Mkurugenzi TPA: Mkataba wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ungeifilisi Tanzania

Mkurugenzi TPA: Mkataba wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ungeifilisi Tanzania

Makini mwingine huyu hapa pimbi wewe! Alipokuwa na akili timamu hakuogopa kutamka haya leo hii THUBUTU!!!!



Wewe na wahuni wenzio ndiyo mnamkataa
Ila kwa watu makini wenye akili ndefu ya kuona mbele huyo ndo kiongozi tunayemtaka kipindi hiki
Tangu lini nyinyi mkaamini uchaguzi huru! Maana kila uchaguzi mnaibiwa
Subirini uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu ndiyo muone picha halisi ya mwaka kesho uchaguzi mkuu
 
Ni kweli ni wa hovyo kwa wapiga dili maana anawapiga kweli kweli.
kama ni hivyo bas ni afadhari walivyopiga chini huo mradi, ILA UKWELI UTABAKI PALEPALE KUA MAGUFULI NI RAIS WA HOVYO KUWAHI KUTOKEA KTK HISTORIA YA NCHI HII, ova.
 
Hivi kuna mtu anaweza amani uongo uliokubuhu wa namna hiyo; in other words kwa mujibu wa nakala mwekezaji anataka kuchukua mapato ya bandari yeye pekee.

Hilo linawezekana vipi wakati mwekezaji anaelewa hiyo sector ni moja ya chanzo kikubwa cha mapato ya serikari (surely the couldn't be stupid).
 
Usiniwekee maneno yako mdomoni mwangu.Eti namkubali huyo fisadi kwa shingo upande? [emoji15][emoji15][emoji15]Vipi wewe!? Usilazimishe kisichokuwepo wala ambacho hakitakuja kutokea eti mimi nimkubali huyo nduli wa Ikulu.

na hizo ndege alizonunua na nyinyi mnapanda kwenda mwanza kanunua kwa mshahara wake jibu hapana kwa hiyo hiyo trillion 1.5 matumizi yake ni kwenye kununua ndege
 
Acha kukurupuka, kama hujui kitu uliza badala ya kuandika pumba. Pesa za kununua ndege $465 millions hazina uhusiano wowote na pesa zilizokwapuliwa toka hazina.

na hizo ndege alizonunua na nyinyi mnapanda kwenda mwanza kanunua kwa mshahara wake jibu hapana kwa hiyo hiyo trillion 1.5 matumizi yake ni kwenye kununua ndege
 
Hizi ni sarakasi za ajabu sana.

Yaani hawa watu wanataka kutuaminisha kwamba Kikwete na serikali yake walikuwa wajinga kiasi kile?

Ni wapi ambapo mwekezaji alikwenda kuwekeza na kutoa masharti ya yeye pekee ndio anufaike, na hapo anapowekeza pasiwe na lolote la maana linalotokana na mradi huo wa uwekezaji?

Yaani hata kama waTanzania mmekwishawaona kuwa mazuzu wa kuamini kila kitu mnachokisema, jaribuni kuwa na 'moderation' basi katika kuwahadaa huko!

Mwekezaji pekee ndie anayenufaika, ina faida gani ya kumleta mwekezaji huyo? Hivi hawa waChina wamekuwa mashetani sana hivi toka lini? Halafu, inakuwaje waje na dharau kiasi hiki wanapokuja kuwekeza hapa!

Acheni ujuha. Huu ni utapeli wa kijinga. Kama mnatafuta sifa, fanyeni kazi mliyotumwa na wananchi kuifanya kwa uadilifu. Acheni kufanya kazi kwa kutafuta sifa, huku mkitaka wananchi wenu wawe majuha wa kuamini kila kitu mnachosema nyinyi.

Na wanapokataa kufanywa wajinga, msiwaone kuwa ni maadui kwa nchi wanayoipenda sana.

Hata mwandishi wa makala hiyo, sijui kichwani ni kopo tupu, utaandikaje makala inayolalia upande mmoja tu, usijaribu hata kudadisi kidogo upate ya upande wa pili?

Waandishi kama hawa ndio serikali inaowapenda sana. Wanakopi tu basi, hawana la ziada!
 
