MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,996
- Thread starter
- #41
Kumbe!tuliambiwa na propesa's Mruma & Ossoro eti mchanga ulikuwa na thamani ya kumnunulia Noah moja kila mlala hoi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe!tuliambiwa na propesa's Mruma & Ossoro eti mchanga ulikuwa na thamani ya kumnunulia Noah moja kila mlala hoi!
Wacha kuteleza wewe. Walikua wanasema ni mchanga wanaenda kukamua machicha ya mbege tu...nadhani viongozi wanadanganya.
..hakuna mtu aliyesema ule ulikuwa mchanga sawa na unaochimbwa maeneo mengine.
..kwa uelewa na kumbukumbu zangu ule ulikuwa ukiitwa mchanga wenye dhahabu. baadaye ukapata jina jipya la makinikia.
..wakati mwingine VIONGOZI wanadanganya na kupotosha kitu ambacho siyo sahihi.
Wanaufyata pole pole kama mbwa koko ! 😁
Ukweli una tabia ya kutopuuzwa!Zitto na genge lake hoi
Hata tokea rais kama magufuli aisee jiwe ni jembe ule unazi wake sometimes unasaidia sana
Nikisoma mawazo yako nafikia hitimisho kuwa unakuwa kama mtu anayepiga kelele zisizoeleweka!
Hueleweki hoja yako ni nini!
Hoja iliyopo mezani ni kuwa, Mkurugenzi wa Barrick Gold amesema thamani ya makinikia yaliyoko bandarini Dar ni dola milioni 280. Kwa mantiki hii, hoja yako ni nini? Unakataa au unakubali?
Nadhani wengi unaowaita ''wajinga'' wanajua anachokifanya lakini inabidi tu waonekane wanapinga ili uhalali wao kisiasa kwa ''wajinga'' uendelee kuwepo!Wajinga tu ndio hawajui raisi anachokifanya wajuzi wa Mambo walishajua nini anachokifanya raisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto,Lissu na wanasiasa wengine ndio waliowaleta Barrick/ACCACIA na kuingia na mikataba ya Kimangungo kuchimba Dhahabu na kuwapat makinikia wasafirishe bure?CC: Zitto , Lissu ujumbe uwafikie.
Sehemu ndogo tu ya kilichosemwa ni Professerio rubbish kina thamani ya Bilioni 600 na ushee za kitanzania.
Je kwa miaka yote waliyo safirishwa makontena ya rubbish yana thamani ya jumla shilingi ngapi?
Wameanza kuhamisha magoli ya hoja/kisiasa!Wacha kuteleza wewe. Walikua wanasema ni mchanga wanaenda kukamua machicha ya mbege tu.
Wanahamisha magoli ya hoja/kisiasa!Wanaufyata pole pole kama mbwa koko ! 😁
Lumumba kwa kweli wamejaa ma MBUMBUMBU.
Mkuu;..unawasikiliza VIONGOZI au unasikiliza Barrick?