Mkurugenzi TRC asema Treni ya SGR, NO abiria kubeba vyakula, NO mafurushi makubwa

Mkurugenzi TRC asema Treni ya SGR, NO abiria kubeba vyakula, NO mafurushi makubwa

Mnadanganywa na nani? Treni kutoka London to Manchester ni £80-120 ukipanda bus la National Express ilikuwa kama £15.
Ndege unaweza kupata cheaper kuliko treni sema. Kuna EasyJet wakati huo trip za within EU unaweza kwenda hata kwa £50. Naongea nikiwa nimetumia sana treni na buses UK over ten years ago.
Sasa si bora wangejenga barabara za njia nne hadi nane tu raia waendelee kutiririka na mabasi tu.
 
Mnadanganywa na nani? Treni kutoka London to Manchester ni £80-120 ukipanda bus la National Express ilikuwa kama £15.
Ndege unaweza kupata cheaper kuliko treni sema. Kuna EasyJet wakati huo trip za within EU unaweza kwenda hata kwa £50. Naongea nikiwa nimetumia sana treni na buses UK over ten years ago.
Hakika
 
Idadi ya watu inaongezeka na mzunguko pia unaongezeka Treni watu watasafiri wengine watatumia bus na maisha yataenda tu kama Nchi zingine kila aina ya usafiri upo na watu wapo kote maana wapo watu wanaamini usafiri wa treni utakua wa muda tu..
 
Sasa si bora wangejenga barabara za njia nne hadi nane tu raia waendelee kutiririka na mabasi tu.
Hio atajenga mwekezaji mtalipia. Mbona ndege ni ghali hamlalamiki?
Maisha yana levels haikwepeki. Wapo wa bus,wapo wa ndege na sasa watakuwepo wa treni. Ni vizuri kuna options utachagua usafiri upi unakufaa.
 
Tuiombee treni yetu iwe ya mafanikio sio kama ile ya nchi jirani. Walikopa pesa nyingi sina kwa wachina lakini ilivyoisha wananchi wameitelekeza, wanaendelea kupanda zao tu ma bus Nairobi Mombasa.
Ikibidi serikali iondoe route za mabuss dar dom. Ili kuondoa ushindani kibiashara.
Kama ilivyoondoa fast jet.
 
Hio atajenga mwekezaji mtalipia. Mbona ndege ni ghali hamlalamiki?
Maisha yana levels haikwepeki. Wapo wa bus,wapo wa ndege na sasa watakuwepo wa treni. Ni vizuri kuna options utachagua usafiri upi unakufaa.
Ndege zinatumia muda mfupi sana, hakuna vibaka wala usumbufu wa konda kuulizia tiketi au makelele yoyote.
 
Labda kama kutakuwa na mizani ya kupima kilo kam Airport
Ni Bora waweke behewa la mizigo, ninavyojua watanzania wenzangu hii ngumu kumeza, pia mizigo ipimwe na kulipiwa above 10kg
 
Ni Bora waweke behewa la mizigo, ninavyojua watanzania wenzangu hii ngumu kumeza, pia mizigo ipimwe na kulipiwa above 10kg
Kuna mizigo ni mikubwa ila kilo chache, mfano godoro.
 
Ndege zinatumia muda mfupi sana, hakuna vibaka wala usumbufu wa konda kuulizia tiketi au makelele yoyote.
Treni inafuatia kwa kutumia muda mfupi,hakuna vibaka wala usumbufu wa konda.
Mkuu atakaepoteza abiria ni ATCL wa mabasi wataendelea na mabasi.
 
Kwaio mafulushi ya mpunga na jogoo tusibebe jamani badae tutaambiwa tukiingia tuvue viatu
 
Na ngerengere tunaruhusiwa kununua nyamachoma madirishani au ni full AC kama katarama?
 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema kuwa wameweka utaratibu kwa abira watakaosafiri na treni ya umeme kwamba hawataruhusu mtu asafiri na mizigo mikubwa au chakula kama ilivyo kwenye treni ya MGR, kwamba lengo la kufanya hivyo ni kutunza mazingira ya usafiri huo ili uweze kudumu kwa miaka mingi


Video: Nipashe Digital
Wananchi kubeba chakula ni lazima.
Usafiri siyo suala la kuzuia watu kula.
Wao waweke mazingira safi, me nadhani ni kwa sababu ni mwanzoni tu baadaye hadi kuku na mbuzi tutapanda nao
 
Wananchi kubeba chakula ni lazima.
Usafiri siyo suala la kuzuia watu kula.
Wao waweke mazingira safi, me nadhani ni kwa sababu ni mwanzoni tu baadaye hadi kuku na mbuzi tutapanda nao
Sasa masaa mawili njaa imekuuma kweli? Ila kutakuwa na wahudumu kama wa emirates air
 
Back
Top Bottom