TANZIA Mkurugenzi Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Dk. Abdul Mussa afa ajalini

TANZIA Mkurugenzi Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Dk. Abdul Mussa afa ajalini

Polisi wetu sijui wanafikiria kutumia kiungo gani. Nina uhakika sio ubongo.
Dereva wa Howo gari yake imegongwa kwa nyuma na dereva wa serikali mwenye upesi. Sasa mnamshikilia dereva wa Howo kwa kosa gani?
Mlitegemea dereva wa Howo afanyaje?
Walitaka akae pembeni mkurugenzi apite!!!!!!
 
Polisi wetu sijui wanafikiria kutumia kiungo gani. Nina uhakika sio ubongo.
Dereva wa Howo gari yake imegongwa kwa nyuma na dereva wa serikali mwenye upesi. Sasa mnamshikilia dereva wa Howo kwa kosa gani?
Mlitegemea dereva wa Howo afanyaje?
Mkuu hapo wanataka kuonekana kama wanawajibika, na utashangaa wanamsumbua na hatatoka bila kitu kidogo
 
Madereva wa Serikali sijui wanapatikana kwa njia gani. Fikra zangu zinanituma kuwa hawa madereva wa Serikali kama ilivyo kwa watumishi wengi wa Serikali, wanapatikana kwa njia ya vimemo na siyo weledi.

Yaani gari ya Serikali iwapo barabarani ni potential hazard kwa watumiaji wengine wote wa barabara.

Madereva wa magari ya Serikali, kabla ya kuajiriwa wapelekwe chuo maalum, na iwepo kampuni maalum ya kuwafanyia grading.

Poleni sana wafiwa.

Tunamwomba Mungu wa huruma amjalie pumziko jema la milele.
Shidaa Sio madereva shidaa maboss wao wanakua na haraka mnooo
Aunt YANGU alitoka Dom saa nne alifika saa nane Dar ya mchana tulikua Tunazika aliwahi msiba
Pata picha huo mwendo
 
Lakini hata hizi movements za dar dodoma kwa viongozi wa serikali zinachangia sana wewe fikiria mtu anaendesha gari usiku kucha
Haya ndio madhara ya kuwa na ofisi mbili mbili katika nchi yenye pato dogo...
Kila siku magari ya Serikali ni safari za Dar - Dodoma... Mbaya zaidi hizi ajali toka 2017 zipo nyingi sana...
Maofisa wa Serikali wana ofisi mbili... Dar na Dodoma...
Madereva kazi wanayo... Kila siku safari na mafuta Serikali inagharamia..

Hapo sijazungumzia pia kuwa na Ikulu mbili zenye hadhi sawa... Utaona leo uteuzi Dar... Kesho uapisho Dodoma.. Hapo unakuta woootee kuanzia waziri mkuu, makamu nk wanaenda Dodoma...
Matumizi ni makubwa sana kwa viongozi hasa kwenye kusafiri
 
Madereva wa Serikali sijui wanapatikana kwa njia gani. Fikra zangu zinanituma kuwa hawa madereva wa Serikali kama ilivyo kwa watumishi wengi wa Serikali, wanapatikana kwa njia ya vimemo na siyo weledi.

Yaani gari ya Serikali iwapo barabarani ni potential hazard kwa watumiaji wengine wote wa barabara.

Madereva wa magari ya Serikali, kabla ya kuajiriwa wapelekwe chuo maalum, na iwepo kampuni maalum ya kuwafanyia grading.

Poleni sana wafiwa.

Tunamwomba Mungu wa huruma amjalie pumziko jema la milele.
Kwani mabasi na magari yanayopata ajali kila uchao huwa yanaendeshwa na madereva wa Serikali?
 
Madereva wa Serikali sijui wanapatikana kwa njia gani. Fikra zangu zinanituma kuwa hawa madereva wa Serikali kama ilivyo kwa watumishi wengi wa Serikali, wanapatikana kwa njia ya vimemo na siyo weledi.

Yaani gari ya Serikali iwapo barabarani ni potential hazard kwa watumiaji wengine wote wa barabara.

Madereva wa magari ya Serikali, kabla ya kuajiriwa wapelekwe chuo maalum, na iwepo kampuni maalum ya kuwafanyia grading.

Poleni sana wafiwa.

Tunamwomba Mungu wa huruma amjalie pumziko jema la milele.
Tatizo sio madereva.
 
Polisi wetu sijui wanafikiria kutumia kiungo gani. Nina uhakika sio ubongo.
Dereva wa Howo gari yake imegongwa kwa nyuma na dereva wa serikali mwenye upesi. Sasa mnamshikilia dereva wa Howo kwa kosa gani?
Mlitegemea dereva wa Howo afanyaje?
Tumia lugha nzuri utaeleweka tu.Kumshikilia mtu linapotokea tendo la uhalifu ni suala la kawaida.Inawezekana unafikiria kuwa kila kushikiliwa na Polisi ni kukaa mahabusu.Inawezekana hayuko mahabusu isipokuwa anaandikisha maelezo halafu ataachiwa kwa dhamana.
 
Haya ndio madhara ya kuwa na ofisi mbili mbili katika nchi yenye pato dogo...
Kila siku magari ya Serikali ni safari za Dar - Dodoma... Mbaya zaidi hizi ajali toka 2017 zipo nyingi sana...
Maofisa wa Serikali wana ofisi mbili... Dar na Dodoma...
Madereva kazi wanayo... Kila siku safari na mafuta Serikali inagharamia..

Hapo sijazungumzia pia kuwa na Ikulu mbili zenye hadhi sawa... Utaona leo uteuzi Dar... Kesho uapisho Dodoma.. Hapo unakuta woootee kuanzia waziri mkuu, makamu nk wanaenda Dodoma...
Matumizi ni makubwa sana kwa viongozi hasa kwenye kusafiri
Imagine. Tulitaka kupunguza matumizi.
 
ILA HILUX HADI IIUE KWELI ,AU HILUX ZA 1990

KWA NATURE YA AJALI KUGONG NYUMA HILUX KIBIN NDEFU NA AIRBUG SENSITIVE ZA TWO SIDE
 
Back
Top Bottom