pius Lutumo amesema ajali hiyo baada ya gari aina ya Toyota Hilux alilokuwa akisafiria likiendeshwa na Alex Festo kuligonga kwa nyuma gari aina ya Howo lililokuwa linaendeshwa na Rashid Mohamed.
"Tunaendelea kuwashikilia madereva wote waliokuwa wanaendesha magari hayo na chanzo cha ajali bado tunaendelea kukichunguza,"amesema.
Amesema kuwa mwili wa marehemu huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani, Tumbi kusubiri taratibu nyingine.
Kamanda Lutumo amesema katika ajali hiyo hakuna majeruhi yoyote zaidi ya kifo cha Mkurugenzi huyo na amewataka madereva kuongeza umakini pindi wawapo barabarani ili kuepusha ajali zinazoepukika ambazo husababisha vifo, uharibifu wa mali na miundombinu.
Mwananchi
Vyeti feki walisharudi mbonaWaliwatoa madreva wa vyeti FEKI wanaojuwa kuendesha wakawaleta madreva wenye vyeti HALISI wasiojua kuendesha. Matokeo ndiyo haya
Jini babako?Jini?
Huyu ni mchumi ndio maana ni Mkurugenzi wa Mipango sio kila anayefanya kazi hospitali ni dkt!Wakili Mkuu wa serikali?
Mungu amsamehe kama alibambikia watu kesi.
R.I.P Dokta.
Siyo kweli. Hakuna cheti feki aliyerudi bali wanapewa 5% yao waliyochangia mifuko ya hifadhi ya jamiiVyeti feki walisharudi mbona
Dereva hata ajachubuka mkuuAcha wafe wote nature inafanya KAZI yake kutuondolea madereva wabovu.
Hawa jamaa wakiwa barabarani wanajiona dunia ni Yao Acha wafe Tu.
Ni mkurugenzi wa wakili mkuu wa serikali na sio wakili mkuuWakili Mkuu wa serikali?
Mungu amsamehe kama alibambikia watu kesi.
R.I.P Dokta.
Ni uchawi tu mkuu, pana ugwiji sana hicho kipande.Pamoja na Hilo hiko kipande cha Kibaha Pwani nacho kinaongoza kwa ajali, lazima kuna engineering errors ambazo hatujawahi kukaa chini kuulizana.. Why njia hiyo ina ajali nyingi sana
Pamoja na Hilo hiko kipande cha Kibaha Pwani nacho kinaongoza kwa ajali, lazima kuna engineering errors ambazo hatujawahi kukaa chini kuulizana.. Why njia hiyo ina ajali nyingi sana
Up stairs kumevurugika sana unahitaji ushauri nasaha. Dereva hajafa wala kujeruhiwa yupo lockup buda.Acha wafe wote nature inafanya KAZI yake kutuondolea madereva wabovu.
Hawa jamaa wakiwa barabarani wanajiona dunia ni Yao Acha wafe Tu.
Watanzania sijui mnataka nini? Siyo nyie mnaoitaka Serikali ibane matumizi?!Mkurugenzi tena Dokta anatembelea Hilux wakati Kuna ma VX ya kutosha?????
Vyovyote itakavyokuwaNi mkurugenzi wa wakili mkuu wa serikali na sio wakili mkuu