RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Bitter truth.Kampuni ndo imeisha hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bitter truth.Kampuni ndo imeisha hivyo
😂😂😂 hiyo #16 au?Ngoja nisubiri comment fulani hivi najua itakuja tu japo kuna mtu juu hapo kashaanzisha tayari.
Iweke mkuu. Gari gani ilikuwa?Ile video ya ajali yake inasikitisha sana
Tusikimbie na magari wakuu
Hatari sana aisee hizi ajali.
Ndio maana kuna ulazima wakuhatakisha hii SGR network na usafiri wa ndege uwe sasa rahisi na route ziwe nyingi na za mara kwa mara maeneo mengi.
Watanzania tunapoteza Sana maisha barabarani aisee, uzembe, Barabara zetu + hizi gari nyepesi za kijapani ndio hatari zaidi.
Ni jeep mkuu... chuma imeisha kabisaIweke mkuu. Gari gani ilikuwa?
Kila gari ina limit yake. Ukiitwanga kisawasawa hutoki.Alikuwa na Jeep huyo mkuu, usisingizie toyota. Japo wengine wansema ni mdogo wake
Ni jeep mkuu... chuma imeisha kabisa
kweli mkuu mimi nikiwa barabarani naogopa sana hasa mabasi namaroli wanakupoteza muda wowote😕😕😕Usafiri barabarani Tanzania tunatembea na roho mkononi.
Unaweza ukajilinda na kufuata sheria za barabara lakini mjinga mmoja akakusababishia ajali.
Serikali nayo kila ajali ni kulaumu madereva hivi hawaoni barabara zilivyo finyu, kesi za malori na mabasi kugongana ni ufinyu wa barabara, sio kila siku kulaumu madereva, miundombinu iboreshwe.
SH Amon. Huyo mwingine.Sauli wako wangapi wakuu, yule wavipodozi ndiyo huyu!
Hii Mlandizi pana Shida, hata Tajiri wa Kisangani Spare parts Ajali ilikuwa mitaa hiyo hiyoMkono wa mtu huo! Siamini kuwa ni ajali ya kawaida, planed one?Poleni sana watanzania
Tanzania ipi mkuu??Chunya imepoteza, Mbeya inalia, Tanzania imepoteza
Sasa madereva mnatakiwa mchukue tahadhari mkifika hapo. Wami ilikuwa sehemu hatari sana lakini madereva wakifika hapo wanakuwa makini halafu wanaenda kugongana sehemu nyeupe imenyooka.Hii Mlandizi pana Shida, hata Tajiri wa Kisangani Spare parts Ajali ilikuwa mitaa hiyo hiyo