Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwivuu umemjaa..Hutaki watu wawe Wakurugenzi Mkuu?😂😂
ChademaAlikuwa anaandika andika mambo ya siasa? Siasa za chama gani?
MadiluuSystem ndio nini?
We create our own officesKuitwa Mkurugenzi imekua jambo rahisi sana!
Btw, sio kila anaepotea anapotezwa na system...
Hii hatari sanaWakuu,
Media ya Dar24 kupitia ukurasa wake wa Insta wameweka tangazo la kupotelewa na Mkugenzi wao ambaye amatoweka toka tar 31/10/2024.
Wasiyojulikana wameamka tena?!
==
Dar24 Media inautaarifu umma kupotea kwa Mkurugenzi wake Maclean Mwaijonga.
Mara ya mwisho kuonekana ni wakati akitoka ofisini majira ya saa 11 jioni ya Tarehe 31. 10. 2024 DATAVISION INTERNATIONAL LTD Mikocheni karibu na Rose Garden.
Mkurugenzi wetu ambaye pia ni Mtendaji wa DataVision hana kawaida ya kutorudi nyumbani lakini mpaka sasa hapatikani.
Wakati akitoka Ofisini alikuwa na gari aina ya Toyota Prado nyeusi yenye namba za usajili T 645 DEE.
Tunaomba msaada wa Vyombo vinavyohusika na Wanahabari kwa pamoja zitusaidie kupaza sauti ili kumpata Kiongozi wetu na utakapomuona yeye au gari yake tupe taarifa kwa namba hii 0713249003
SahihiWe create our own offices
We create our own vacancies
We serve them
We pay ourselves
You are great menWe create our own offices
We create our own vacancies
We serve them
We pay ourselves
Ilitakiwa aitweje?Kuitwa Mkurugenzi imekua jambo rahisi sana!
Btw, sio kila anaepotea anapotezwa na system...
🙏hili swali ni bora sana
Yaani huyo mwamba kahoj kitu ambacho skutegemea kbsaa.Lakin tujikite kwenye uzi maana atakuwa hajapwndezwa na maudhui ya uzi akaona autibue.Ilitakiwa aitweje?
NWakuu,
Media ya Dar24 kupitia ukurasa wake wa Insta wameweka tangazo la kupotelewa na Mkugenzi wao ambaye amatoweka toka tar 31/10/2024.
Wasiyojulikana wameamka tena?!
==
Dar24 Media inautaarifu umma kupotea kwa Mkurugenzi wake Maclean Mwaijonga.
Mara ya mwisho kuonekana ni wakati akitoka ofisini majira ya saa 11 jioni ya Tarehe 31. 10. 2024 DATAVISION INTERNATIONAL LTD Mikocheni karibu na Rose Garden.
Mkurugenzi wetu ambaye pia ni Mtendaji wa DataVision hana kawaida ya kutorudi nyumbani lakini mpaka sasa hapatikani.
Wakati akitoka Ofisini alikuwa na gari aina ya Toyota Prado nyeusi yenye namba za usajili T 645 DEE.
Tunaomba msaada wa Vyombo vinavyohusika na Wanahabari kwa pamoja zitusaidie kupaza sauti ili kumpata Kiongozi wetu na utakapomuona yeye au gari yake tupe taarifa kwa namba hii 0713249003
Nani kasema kila anayepotea anapotezwa na system? Mbona unatunga? BTW hata watu waki-assume hivyo ni sawa kwa sababu hiyo ''system ndiyo imekaribisha hili. Ndiyo maana watu wanataka vyombo vya usalama vifanye kazi kwa kuzingatia sheria.Kuitwa Mkurugenzi imekua jambo rahisi sana!
Btw, sio kila anaepotea anapotezwa na system...
Pasi ndefu.System ndio nini?
Nini maana ya mkurugenzi tuanzie hapo kwanzaNi matumizi mabaya ya vyeo.
usijipandishe kabla ya wakati wako hata biblia imekataza
muanzie na nani?Nini maana ya mkurugenzi tuanzie hapo kwanza