TANZIA Mkurugenzi Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, Dk. Abdul Mussa afa ajalini

madereva wa serikali shida ni kwamba wanalipwa kidogo, na wanaendesha magari wakiwa na hasira. waongezeeni mishahara.
 
Ofisi zimehamishiwa Dodoma ila Kila siku wapo Dar yaani barabara ya Dar - Dom ndo imekuwa ofisi sasa hivi
 
Dereva wa Hilux nina mashaka naye sana.

Anyways mambo ya serikali yana uzito mkuu

Mungu ampokee mtangulizwa mja wake
 
Hili swala lilinishangaza, kazi kama udereva ni kazi inayohitaji experience zaidi, waliwaonea
Kuna dogo mmoja wa mtaani kwetu. Alikuwa ni dreva wa tug boat zile zinazovuta meli toka nje ya mlango hadi maegesho. Naye alikuwa na cheti feki pamoja na wenzie. Wote mwaka 2018 walipigwa chini. Lakini TPA ikawa inawatumia kama vibarua kufanya kazi ile ile kwa miezi kama 6 kwa kuwa wenye vyeti halisi walikuwa hawana uwezo wa kuegesha meli.

Tukisema Magufuli alikuwa wa hovyo mutuelewe
 
Mdaula tangu lini ikawa Bagamoyo?
 
Pamoja na Hilo hiko kipande cha Kibaha Pwani nacho kinaongoza kwa ajali, lazima kuna engineering errors ambazo hatujawahi kukaa chini kuulizana.. Why njia hiyo ina ajali nyingi sana
Ni uchawi tu mkuu, pana ugwiji sana hicho kipande.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…