Mkataba ulikubaliwa na Nan, hakukuwa na wanasheria? Au ndo Yale Mambo ya kujifungia mjengoni na kusaini then likibuma mnakuja nje kutafuta Kiki kwa watu wenye narrow mind?( Haha amekuja mwizi anataka kuiba kwako unamkimbiza then unachukuwa maiki na kutangaza mtaa mzima kuwa umefukuza mwizi nyumbani kwako upongezwe). VP upande ambao hamjafanikiwa mbona hamusemi? Mfano 495m kuchora nembo, sare , maazimio ya CAG ambayo hayajatekelezwa nk
 
Hivi kuna mtu anaweza amani uongo uliokubuhu wa namna hiyo; in other words kwa mujibu wa nakala mwekezaji anataka kuchukua mapato ya bandari yeye pekee.

Hilo linawezekana vipi wakati mwekezaji anaelewa hiyo sector ni moja ya chanzo kikubwa cha mapato ya serikari (surely the couldn't be stupid).

Ahsante Mtanzania mwenzangu.
Sasa tunageuzwa kuwa kama majuha hivi, ili mradi tuwasifie 'wazalendo' wetu wapya. Inashangaza sana!

Na unaona baadhi ya wachangiaji ndani ya mjadala huu walivyo..., sijui akili huwa wanaziacha wapi wanapokuja humu?
 
Ahsante Mtanzania mwenzangu.
Sasa tunageuzwa kuwa kama majuha hivi, ili mradi tuwasifie 'wazalendo' wetu wapya. Inashangaza sana!

Na unaona baadhi ya wachangiaji ndani ya mjadala huu walivyo..., sijui akili huwa wanaziacha wapi wanapokuja humu?
Kwa blind supporters wa serikari maamuzi yaliyochukuliwa yanatakiwa kuwa ya uzalendo kwa ivyo kuhalalisha hilo kila aina ya uongo unaruhusiwa ilimradi ipatikane justification kilichofanyika ni sahihi.

Wasicho elewa hili sio swala la siasa ni mustakabali wa taifa, biashara na uchumi wa Tanzania na nchi za jirani. Hakuna anaekataa maamuzi ya serikari yanaweza kuwa sahihi au la kutokana na maslahi yaliyopo na yatakayopotea.

Muhimu ni kuona kipi tunapata na kipi tunapoteza based on finance evidence. Lakini mtu anaandika uongo mpaka unaona hizi sasa dharau kwa watanzania katika uwezo wetu wa kufikiri ata maswala basic.
 
Sasa kaka huyu supika Anália mbele yetu hajui,sisi watz wa kawaida itakuaje? kiongozi kama huyu amekaliaje hichi kiti CCM ebu ondoa huu mdori.huu mkataba wa ovyo, beberu huyu si wa kwenu kabisa anataka kurudisha misaada anayowapa chama cha kijani.
 
Bandari ya Bagamoyo ingefilisi, kuuza nchi
Sunday May 19 2019
pic+kokoko.jpg

Kwa ufupi
Pamoja na kusamehewa kodi na ushuru mbalimbali kama zile za lazima kisheria, kulipwa fidia ya hasara ya kibiashara watakayopata kwa mujibu wa mahesabu yao, mwekezaji pia aliweka sharti la kuachiwa ajipangie bei ya kuwatoza watakaosafirisha mizigo kupitia bandari hiyo,.

By Peter Saramba na Jonathan Mussa, Mwananchi mwananchipapers@mwananchi.co.tz

Mwanza. Wakati Watanzania wa kawaida, wabunge na Spika Job Ndugai wakiendelea kujiuliza kwanini Serikali imesitisha majadiliano kuhusu uwekezaji kwenye mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, imebainika kuwa Serikali ingefilisika iwapo ingekubali masharti ya mwekezaji.

Pamoja na kusamehewa kodi na ushuru mbalimbali kama zile za lazima kisheria, kulipwa fidia ya hasara ya kibiashara watakayopata kwa mujibu wa mahesabu yao, mwekezaji pia aliweka sharti la kuachiwa ajipangie bei ya kuwatoza watakaosafirisha mizigo kupitia bandari hiyo.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Deusdedith Kakoko akizungumza leo Jumapili Mei 19,2019 na Mwananchi katika mahojiano maalumu Jijini Mwanza, amesema licha ya Serikali kukubali kusamehe ushuru wa stempu, ukaguzi wa forodha (customs inspection) ile ya ukaguzi wa meli ambayo ni tozo ya Kimataifa na kufungua kituo (one stop center) cha kuhudumia biashara katika bandari ya Bagamoyo, mwekezaji aliibua masharti mengine mapya 14 yasiyotekelezeka.

Kakoko ametaja masharti mapya yaliyoibuliwa na mwekezaji kuwa ni ya kusamehemewa kodi ya mapato, kodi ya taasisi, kodi ya ongezeko la thamani ya mali, kodi ya mapato kwa watu binafsi, ushuru wa Seriali za mitaa na kodi ya majengo.

