Madereva wa Serikali sijui wanapatikana kwa njia gani. Fikra zangu zinanituma kuwa hawa madereva wa Serikali kama ilivyo kwa watumishi wengi wa Serikali, wanapatikana kwa njia ya vimemo na siyo weledi.
Yaani gari ya Serikali iwapo barabarani ni potential hazard kwa watumiaji wengine wote wa barabara.
Madereva wa magari ya Serikali, kabla ya kuajiriwa wapelekwe chuo maalum, na iwepo kampuni maalum ya kuwafanyia grading.
Poleni sana wafiwa.
Tunamwomba Mungu wa huruma amjalie pumziko jema la milele.