Mkurugenzi wa Dar24 Media Maclean Mwaijonga apotea, hajulikani alipo

Hii hatari sana
 
Isije ikawa ndiyo ntoleee
Maana kuna wengine wakichukuliwa hawarudigi

Ova
 
N
 
Kuitwa Mkurugenzi imekua jambo rahisi sana!

Btw, sio kila anaepotea anapotezwa na system...
Nani kasema kila anayepotea anapotezwa na system? Mbona unatunga? BTW hata watu waki-assume hivyo ni sawa kwa sababu hiyo ''system ndiyo imekaribisha hili. Ndiyo maana watu wanataka vyombo vya usalama vifanye kazi kwa kuzingatia sheria.
 
Mbona taarifa ya habari wamesema kapatikana kigamboni huko,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…