Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
mfano kama wewe uko single na umekaa bila kusex unasubiri muda sahihiMkuu sasa unajuaje kama ndio wakati wako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mfano kama wewe uko single na umekaa bila kusex unasubiri muda sahihiMkuu sasa unajuaje kama ndio wakati wako?
Mkurugenzi ni nani?Kuitwa Mkurugenzi imekua jambo rahisi sana!
Btw, sio kila anaepotea anapotezwa na system...
ahsante my brother kwa kuliona hiloKabisaa
Duh!Kuitwa Mkurugenzi imekua jambo rahisi sana!
Btw, sio kila anaepotea anapotezwa na system...
mi mwenyewe na elimu yangu ya ngumbaru chini ya mti ni mkurugenzi mkuu (CEO) wa vijiwe vyangu vya kunipatia visentiNi matumizi mabaya ya vyeo.
usijipandishe kabla ya wakati wako hata biblia imekataza
Hayuko chakademusNi CDM? Kainyoshea dola Kidole hivi karibuni? Apatikane salama. Godspeed
Endapo kama kweli ni mmiliki wa chombo cha Habari au alikuwa anafanya kazi zinazohusiana na masuala ya Habari, hapana shaka kwamba mtu huyo alikuwa targeted na 'wale jamaa.'Wakuu,
Media ya Dar24 kupitia ukurasa wake wa Insta wameweka tangazo la kupotelewa na Mkugenzi wao ambaye amatoweka toka tar 31/10/2024.
Wasiyojulikana wameamka tena?!
==
Dar24 Media inautaarifu umma kupotea kwa Mkurugenzi wake Maclean Mwaijonga.
Mara ya mwisho kuonekana ni wakati akitoka ofisini majira ya saa 11 jioni ya Tarehe 31. 10. 2024 DATAVISION INTERNATIONAL LTD Mikocheni karibu na Rose Garden.
Mkurugenzi wetu ambaye pia ni Mtendaji wa DataVision hana kawaida ya kutorudi nyumbani lakini mpaka sasa hapatikani.
Wakati akitoka Ofisini alikuwa na gari aina ya Toyota Prado nyeusi yenye namba za usajili T 645 DEE.
Tunaomba msaada wa Vyombo vinavyohusika na Wanahabari kwa pamoja zitusaidie kupaza sauti ili kumpata Kiongozi wetu na utakapomuona yeye au gari yake tupe taarifa kwa namba hii 0713249003
Ficha upumbavu wakoKuitwa Mkurugenzi imekua jambo rahisi sana!
Btw, sio kila anaepotea anapotezwa na system...
Mkuu fuatilia vizuri Datavision ukitoa Dar24 ni kampuni kubwa sana nakumbuka ukiondoa transactions, walikua wana contract ya ku maintain database ya kampuni za private security chini ya Jeshi la polisi, lakini pia kama sijakosea anamiliki pia kampuni ya kopa fasta inatoa mikopo online kwa selected companies ...watu wana michongo mjini hawana hata muda wa vijembe JF.Wakuu,
Media ya Dar24 kupitia ukurasa wake wa Insta wameweka tangazo la kupotelewa na Mkugenzi wao ambaye amatoweka toka tar 31/10/2024.
Wasiyojulikana wameamka tena?!
==
Dar24 Media inautaarifu umma kupotea kwa Mkurugenzi wake Maclean Mwaijonga.
Mara ya mwisho kuonekana ni wakati akitoka ofisini majira ya saa 11 jioni ya Tarehe 31. 10. 2024 DATAVISION INTERNATIONAL LTD Mikocheni karibu na Rose Garden.
Mkurugenzi wetu ambaye pia ni Mtendaji wa DataVision hana kawaida ya kutorudi nyumbani lakini mpaka sasa hapatikani.
Wakati akitoka Ofisini alikuwa na gari aina ya Toyota Prado nyeusi yenye namba za usajili T 645 DEE.
Tunaomba msaada wa Vyombo vinavyohusika na Wanahabari kwa pamoja zitusaidie kupaza sauti ili kumpata Kiongozi wetu na utakapomuona yeye au gari yake tupe taarifa kwa namba hii 0713249003
Yuko Tabata kwa Mariamu mpika pilau...🙂.
Msiulize nimejuaje....
Spinning propagandaKuitwa Mkurugenzi imekua jambo rahisi sana!
Btw, sio kila anaepotea anapotezwa na system...
Huyu anastahili, kama anatembelea Prado kwa hapa Bongo ana haki kuitwa mkurugenzi.Kuitwa Mkurugenzi imekua jambo rahisi sana!
Btw, sio kila anaepotea anapotezwa na system...
WasiojulikanaSystem ndio nini?
Ndio nani?Wasiojulikana
hili swali ni bora sanaAnapendelea kuzungumzia mambo gani zaidi na kuvaa nguo za rangi gani