Mkurugenzi wa Barrick Gold adai Makinikia yaliyozuiwa Bandarini Dar yana thamani ya $280 Milioni

Mkurugenzi wa Barrick Gold adai Makinikia yaliyozuiwa Bandarini Dar yana thamani ya $280 Milioni

Kwa kukazia zaidi naomba tufahamu hili.

Thamani ya dili la mauziano ya Barrick kwenda Randgold ni $18.3 billion. Maana yake mzigo uliobakia chini ya ardhi ya migodi iliyokuwa ya Barrick ambayo itakuwa chini ya Twiga mineral (Randgold 84% + Serikali 16%) ni zaidi ya $18.3 billion.
Mgao tutakaopata sijajua utakuwa kiasi gani? au mzungu katuingiza chaka?
Link ya wikipedia

Thanks!
 
Tuliambiwa na baadhi ya ‘’wataalam wa madini’’ nchini kuwa ule ni mchanga hauna thamani kama ambavyo serikali kupitia Rais Magufuli wanadai!

Ukweli umeanza kujitokeza kupitia kwa ''wenye mchanga''!

Ninazidi kuamini kuwa uongo hutumia lift kuwafikia walengwa lakini ukweli hutumia ngazi!

Inawezekana hata haya makadirio (estimate) ya Mkurugenzi wa Barrick niya chini kwa faida yake ya kibiashara!

Tuendelee kuusubiri ukweli!
Subiri wanasaccos waje uone wanavyotoa mapovu!
 
Muuuh
Kuna jamaa mmoja aliwaita kina Mruma rubbish, wana muambia huu sio mchanga kama mchanga wetu wa Baharini, nyuso zenu mnazificha wapi mkisikia taarifa kama hizi? sasa hivi hao Wamekimbilia nje kupigania human rights,from politicians to human rights,hayo ni madhara ya kushindwa kukubali ukweli.
Muuuuuh kumbe mbumbu bado ni wengi saaana nchi hii, jamani!!!!.Hivi ni kwanini inakuwa hivi???.
 
Usikute ni 1trillion
Tuliambiwa na baadhi ya ‘’wataalam wa madini’’ nchini kuwa ule ni mchanga hauna thamani kama ambavyo serikali kupitia Rais Magufuli wanadai!

Ukweli umeanza kujitokeza kupitia kwa ''wenye mchanga''!

Ninazidi kuamini kuwa uongo hutumia lift kuwafikia walengwa lakini ukweli hutumia ngazi!

Inawezekana hata haya makadirio (estimate) ya Mkurugenzi wa Barrick niya chini kwa faida yake ya kibiashara!

Tuendelee kuusubiri ukweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usd 280 milion contena za mwezi 1 Mara miezi 12 sawa na milion $ 3360 × miaka 7 sawa na milion $23,520 milion tulipigwa kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na kushangilia, turejee data za akina professor. Nakumbuka zilikuwa juu sana ya hizo zilizotajwa na Barrick. Mwenye data please?????
 
JPM asilegeze kamba. Salama yetu kama nchi sio siasa za maji taka ambazo tulizoea kufanya. Na kulindana. Wezi wakubwa wa mali za Tanzania ndio walijinadi kama wazalendo wa kweli. Acha waumbuke. Soon or later hata hizo siasa walizozoea hawataweza kuzifanya tena
EPCxAm6WoAANwgZ
 
Hakuna cha sijui Nyerere, Mwinyi,Mkapa wala Kikwete...huyu ndiyo wa kwanza tangu Uhuru

Sent using Jamii Forums mobile app
Umebugi kwanyerere hapo...nyerere aligoma kuazia kudisturb maliasili ,alidai watazitumia nakuchimba watanzania wenyewe ,utakuta hatamikataba hiyo imesainiwa 1998..sijui nyerere alikua wapi ,madarakani? ...punguza kidogo mihemuko nyumbu mkubwa we

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom