MsemajiUkweli,
Mkuu kwa waliokimbia hisabati unaweza kudhani ni fedha nyingi sana. ila kwa sababu suala la makinikia halikuruhusu factbased public discussion bado hata likiisha halitakuwa na valuable lessons learned.
Mfano kwa Content ya madini waliyosemaga Acacia, tena wakatoa mafafanuo Public.
Kwa hicho kiasi ni sawa hata kwa hesabu za hao acacia na baada ya kukaguliwa na gov agencies.
Kwanza sio za siku moja, ni tangu zilipozuiwa (aggregate).
Pia Hapo hawajatoa gharama ya kuzalisha hizo products za kiasi hicho.
Hiyo figure kisiasa ni ya kushtusha ila kwa kurudi kwenye details unaweza kukuta mzungu kaongea lugha ileile aliyokuwa anasema na watafiti wakiserikali waliipinga.
tuzidi kujifunza kwa ukaribu zaidi ili tuone nani yuko sahihi.