Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sauli hakuwahi kua na uhaba wa abiria shida iliyokuepo sauli mabasi aliponyang'anywa akawa hana option yaan zile zile tupa geuka basi zikaanza kuchoka...mpaka gari zinaenda gereji bado jina lake lipo midomoni mwa watu na angerudi na moto ule ule jamaa kampuni yake mbeya inapendwa sana.Sijui nani alimpotosha kuchukua scania kwa biashara za mabus.
Biashara ya mabus ni kama ya bar wateja ni wale wale wakikuchoka wanahama
Sura ya Ankabut (29:57), inasema:Tumepokea taarifa ya ajali ya gari ndogo ambapo mmiliki wa Mabasi ya kampuni ya Sauli Luxury Solomoni Mwalabhila amefariki dunia kwenye ajali hiyo. Tunatoa pole sana kwa Kampuni ya Sauli Luxury.
Ajari ya barabarani imeondoka na roho ya mmiliki wa mabasi ya Sauli Luxury siyo mbali sana na ilipopata ajari basi yake mapema mwaka huu Kibaha na kuwaka moto na yeye pia mmiliki ajari imemwondoa maeneo ya Mlandizi leo hii asubuhi akiwa na gari binafsi
Atakumbukwa kwa kuleta upinzani wa huduma na kufikisha abiria kwa haraka kampuni zake kwa wasafri wa nyanda za juu kusini.
Hasa kwa sisi wanazi wa Scania tutamkumbuka sana mwamba kwa kuziheshimisha Scania road.
Rest in peace Mwilabila Sauli
Watanzania waliopo jamiiforums wana kiasi furani cha chuki kwa matajiri.Sauli ni tajiri wa miaka mingi sana mkuu, sema amekuwa maarufu baada ya kununua mabasi.
Sauli hakuwahi kua na uhaba wa abiria shida iliyokuepo sauli mabasi aliponyang'anywa akawa hana option yaan zile zile tupa geuka basi zikaanza kuchoka...mpaka gari zinaenda gereji bado jina lake lipo midomoni mwa watu na angerudi na moto ule ule jamaa kampuni yake mbeya inapendwa
Wengi humu wamemjuq kupitia mabasi, ila ni mtu ana miaka mingi nyuma hata kabla ya haya mambo ya punje za kuku hayapo. Halafu maskini akifa kwa ajali ni mapenzi ya Mungu ila tajiri akifa kwa ajali ni hela za manyoka... chuki kali sana hizi kwa matajiri mkuuWatanzania waliopo jamiiforums wana kiasi furani cha chuki kwa matajiri.
Tajiri akifa lazima wamtafutie neno, inaonyesha kutafuta pesa hatimaye kuzipata ni chukizo kwa baadhi ya watu.
Labda ameuunga mkono swali lako, hawa ni watu wawili tofauti kabisa. Mmoja wa tukuyu (S.H. AMON) na mwingine wa chunyaMimi numeuliza Sauli ndio S.H. Amon? Kuna mtu ananipa "like"
S.H Amon ni mwingine, huyo Sauli ni tajiri wa chunya kwenye madini hukoMimi numeuliza Sauli ndio S.H. Amon? Kuna mtu ananipa "like"
Nimeshangaa sana aisee,japo sijui historia yake ila nina hakika hata leo ndugu zake wakiweka basi barabarani lenye jina la hiyo kampuni atawapiga bao sana watu.Wengi humu wamemjuq kupitia mabasi, ila ni mtu ana miaka mingi nyuma hata kabla ya haya mambo ya punje za kuku hayapo. Halafu maskini akifa kwa ajali ni mapenzi ya Mungu ila tajiri akifa kwa ajali ni hela za manyoka... chuki kali sana hizi kwa matajiri mkuu
Ndiomana tunaongoza kuwa watu tusiokuwa na furaha sababu ya kuchukia maisha ya wengine na kuacha kufocus na yetu.!!Watanzania waliopo jamiiforums wana kiasi furani cha chuki kwa matajiri.
Tajiri akifa lazima wamtafutie neno, inaonyesha kutafuta pesa hatimaye kuzipata ni chukizo kwa baadhi ya watu.
Na Selemani kwa kiingereza ni nini?Solomon ni kiingereza na Sauli ni kiswahili
Alikua anapenda sana pikipiki ndo sababu hata kwenye Bus zake kulikua na sticker za pikipikDaaah huyo jamaa miaka ya nyuma pale Chunya alikuwa anapenda mashindano ya pikipiki na mwenzake Konga
UMenichekesha sana ila binaadamu wana katabia ka wivu its naturalWatanzania waliopo jamiiforums wana kiasi furani cha chuki kwa matajiri.
Tajiri akifa lazima wamtafutie neno, inaonyesha kutafuta pesa hatimaye kuzipata ni chukizo kwa baadhi ya watu.
Hohehahe bhana🤣🤣Aiseeeee
Anayesainisha mikataba anapatikana wapi?
Maana kheri tukasainishwe nasi tule bata japo mwaka mmoja.
Maana huyu mwamba kwa muda mfupi tu lakini alivuma sana.
Konga yuko pale pale Chunya Mjini.Konga yule alikuwa Sumbawanga au mwingine? Nae kafariki