Orril
Member
- Oct 10, 2019
- 13
- 26
Njaa haina masaa, kuna mtu atahisi njaa wakati wengine bado, kuna mwingine ameacha kula kuwahi treni akaona hawezi kukaa chini ale badala yake abebe atakula akikaa. Kwa kifupi safarini kuna kula hilo halina maswali labda kama ni magunia yanasafirishwaSasa masaa mawili njaa imekuuma kweli? Ila kutakuwa na wahudumu kama wa emirates air