Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Tupunguze lawama,Kinachoendelea kwenye makatazo kwa abiria wanaopanda treni ya SGR ni kuonesha ushamba na ulimbukeni.
Hili la kukataza mifuko yenye zipu maarufu kama shangazikaja na maji ya kunywa chupa moja! Na vitu vingine visivyokuwa na athari kwa abiria wengine.
Tanzania Railways Corp
Safari ya saa 1.49 Dar-Moro unapanda na chakula cha nn? Exceptionals kwa mama wenye watoto na wagonjwa ipo what else tunahitaji?
Tukiruhusu hayo mengine sisi tunajijua, tutaishia kujifutia mabaki ya chakula kwenye viti na mabak mengine tutatupa chini ya siti.
Bado ustaarabu kwetu ni somo gumu, wacha twende hiv kwanza!