Wewe na wahuni wenzio ndiyo mnamkataa
Ila kwa watu makini wenye akili ndefu ya kuona mbele huyo ndo kiongozi tunayemtaka kipindi hiki
Tangu lini nyinyi mkaamini uchaguzi huru! Maana kila uchaguzi mnaibiwa
Subirini uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu ndiyo muone picha halisi ya mwaka kesho uchaguzi mkuu
kama ni hivyo bas ni afadhari walivyopiga chini huo mradi, ILA UKWELI UTABAKI PALEPALE KUA MAGUFULI NI RAIS WA HOVYO KUWAHI KUTOKEA KTK HISTORIA YA NCHI HII, ova.
Yaani Bandari moja bidhaa zile zile, mmiliki yule yule kodi 15?? Sasa hapo pesa alizowekeza utadhani ni za kwao hao akina Magu.Kweli kbsa Kodi kma zote
Luck of?? pumbavu sana wewe.Normally a Zwazwa hides his ID due to luck of confidence and integrity.
Usiniwekee maneno yako mdomoni mwangu.Eti namkubali huyo fisadi kwa shingo upande? [emoji15][emoji15][emoji15]Vipi wewe!? Usilazimishe kisichokuwepo wala ambacho hakitakuja kutokea eti mimi nimkubali huyo nduli wa Ikulu.
na hizo ndege alizonunua na nyinyi mnapanda kwenda mwanza kanunua kwa mshahara wake jibu hapana kwa hiyo hiyo trillion 1.5 matumizi yake ni kwenye kununua ndege
Hivi kuna mtu anaweza amani uongo uliokubuhu wa namna hiyo; in other words kwa mujibu wa nakala mwekezaji anataka kuchukua mapato ya bandari yeye pekee.
Hilo linawezekana vipi wakati mwekezaji anaelewa hiyo sector ni moja ya chanzo kikubwa cha mapato ya serikari (surely the couldn't be stupid).
Kwa blind supporters wa serikari maamuzi yaliyochukuliwa yanatakiwa kuwa ya uzalendo kwa ivyo kuhalalisha hilo kila aina ya uongo unaruhusiwa ilimradi ipatikane justification kilichofanyika ni sahihi.Ahsante Mtanzania mwenzangu.
Sasa tunageuzwa kuwa kama majuha hivi, ili mradi tuwasifie 'wazalendo' wetu wapya. Inashangaza sana!
Na unaona baadhi ya wachangiaji ndani ya mjadala huu walivyo..., sijui akili huwa wanaziacha wapi wanapokuja humu?
Na je mkataba huo au masharti hayo yangedunu kwa miaka mingapi ??Bandari ya Bagamoyo ingefilisi, kuuza nchi
Sunday May 19 2019
Kwa ufupi
Pamoja na kusamehewa kodi na ushuru mbalimbali kama zile za lazima kisheria, kulipwa fidia ya hasara ya kibiashara watakayopata kwa mujibu wa mahesabu yao, mwekezaji pia aliweka sharti la kuachiwa ajipangie bei ya kuwatoza watakaosafirisha mizigo kupitia bandari hiyo,.
By Peter Saramba na Jonathan Mussa, Mwananchi mwananchipapers@mwananchi.co.tz
Mwanza. Wakati Watanzania wa kawaida, wabunge na Spika Job Ndugai wakiendelea kujiuliza kwanini Serikali imesitisha majadiliano kuhusu uwekezaji kwenye mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, imebainika kuwa Serikali ingefilisika iwapo ingekubali masharti ya mwekezaji.
Pamoja na kusamehewa kodi na ushuru mbalimbali kama zile za lazima kisheria, kulipwa fidia ya hasara ya kibiashara watakayopata kwa mujibu wa mahesabu yao, mwekezaji pia aliweka sharti la kuachiwa ajipangie bei ya kuwatoza watakaosafirisha mizigo kupitia bandari hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Deusdedith Kakoko akizungumza leo Jumapili Mei 19,2019 na Mwananchi katika mahojiano maalumu Jijini Mwanza, amesema licha ya Serikali kukubali kusamehe ushuru wa stempu, ukaguzi wa forodha (customs inspection) ile ya ukaguzi wa meli ambayo ni tozo ya Kimataifa na kufungua kituo (one stop center) cha kuhudumia biashara katika bandari ya Bagamoyo, mwekezaji aliibua masharti mengine mapya 14 yasiyotekelezeka.
