USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana unachokisema ni kweli!Mkuu barrick walikua wanasafirisha dhahab iliyochenjuliwa tayar wakiichanganya na makinikia ili kukimbia kodi,ndomana ishu ilibumburuka,ila kwa maana ya makinikia kama makinikia,ni ngum sana kukuta kiasi king hvyo cha dhahab
Ulikua ni mchezo mchafu walicheza barrick
Nadhani hahitaji kupimwa akili bali anahitaji kuijua busara!Kama kuna mtu anambeza jpm akapimwe akili,huyu ni mjumbe wa Mungu hakika,
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Watoto 7?Wauze tunuliwe Noah Zetu. Bahati nzuri nina watoto 7, mke house gal hivyo kwangu tutapaki Noah 10.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atajua kuwa ukweli hauna tabia ya kudharauliwa!Dawa inamuingia huyo mdau.
Atapona tu ugonjwa wa kupinga pinga kila kitu.
Mkuu;
Soma vizuri na uelewe maoni yangu!
Ni wapi nimesema huo ni mchanga kama mchanga wa kawaida?
Nimesem, ''Tuliambiwa na baadhi ya ‘’wataalam wa madini’’ nchini kuwa ule ni mchanga hauna thamani kama ambavyo serikali kupitia Rais Magufuli wanadai!
Huyu Rais ni wa Nchi gani? Awamu ya ngapi?
Maisha yatakuwa magumu kwako kwa sababu umekuwa ''Msukuma wa Dar''!Maisha magumu.. Ajira akuna. Hata hizo huduma za jamii zinazotokana kwa kodi zetu wenyewe bado tunazilipita gharama kubwa ili kuzipata. Sasa nishangilie hizo pesa kwa misingi gani...
Nadhani huyo jamaa anajaribu kupambana na ukweli bila kujua kuwa ukweli haupuuzwi!Mkuu usitulishe matango pori - kama viognozi wanadanganya - sasa Barrick walikubali uongo wa viongozi? Sasa tofauti zilitokea wapi kati ya Serikali na Barrick - kama viongozi wanadanganya??
Una vyeti vya elimu ya ''kayumba''?Mnapotosha. English version imesema gold worth up to 280 wewe unasema makinikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana unachokisema ni kweli!