TANZIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

TANZIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

Tumepokea taarifa ya ajali ya gari ndogo ambapo mmiliki wa Mabasi ya kampuni ya Sauli Luxury Solomoni Mwalabhila amefariki dunia kwenye ajali hiyo. Tunatoa pole sana kwa Kampuni ya Sauli Luxury.

Ajari ya barabarani imeondoka na roho ya mmiliki wa mabasi ya Sauli Luxury siyo mbali sana na ilipopata ajari basi yake mapema mwaka huu Kibaha na kuwaka moto na yeye pia mmiliki ajari imemwondoa maeneo ya Mlandizi leo hii asubuhi akiwa na gari binafsi

Atakumbukwa kwa kuleta upinzani wa huduma na kufikisha abiria kwa haraka kampuni zake kwa wasafri wa nyanda za juu kusini.

Hasa kwa sisi wanazi wa Scania tutamkumbuka sana mwamba kwa kuziheshimisha Scania road.

Rest in peace Mwilabila Sauli

Upigaji wa simu,upokeaji wa simu na mikopo ni chanzo kikubwa cha ajali za matajiri wa mabasi!
 
Utajiri wa makafara sio mzuri yafaa nini kuwa tajiri kwa muda ukila Bata kisha unaenda kutumika kwa mateso kuzimu hadi miaka yako aliyokuandikia Mwenyezi Mungu itakapoisha ndipo utatoka kuzimu kusubiria hukumu.
Ndo maana matajiri wengine mkataba ukifika wanajipiga risasi au kujinyonga ili wasiende kuzimu kumalizia muda uliobakia,maana shetani achukui kibudu.
 
Anaonekana alikuwa kijana mdogo tu! Basi tena ndiyo hivyo! Sijui nani atamrithi barabarani?
Poleni wale wa Mbeya na nyanda za kusini.
Akina Achimwene si wapo? Au wataibuka wengine na maisha yataendelea. Dunia haijawahi kukunguwazwa kwa kuondokewa na mwanadamu. Ndiyo maana ikasemwa kwamba everybody is replaceable - hata uwe na umuhimu kiasi gani.

Na hii inaturudisha kule kule kwenye Mhubiri 1: 2 (Yote ni ubatili!)
 
Tumepokea taarifa ya ajali ya gari ndogo ambapo mmiliki wa Mabasi ya kampuni ya Sauli Luxury Solomoni Mwalabhila amefariki dunia kwenye ajali hiyo. Tunatoa pole sana kwa Kampuni ya Sauli Luxury.

Ajari ya barabarani imeondoka na roho ya mmiliki wa mabasi ya Sauli Luxury siyo mbali sana na ilipopata ajari basi yake mapema mwaka huu Kibaha na kuwaka moto na yeye pia mmiliki ajari imemwondoa maeneo ya Mlandizi leo hii asubuhi akiwa na gari binafsi

Atakumbukwa kwa kuleta upinzani wa huduma na kufikisha abiria kwa haraka kampuni zake kwa wasafri wa nyanda za juu kusini.

Hasa kwa sisi wanazi wa Scania tutamkumbuka sana mwamba kwa kuziheshimisha Scania road.

Rest in peace Mwilabila Sauli

Jamii check tuthibitishieni hii taarifa
 
Back
Top Bottom