TANZIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

Tumepokea taarifa ya ajali ya gari ndogo ambapo mmiliki wa Mabasi ya kampuni ya Sauli Luxury Solomoni Mwalabhila amefariki dunia kwenye ajali hiyo. Tunatoa pole sana kwa Kampuni ya Sauli Luxury.

Taarifa zaidi kufuata
Mwisho wa Sauli.Pole ya wafiwa na wapambanaji wa Mbeya.

Maisha ya mwanadamu ni kafupi so hakuna namna.
 

View: https://www.instagram.com/p/C-PfMtaokN1/?igsh=MTI4ZTlnbGVzNDRtMA==
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…