Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona jinsi achimwene na new force wanavyoenda kutunyanyasa tena..
Watu wana chuki na matajiri kupita kiasi.UMenichekesha sana ila binaadamu wana katabia ka wivu its natural
Hahaaaaa sio huyo. Hao ni watu tofauti mkuu.Mimi numeuliza Sauli ndio S.H. Amon? Kuna mtu ananipa "like"
Hapo kweli lazima wakusumbue na wameona hela unayo lazima wakuchekeche kila hatuaSidhani kama hata kesi hiyo iliamuliwa mahakamani, nadhani zilitembezwa hongo tu kwa mapolisi kuua soo.
Familia yake vipi maana inasemekana alikuwa nao kwenye garILe gari ukiiangalia hata hujui imegongwa mbele ama nyuma maana kote nyan'ganyan'ga
Tumepokea taarifa ya ajali ya gari ndogo ambapo mmiliki wa Mabasi ya kampuni ya Sauli Luxury Solomoni Mwalabhila amefariki dunia kwenye ajali hiyo. Tunatoa pole sana kwa Kampuni ya Sauli Luxury.
Ajari ya barabarani imeondoka na roho ya mmiliki wa mabasi ya Sauli Luxury siyo mbali sana na ilipopata ajari basi yake mapema mwaka huu Kibaha na kuwaka moto na yeye pia mmiliki ajari imemwondoa maeneo ya Mlandizi leo hii asubuhi akiwa na gari binafsi
Atakumbukwa kwa kuleta upinzani wa huduma na kufikisha abiria kwa haraka kampuni zake kwa wasafri wa nyanda za juu kusini.
Hasa kwa sisi wanazi wa Scania tutamkumbuka sana mwamba kwa kuziheshimisha Scania road.
Rest in peace Mwilabila Sauli
Mimi numeuliza Sauli ndio S.H. Amon? Kuna mtu ananipa "like"
Wataamua lini mkuu?! Tunapoteza Nguvu Kazi NyingiHiv serikali haijawahi kuwaza kuipanua Morogoro road at kila mwaka km 30 tu...mwaka huu mnaishia mlandizi, ujao chalinze, ujao Bwawani, mwingine mikese, mwingine Morogoro...
Wamaweza ila hawajaamua tu
Mi pia nina mawazo kama ya kwako.Hiv serikali haijawahi kuwaza kuipanua Morogoro road at kila mwaka km 30 tu...mwaka huu mnaishia mlandizi, ujao chalinze, ujao Bwawani, mwingine mikese, mwingine Morogoro...
Wamaweza ila hawajaamua tu
Na hilo tukio sio moja, yupo rafiki yangu naye miezi kama mitatu hivi iliyopita gari yake ilidakwa ikitorosha madini.Hapo kweli lazima wakusumbue na wameona hela unayo lazima wakuchekeche kila hatua