Kakoko ametaja masharti mapya yaliyoibuliwa na mwekezaji kuwa ni ya kusamehemewa kodi ya mapato, kodi ya taasisi, kodi ya ongezeko la thamani ya mali, kodi ya mapato kwa watu binafsi, ushuru wa Seriali za mitaa na kodi ya majengo.
“Mwekezaji pia alitoa mashari ya kusamehewa tozo ya ardhi, kodi ya fidia kwa wafanyakazi, kodi ya uendelezaji wa ujuzi, kodi ya forodha na kodi ya ongezeko la thamani, VAT.
“Walitaka wasamehewe kodi, ushuru na tozo zote za vibali vya kuishi na kufanya kazi nchini; hii ingesababisha wageni, hata wasiohitajika wala kuwa na kazi ya kufanya kujazana nchini,” amesema Kakoko.
Amesema mwekezaji aliweka masharti hayo kwa kisingizio kwamba hakuna shehena ya kutosha na kuhoji inakuwaje mwenye fedha awekeze kwenye biashara isiyolipa.
“Hakuna shehena ya kutosha wakati wewe (mwekezaji) unataka kuwekeza kwenye reli na bandari. (Ni lazima) Unakuja kwa sababu biashara ipo” amesema Kakoko
Amesema masharti hayo yangekubaliwa, ni dhahiri Taifa lingeambulia sifuri huku mwekezaji akichukua asilimia 100 ya kila kinachopatikana licha ya ukweli kwamba pande zote zimewekeza.
Mkurugenzi Mkuu huyo ametaja ardhi, rasilimali watu na nguvu kazi pamoja na mazingira bora ya uwekezaji uliopi nchini kuwa ni sehemu ya uwekezaji wa Serikali huku mwekezaji akitakiwa kuleta mtaji.
“Wakilegeza masharti na kukubali tugawane sawa sawa hakuna tatizo; waje na fedha zao. Lakini wahakikishe nasi tunapata. Haiwezekani sisi tupate sifuri lakini wao wapate asilimia 100,” amesema
Jk alikubali
BAK. Amekubali kuwa lipo jema limefanywa awamu hii ya 5 na sasa anaeleza pia hisia zake za mabaya ya awamu hii ya 5. Kimsingi yuko 50/50 . Ndio ubinadamu wakati wengine wako addicted negatively na awanu hii wapo pia positve addicted, wakati wengine wakiona Magu.,.. hata kabla hawajamalizia herufi zinafuata presha, kisukari, mihemko, kichocho,stress , Ukimwi hadi TB zinawapata papo hapo wengine mitaa niliopo ndio kwaanza wanaita watoto wao wanaozaa jina la Magufuli yaani hata awe wa kike kwa upenzi wao.Umebahatika kusoma ripoti ya CAG Assad na kuona madudu na maovu ya huyo nduli na dikteta wa Ikulu? Ni Rais yupi aliwahi kuchota trillions hazina bila ya idhini ya Bunge? Ni yupi kati ya waliomtangulia aliwahi kugomea CAG asikague matumizi makubwa yaliyofanywa na yeye? Ni yupi kati ya waliomtangulia alipandikiza chuki za kutisha miongoni mwa Watanzania hadi kutishia amani na mshikamano wa Watanzania uliodumu miaka mingi sasa?
BAK. Amekubali kuwa lipo jema limefanywa awamu hii ya 5 na sasa anaeleza pia hisia zake za mabaya ya awamu hii ya 5. Kimsingi yuko 50/50 . Ndio ubinadamu wakati wengine wako addicted negatively na awanu hii wapo pia positve addicted, wakati wengine wakiona Magu.,.. hata kabla hawajamalizia herufi zinafuata presha, kisukari, mihemko, kichocho,stress , Ukimwi hadi TB zinawapata papo hapo wengine mitaa niliopo ndio kwaanza wanaita watoto wao wanaozaa jina la Magufuli yaani hata awe wa kike kwa upenzi wao.
Uzi wako unamsifu mkuu kiaina. Kama umekula buku7 halafu unawasaliti watakudaiAcha kupotosha msimamo wangu kuhusu huyu nduli wa Ikulu. Kama huna la maana la kuchangia pita kimya kimya.
[emoji16][emoji16]Kwa akili zako fupi unataka kulazimisha hivyo. Siwezi kumsifu huyo muuaji hata kwa nusu sekunde.