Huoni kuwa unajichanganya?Unasifiaje mambo kama hayo badala ya kuchukua hatua na kuhakikisha waliotuingiza kwenye hiyo mikataba wachunguzwe,ikibainika walifanya mchezo mchafu wafikishwe katika vyombo vya kisheria?Sijui kama unajibu kulingana na hoja au unajibu kulingana na hisia?
Hatutaweza kufanya mjadala na wewe, tufanye hivi wewe upo sahihi mimi na tunaosifia jitihada za serikali kwenye sakata la madini hatupo sahihi.
Mwisho wa mjadala.
Kweli watu wetu wanaangamia kwa kukosa maarifa na uthubutu.Tuanaishi kwa kukariri Yale wanayotuambia wale tunaowaunga mkono bila kuwa na mawazo huru.
Sent using Jamii Forums mobile app