TANZIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

TANZIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

Ndo maana matajiri wengine mkataba ukifika wanajipiga risasi au kujinyonga ili wasiende kuzimu kumalizia muda uliobakia,maana shetani achukui kibudu.
🤣🤣Aiseeeee
Anayesainisha mikataba anapatikana wapi?
Maana kheri tukasainishwe nasi tule bata japo mwaka mmoja.
Maana huyu mwamba kwa muda mfupi tu lakini alivuma sana.
 
Back
Top Bottom