Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo

Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo

Wakuu,

Media ya Dar24 kupitia ukurasa wake wa Insta wameweka tangazo la kupotelewa na Mkugenzi wao ambaye amatoweka toka tar 31/10/2024.

Wasiyojulikana wameamka tena?!

==


Dar24 Media inautaarifu umma kupotea kwa Mkurugenzi wake Maclean Mwaijonga.

Mara ya mwisho kuonekana ni wakati akitoka ofisini majira ya saa 11 jioni ya Tarehe 31. 10. 2024 DATAVISION INTERNATIONAL LTD Mikocheni karibu na Rose Garden.

Mkurugenzi wetu ambaye pia ni Mtendaji wa DataVision hana kawaida ya kutorudi nyumbani lakini mpaka sasa hapatikani.

Wakati akitoka Ofisini alikuwa na gari aina ya Toyota Prado nyeusi yenye namba za usajili T 645 DEE.

Tunaomba msaada wa Vyombo vinavyohusika na Wanahabari kwa pamoja zitusaidie kupaza sauti ili kumpata Kiongozi wetu na utakapomuona yeye au gari yake tupe taarifa kwa namba hii 0713249003
Endapo kama kweli ni mmiliki wa chombo cha Habari au alikuwa anafanya kazi zinazohusiana na masuala ya Habari, hapana shaka kwamba mtu huyo alikuwa targeted na 'wale jamaa.'
Mimi binafsi nimekuwa nikieleza kwa undani Sana kwenye mtandao huu kuhusu suala hili la Waandishi wa Habari kulengwa Sana na 'wale jamaa' na hatua madhubuti ambazo wahusika wanapaswa kuzichukua katika kujihami kwenye suala hili. Wakati alipifariki Mwandishi wa Habari aitwaye Gardner Habash pia nilieleza hapa, lakini watu hao inavyoonekana wengi wao hawako 'serious aware' kuhusiana na Mazingira hatarishi yanayoambatana na kazi zao.

Kwa kifupi Waandishi wa Habari tambueni kwamba huko kwenye tasnia yenu ya Habari mmepandikiziwa Mamluki wengi Sana ('the snakes in suits') ambao kazi yao kubwa ni kuwa-monitor wale Waandishi wa Habari machachari, wao wenyewe wanawaita kwa jina la "Waandishi wa Habari 'viherehere' .
 
Wakuu,

Media ya Dar24 kupitia ukurasa wake wa Insta wameweka tangazo la kupotelewa na Mkugenzi wao ambaye amatoweka toka tar 31/10/2024.

Wasiyojulikana wameamka tena?!

==


Dar24 Media inautaarifu umma kupotea kwa Mkurugenzi wake Maclean Mwaijonga.

Mara ya mwisho kuonekana ni wakati akitoka ofisini majira ya saa 11 jioni ya Tarehe 31. 10. 2024 DATAVISION INTERNATIONAL LTD Mikocheni karibu na Rose Garden.

Mkurugenzi wetu ambaye pia ni Mtendaji wa DataVision hana kawaida ya kutorudi nyumbani lakini mpaka sasa hapatikani.

Wakati akitoka Ofisini alikuwa na gari aina ya Toyota Prado nyeusi yenye namba za usajili T 645 DEE.

Tunaomba msaada wa Vyombo vinavyohusika na Wanahabari kwa pamoja zitusaidie kupaza sauti ili kumpata Kiongozi wetu na utakapomuona yeye au gari yake tupe taarifa kwa namba hii 0713249003
Mkuu fuatilia vizuri Datavision ukitoa Dar24 ni kampuni kubwa sana nakumbuka ukiondoa transactions, walikua wana contract ya ku maintain database ya kampuni za private security chini ya Jeshi la polisi, lakini pia kama sijakosea anamiliki pia kampuni ya kopa fasta inatoa mikopo online kwa selected companies ...watu wana michongo mjini hawana hata muda wa vijembe JF.
 
Back
Top Bottom