Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upigaji wa simu,upokeaji wa simu na mikopo ni chanzo kikubwa cha ajali za matajiri wa mabasi!Tumepokea taarifa ya ajali ya gari ndogo ambapo mmiliki wa Mabasi ya kampuni ya Sauli Luxury Solomoni Mwalabhila amefariki dunia kwenye ajali hiyo. Tunatoa pole sana kwa Kampuni ya Sauli Luxury.
Ajari ya barabarani imeondoka na roho ya mmiliki wa mabasi ya Sauli Luxury siyo mbali sana na ilipopata ajari basi yake mapema mwaka huu Kibaha na kuwaka moto na yeye pia mmiliki ajari imemwondoa maeneo ya Mlandizi leo hii asubuhi akiwa na gari binafsi
Atakumbukwa kwa kuleta upinzani wa huduma na kufikisha abiria kwa haraka kampuni zake kwa wasafri wa nyanda za juu kusini.
Hasa kwa sisi wanazi wa Scania tutamkumbuka sana mwamba kwa kuziheshimisha Scania road.
Rest in peace Mwilabila Sauli
Alianza kununua mabas mwaka gani?Kuku alikula punje chache sana.
MlimwenguUtajiri wa makafara sio mzuri yafaa nini kuwa tajiri kwa muda ukila Bata kisha unaenda kutumika kwa mateso kuzimu hadi miaka yako aliyokuandikia Mwenyezi Mungu itakapoisha ndipo utatoka kuzimu kusubiria hukumu.
Akina Achimwene si wapo? Au wataibuka wengine na maisha yataendelea. Dunia haijawahi kukunguwazwa kwa kuondokewa na mwanadamu. Ndiyo maana ikasemwa kwamba everybody is replaceable - hata uwe na umuhimu kiasi gani.Anaonekana alikuwa kijana mdogo tu! Basi tena ndiyo hivyo! Sijui nani atamrithi barabarani?
Poleni wale wa Mbeya na nyanda za kusini.
Me nakuelewa sana mkuuKuku alikula punje chache sana.
Wewe ni mkewe au mtu wake wa karbu sana hadi unajua alichofanya?Kamaliza mkataba wake angeenda zake Nigeria kule wanaflash mikataba ya punje.
Mpambanaji huwa hana mda wa kujibling blingHivi kwanini matajiri wanavaaga simple tuu
Ipo wapi mkuuIle video ya ajali yake inasikitisha sana
Tusikimbie na magari wakuu
Swali zuriSauli wako wangapi wakuu, yule wavipodozi ndiyo huyu!
TofautiSauli wako wangapi wakuu, yule wavipodozi ndiyo huyu!
Tuishi kwa mazoea biashara ubadilika kwenye maisha usitegemee biashara mojaSGR itawafanya matajiri wengi wa mabasi kukata moto sana. Unakuta ana mkopo crdb bank, hati za majengo yake ziko bank, huku mabasi yanaondoka na abiria wawili.
Tutarajie makubwa
Aliyokula Kuku Wa Utajiri ?Kwamba mahindi yameisha?
UTAJIRI WA PUNJE ZA MAHINDI BANA!Tajiri wa mabasi ya Casablanca huku Kahama naye yalimkuta haya haya.
Jamii check tuthibitishieni hii taarifaTumepokea taarifa ya ajali ya gari ndogo ambapo mmiliki wa Mabasi ya kampuni ya Sauli Luxury Solomoni Mwalabhila amefariki dunia kwenye ajali hiyo. Tunatoa pole sana kwa Kampuni ya Sauli Luxury.
Ajari ya barabarani imeondoka na roho ya mmiliki wa mabasi ya Sauli Luxury siyo mbali sana na ilipopata ajari basi yake mapema mwaka huu Kibaha na kuwaka moto na yeye pia mmiliki ajari imemwondoa maeneo ya Mlandizi leo hii asubuhi akiwa na gari binafsi
Atakumbukwa kwa kuleta upinzani wa huduma na kufikisha abiria kwa haraka kampuni zake kwa wasafri wa nyanda za juu kusini.
Hasa kwa sisi wanazi wa Scania tutamkumbuka sana mwamba kwa kuziheshimisha Scania road.
Rest in peace Mwilabila Sauli