Mkurugenzi TRC Kadogosa njoo JamiiForums ujibu tuhuma za kinachoendelea kwenye treni ya SGR

Kwenye kuzuia maji wamedhihirisha ujinga wa kiwango cha lami. Ipo siku watazuia hata vidonge kwa wagonjwa.
Unatofautishaje maji na Konyagi iliyowekwa kwenye chupa ya maji.... Au wanapaswa kufungua na kutaste kama ni maji kweli..

Maji yapo ndnai ya Train.... Lazima tukubali kufata utaratibu. Mbona izo lawama hamzileti upande wa ndege, wakati taratibu zinafanana.
 
Mtanzania ashazoea kuishi kwa mazoea

Ova
 
wakija kujibu hapa mniue nimeka paleeeeee kwanza jamii wenyewe wamewapa tuzo eti wana respond kwa wakati mambo yakiharibika, hahaaaaaa nacheka kama vile mazuri, nchi ngumu sana hizo
 
wakija kujibu hapa mniue nimeka paleeeeee kwanza jamii wenyewe wamewapa tuzo eti wana respond kwa wakati mambo yakiharibika, hahaaaaaa nacheka kama vile mazuri, nchi ngumu sana hizo
Acheni lawama zisizo na kichwa wala miguu.
Watanzania mna tabia za kichawi za kulalamika katika kila kitu.
Buku ya maji ikushinde kwenye treni!?
Kwani hakuna mabegi proper ya kubeba mbaka ulazimishe shangazi kaja??
Kwani ukiwa na kabegi kako kazuri kuna shida gani!?
Safari yenyewe fupi na haichukui muda kwa kutumia hiyo treni ila mna malalamiko kama wachawi.
Acheni uchawi ndio maana hamuendelei ninyi watanzania.
 
Mshawekewa tangazo na utaratibu bado mna taka kuforce

Ova
 
Waache Upuuzi mimi ningewaona wa maana kama wangehakikisha yoyote anayeweza kwenda na abebewe tena kwa bei nafuu kabisa... kama issue ingekuwa ni mapato basi wangeacha watu binafsi wafanye na sisi kodi zetu tuelekeze kwenye huduma
 
Uongozi ni kipaji, kama huna achia ngazi. Kuna wakati wa kutumia busara. Hakimu pamoja na sheria kutumika, kuna wakati anatumia busara kuliko sheria.
 
Kwenye treni kuna kila kitu inategemea umepanda behewa la hdhi ipi
 
Acha kujifanya tajiri, hiyo shangazikaja tatizo lake ni nini!
 
Pombe inauzwa ndani ya treni.
 
Punguza ujuaji, sisi watu weusi tuna matatizo. Hizi treni hata huko kwa wenzetu wamachinga wanaingia kuuzia abiria vitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…