DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu
una hasira yakukosa mgao nini
 
Twende Pole pole unakiri kuwa tender aikutangazwa amepewa Sinohdro extension of Work? Tuanzie hapa.
 
Mama alisema awamu iliyopita watu walifanya kazi kwa uoga. Mtaamua wenyewe kipi bora
 
Upeo wako ni mdogo ndiyo maana unaona ni sawa tuu 16 Bilion kupigwa
25% unaipataje kwa kazi Mpya ambayo mkandarasi ajapatikana? Mipango yenu ya kutupiga changa ya macho kuwa ni Extension of water Network tunaifahamu… For Your Information mradi wa Water Network na Construction of water blending system for FLOURIDE reduction ni Vitu viwili tofauti.



 
Twende Pole pole unakiri kuwa tender aikutangazwa amepewa Sinohdro extension of Work? Tuanzie hapa.
Kulikuwa hakuhitaji open tender. This was the fastest method ya kumaliza mradi haraka na kuwapa watu wa Arusha, na wilaya zinazoizunguka maji ya uhakika. Usipotoshe umma wa Watanzania kwa information finyu zisizo na mashiko kama hujui hujui tu. Kaa chini tafuta elimu usidandie gari kwa mbele.
 
Twende Pole pole unakiri kuwa tender aikutangazwa amepewa Sinohdro extension of Work? Tuanzie hapa.

Mimi nikushauri, inaonekana una ushahidi kabisa, na sitaki kubeza kuwa umekosa mgao, nachukulia kuwa wewe ni mzalendo sana. Nakushauri nenda ofisi ya TAKUKURU utoe ushahidi wote au piga namba 113 bure
 
Fastest Method ndiyo mpandishe Gharama za Mkandarasi kutoka 20bilion kama ilivyoandaliwa na consultancy hadi 36 bilion?

16 bilion inasambaza Maji Kilomita Ngapi?

Nakushukuru kwa kukiri Tender aikutangazwa, Hakukuwa na Evaluation team kupitia Documents na Tender aikupitishwa na Tender Board… Asante sana

Mfadhili ametoa Fedha toka Mwaka 2016 Hii Fastest method unayosema kwanini aikutumika 2016, 2017, 2018, 2019 , 2020, 2021 ?
 
Mimi nikushauri, inaonekana una ushahidi kabisa, na sitaki kubeza kuwa umekosa mgao, nachukulia kuwa wewe ni mzalendo sana. Nakushauri nenda ofisi ya TAKUKURU utoe ushahidi wote au piga namba 113 bure
Nipatieni Contact za DG wa PCCB kamanda Hamduni, Sina imani kabisa na kamanda wa Arusha Ndg Ruta tumempatia taarifa nyingi akishavuta Mpunga anauza Mechi..
 
Hauoni kama Zabuni ingetangazwa AUWSA mngepata Mkandarasi Kwa Gharama za Chini ya 20 Bilioni?

Jiulize kwanini AFDB wamegoma kutoa No Objection? Eng Rutabula this time amewaingiza Mkenge.
 
.... wewe jamaa unamvyomsakama Mkurugenzi kwa id tofauti dah! Kungekuwa na ukweli Serikali haioni ikachukua hatua? Isije kuwa issues binafsi mnazifanya za kitaifa!
Yatakuwa majungu tu haya
 
Arusha Kuna chuki binafs Sana na wivu makazini
Chuki binafsi kivipi? Unaona ni Sahii zabuni yenye thamani ya Shilingi 38 bilion kutolewa bila Kutangazwa ni sahii?

AFDB waliogoma kutoa No Objection na wao Wana Chuki?

Unaoona ni Sahii Gharama za
mkandarasi kuongezwa kutoka 20 bilion hadi 36 bilion ni sawa? Ongezeko la 16 bilion inajenga zahanati ngapi? Inajenga madarasa mangapi? Hacha Umburura.
 
Huyu Eng..unakomaa naye balaa, Kuna kitu mnagombea nini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…