Moshi town
Senior Member
- Dec 7, 2021
- 171
- 120
- Thread starter
- #161
Mkuu wa Idara ya PMU Kondela anastaafu mwezi wa Saba 2023 ,ili kuendeleza Ufisadi anayechukua nafasi yake anatoka Mamlaka ya Majisafi Morogoro ( Moruwasa) wakati AUWSA kuna Vijana wenye Sifa za Kuwa HMPU
Huu ni uthibitisho tosha mtandao wa Ufisadi Uliopo AUWSA ni wa Waziri Aweso ,Katibu Mkuu Sanga na MD Rujomba,
Mwenye Mamlaka ya kuamisha mtumishi kutoka Mamlaka moja kwenda nyingine ni Waziri na katibu Mkuu… Wanajua watumishi waliopo AUWSA Wenye sifa za kukaimu Nafasi ya HPMU kisura , Steve na Sigori wana misimamo thabiti awawezi kukubaliana na Ufisadi wa Kijinga .
Huu ni uthibitisho tosha mtandao wa Ufisadi Uliopo AUWSA ni wa Waziri Aweso ,Katibu Mkuu Sanga na MD Rujomba,
Mwenye Mamlaka ya kuamisha mtumishi kutoka Mamlaka moja kwenda nyingine ni Waziri na katibu Mkuu… Wanajua watumishi waliopo AUWSA Wenye sifa za kukaimu Nafasi ya HPMU kisura , Steve na Sigori wana misimamo thabiti awawezi kukubaliana na Ufisadi wa Kijinga .