Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Hatari Sana SanaSijui aligonga nini Jeep imeisha aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari Sana SanaSijui aligonga nini Jeep imeisha aisee
Hatari Sana SanaSijui aligonga nini Jeep imeisha aisee
Solomon ni kiingereza na Sauli ni kiswahiliKwanini aliamua kuita SAULI na sio SOLOMON?
R.I.P bwana Solo
Kwani bado ipo hii kampuni si alipokonywa mabusKampuni ndo imeisha hivyo
Acha uongoSolomon ni kiingereza na Sauli ni kiswahili
Ukikua utayaelewa ya ulimwenguAjabu yake yanaelezwa utadhani yalishuhudiwa.
Ameacha.Tusaidie kujibu swali.Kwa nini Sauli na si Solomoni?Acha uongo
Nikikua au nikifa?Nikueje na miongo yangu minne pointi eight?Ukikua utayaelewa ya ulimwengu
HapanaPesa za masharti???
Konga yule alikuwa Sumbawanga au mwingine? Nae kafarikiDaaah huyo jamaa miaka ya nyuma pale Chunya alikuwa anapenda mashindano ya pikipiki na mwenzake Konga
Hakuna uagent wowote! Hao uliowataja ni matapeli tu wa mjini.Ma ajent wamejaa ,Mchek chief good love,manyaunyau
Kweli mkuu hii nimeamini aisee yaani hawana mambo mengi daahTajiri mjasiriamali hana makuu.
Sijui nani alimpotosha kuchukua scania kwa biashara za mabus.Basi zake mbili zilizobaki ndo zilikua zimetoka gereji kurekebishwa bodi,,bahati mbaya utajiri wa mtu mweusi akiondoka anaondoka nao.
Hii Mlandizi pana Shida, hata Tajiri wa Kisangani Spare parts Ajali
Sauli ni tajiri wa miaka mingi sana mkuu, sema amekuwa maarufu baada ya kununua mabasi.🤣🤣Aiseeeee
Anayesainisha mikataba anapatikana wapi?
Maana kheri tukasainishwe nasi tule bata japo mwaka mmoja.
Maana huyu mwamba kwa muda mfupi tu lakini alivuma sana.
Solomon = SulemaniAmeacha.Tusaidie kujibu swali.Kwa nini Sauli na si Solomoni?