Mkurugenzi wa Green Acres Secondary School Aumbuka.

Tuwe wakweli kwa hilo la matokeo wala wasimtishe kwani hata mimi ofisini kwangu kuna vijana wanne wamekuja kuangalia matokeo na kukuta wamepewa points kwenye masomo ya Sayansi wakati hawakuyafanya. Hilo ni kweli wala si uongo.

tuwekee number zao hapa tuthibitishe, otherwise hata wewe hatutakuamini.
 
mama mdogo 1012?????

Samahani wasomaji, nimesahihisha!! Jamani hii ni kutokana na kuwa nimeandika nikiwa nimejawa na hasira nyingi kuhusu mfumo wetu wa Elimu, nilikuwa na maana ya 2012. Jamani tutamkumbuka Marehemu Makwetta na jinsi alivyofufua sekta ya Elimu wakati wa Mwl Nyerere.
 
Bujugo alizoea kufanya udanganyifu kwenye mitihani sasa amedhibitiwa kusawasawa na NECTA kwa hiyo ameamua kutoa uzushi wa hali ya juu kwani hakuna dosari yoyote na wala hakuna aliyepewa matokeo wakati hajafanya mtihani walimu wake walienda NECTA jana na wameumbuka na kufadhaishwa na uongo uliotolewa na mmiliki wa shule kwa vyombo vya habari
 
Tuwe wakweli kwa hilo la matokeo wala wasimtishe kwani hata mimi ofisini kwangu kuna vijana wanne wamekuja kuangalia matokeo na kukuta wamepewa points kwenye masomo ya Sayansi wakati hawakuyafanya. Hilo ni kweli wala si uongo.

hatusikilizi porojo zibitisha mkuu matokeo siyapo weka hapa.
 

Nani hawajui hii ni vita dhidi ya Dr Ndalichako ang'oke baraza baada ya kuwadhibiti wezi wote wa mitihani hapo baraza.
 
Wadau nasisi tuache ushabiki. Kwani hiyo database ya NECTA si wao ndio wana uwezo wa kui-update? Tuna uhakika gani kama hakuna ujanja ujanja hapo? Hivi kweli mtu akurupuke tu na kuongea jambo kubwa namna hiyo?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
HAJAUMBUKA. Tumeumbuka tuliolipa ada 4 years halafu vijana wetu wanachanganyiwa matokeo. maana yake ni kwamba elimu yooooooooooooote ya Olevel imo ndani ya namba ya mtihani tu. no need to go to school.

kichwat unamaanisha marehemu nao wanafanya mtihani???? Kweli kina Mwigulu Nchemba tunao wengi sana
 
Last edited by a moderator:

Tetesi haijengi tuhuma.........pata uhakika na urudi tena
 
Tatizo la wabongo tunapenda sana cheap popularity hata kwenye vitu visivyo na uhakika na huyo mkurugenzi lazima itakula kwake shame on you mkurugenzi
 
Tuwe wakweli kwa hilo la matokeo wala wasimtishe kwani hata mimi ofisini kwangu kuna vijana wanne wamekuja kuangalia matokeo na kukuta wamepewa points kwenye masomo ya Sayansi wakati hawakuyafanya. Hilo ni kweli wala si uongo.
Lete ushahidi usikurupuke, mimi jana nilikwenda ofisi za NECTA kwa masuala binafsi, nikakuta baadhi ya watahiniwa wamekwenda kudai madai hayo hayo, kilichotokea ni kwamba:
Kwa kuwa mwaka huu NECTA wametoa matokeo kwa kutumia namba za mitihani tu (Index Number) bila majina. Hivyo watahiniwa wenyewe walikuwa wamesahau namba walizofanyia mitihani hivyo walipokwenda kwenye NOTICE BOARD wakachukua matokeo ya aliyekuwa jirani yake, wengi waliondoka NECTA kimya kimya kwa aibu, sasa sijui nyinyi mnaoongea mitaani mmezipata wapi hizo habari. Nendeni NECTA mkapate ukweli.
 
lile Sakata la Islamic Knowledge lilitukanisha sana Waislaam na Uislaam, leo kibao kimegeuka ! Allah'u Akbar !
 
Hivi lakini, wana consent ya hawa wanafunzi kujadili matokeo yao hadaharani hivi?
Ni kuwaongezea watotot Trauma tu
 
Lakini haiingii akilini kwanini atoe tuhuma nzito namna vile kama sio kweli,mh mi naamini there is something wrong somewhere.Kama aliprint basi ndo salama yake kama hakuprint basi kaisha.
 
Wadau nimesoma kwenye thread inayosema Katibu Mtendaji it is time to go na mle ndalni nimeona kuna tangazo lilitolewa na NECTA la kukanusha madai ya Green Acres na wameweka mpaka saini za wanafunzi waliposaini wakati wa mtihani jamaa amechemka kweli aliyoyasema ni uongo mtupu
 

angalia mama mdogo usije ukaolewa tena mara ya nne hyo alex unayemsema jina lake ni
ALEX ALICKO na namba yake ni 109 sasa fanya namna hii mcheki huyu S1645/0109 ndo hyo mtu unayemsemea ila kwa kuwa sasa ni zama za namba tu ndo kila mtu anadanganya
 










 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…