“Mwekezaji pia alitoa mashari ya kusamehewa tozo ya ardhi, kodi ya fidia kwa wafanyakazi, kodi ya uendelezaji wa ujuzi, kodi ya forodha na kodi ya ongezeko la thamani, VAT.
“Walitaka wasamehewe kodi, ushuru na tozo zote za vibali vya kuishi na kufanya kazi nchini; hii ingesababisha wageni, hata wasiohitajika wala kuwa na kazi ya kufanya kujazana nchini,” amesema Kakoko.

Amesema mwekezaji aliweka masharti hayo kwa kisingizio kwamba hakuna shehena ya kutosha na kuhoji inakuwaje mwenye fedha awekeze kwenye biashara isiyolipa.

“Hakuna shehena ya kutosha wakati wewe (mwekezaji) unataka kuwekeza kwenye reli na bandari. (Ni lazima) Unakuja kwa sababu biashara ipo” amesema Kakoko
Amesema masharti hayo yangekubaliwa, ni dhahiri Taifa lingeambulia sifuri huku mwekezaji akichukua asilimia 100 ya kila kinachopatikana licha ya ukweli kwamba pande zote zimewekeza.

Mkurugenzi Mkuu huyo ametaja ardhi, rasilimali watu na nguvu kazi pamoja na mazingira bora ya uwekezaji uliopi nchini kuwa ni sehemu ya uwekezaji wa Serikali huku mwekezaji akitakiwa kuleta mtaji.

“Wakilegeza masharti na kukubali tugawane sawa sawa hakuna tatizo; waje na fedha zao. Lakini wahakikishe nasi tunapata. Haiwezekani sisi tupate sifuri lakini wao wapate asilimia 100,” amesema
Na je mkataba huo au masharti hayo yangedunu kwa miaka mingapi ??
 
Umebahatika kusoma ripoti ya CAG Assad na kuona madudu na maovu ya huyo nduli na dikteta wa Ikulu? Ni Rais yupi aliwahi kuchota trillions hazina bila ya idhini ya Bunge? Ni yupi kati ya waliomtangulia aliwahi kugomea CAG asikague matumizi makubwa yaliyofanywa na yeye? Ni yupi kati ya waliomtangulia alipandikiza chuki za kutisha miongoni mwa Watanzania hadi kutishia amani na mshikamano wa Watanzania uliodumu miaka mingi sasa?
BAK. Amekubali kuwa lipo jema limefanywa awamu hii ya 5 na sasa anaeleza pia hisia zake za mabaya ya awamu hii ya 5. Kimsingi yuko 50/50 . Ndio ubinadamu wakati wengine wako addicted negatively na awanu hii wapo pia positve addicted, wakati wengine wakiona Magu.,.. hata kabla hawajamalizia herufi zinafuata presha, kisukari, mihemko, kichocho,stress , Ukimwi hadi TB zinawapata papo hapo wengine mitaa niliopo ndio kwaanza wanaita watoto wao wanaozaa jina la Magufuli yaani hata awe wa kike kwa upenzi wao.
 
Acha kupotosha msimamo wangu kuhusu huyu nduli wa Ikulu. Kama huna la maana la kuchangia pita kimya kimya.

BAK. Amekubali kuwa lipo jema limefanywa awamu hii ya 5 na sasa anaeleza pia hisia zake za mabaya ya awamu hii ya 5. Kimsingi yuko 50/50 . Ndio ubinadamu wakati wengine wako addicted negatively na awanu hii wapo pia positve addicted, wakati wengine wakiona Magu.,.. hata kabla hawajamalizia herufi zinafuata presha, kisukari, mihemko, kichocho,stress , Ukimwi hadi TB zinawapata papo hapo wengine mitaa niliopo ndio kwaanza wanaita watoto wao wanaozaa jina la Magufuli yaani hata awe wa kike kwa upenzi wao.
 
Acha kupotosha msimamo wangu kuhusu huyu nduli wa Ikulu. Kama huna la maana la kuchangia pita kimya kimya.
Uzi wako unamsifu mkuu kiaina. Kama umekula buku7 halafu unawasaliti watakudai
 
Kwa akili zako fupi unataka kulazimisha hivyo. Siwezi kumsifu huyo muuaji hata kwa nusu sekunde.

Uzi wako unamsifu mkuu kiaina. Kama umekula buku7 halafu unawasaliti watakudai
 
Back
Top Bottom