johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa afya ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rip mpendwaNi msiba mzito
Ni huzuni na majonzi makubwa
Mfanyabiashara mkubwa na Mwanaharakati maarufu ambaye pia ni Mkurugenzi wa Hoteli ya Golden Rose iliyopo Jijini Arusha amefariki dunia
Taarifa zaidi kutolewa
MCL
Mkuu tupia picha yake maana wengine hatumjuiWaziri wa afya ni nani?
Ni COVID phase three. Lazima Samia achukue hatua la sivyo bendera kupepea nusu mlingoti tena. Hivi vifo ninavyoshuhudia kwa wiki sasa si vya kawaida!Ni msiba mzito
Ni huzuni na majonzi makubwa
Mfanyabiashara mkubwa na Mwanaharakati maarufu ambaye pia ni Mkurugenzi wa Hoteli ya Golden Rose iliyopo Jijini Arusha amefariki dunia
Taarifa zaidi kutolewa
MCL
Hahahaaaa...... hata mimi simjui bwashee!Mkuu tupia picha yake maana wengine hatumjui
Ova
Kuna ile fununu baina yake na mwanaye wa kiume... fununuPumimziko La Amani apate Mama.
Hivi mbona tangu enzi hizo anatajwa kama Mama Maeda, vipi kuhusu Mr?.
Usitoa uzi uka assume wote tunamjua.. mtajeNi msiba mzito
Ni huzuni na majonzi makubwa
Mfanyabiashara mkubwa na Mwanaharakati maarufu ambaye pia ni Mkurugenzi wa Hoteli ya Golden Rose iliyopo Jijini Arusha amefariki dunia
Taarifa zaidi kutolewa
MCL
Huu mzigo ni hatarimzigo kutoka India umeingia nini?
Hatari sana aiseeMzingo wa India ni msala unakula hadi watoto wadogo... Serikali ipige kwanza ban flight zote zinazo toka huko Asia
Nafikiri cha India kimeingia. Hata watu wa kuumwa makoo wameongezeka sana.
Mmmh tanzia zimeanza kwa kasi tena, tuanze kuchuku tahadhari
Ipi? Funguka....hakuna anayekuona hapa!Kuna ile fununu baina yake na mwanaye wa kiume... fununu
Ni msiba mzito
Ni huzuni na majonzi makubwa
Mfanyabiashara mkubwa na Mwanaharakati maarufu ambaye pia ni Mkurugenzi wa Hoteli ya Golden Rose iliyopo Jijini Arusha amefariki dunia
Taarifa zaidi kutolewa
MCL
Na huyo mzee Maeda aliyelizwa m.100 na mapolisi tapeli ni nani yake?Mama Maeda
Arusha's Pioneer Woman.
Founder of
Kilimanjaro Bus Service (KBS)
Golden Rose Hotels
Market Square filling station
Kilimanjaro Villa Guest House ......
and many more.
She was Iron Lady of Arusha.
Mother to Judy, Walter & Daniel Maeda.
May almighty rest her soul in peace.
Pumzika kwa amani mama.
Condolences to Maeda Family
Bibi mpiga nyungu.Waziri wa afya ni nani?
Kuna ile fununu baina yake na mwanaye wa kiume... fununu