TANZIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

TANZIA Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomoni Mwalabhila afariki dunia

`Madereva wote, najua kuna baadhi wamejiunga na JF ila mjitahidi kuwa makini barabarani, kosa dogo tu linaweza kusababisha kifo chako na abiria wenzako.

Ushauri wangu kwenu mtumie nguvu kubwa kuepuka kosa dogo.

Kuna makosa yanatokea nje ya uwezo wenu haya mna msamaha kwa mola.
 
`Madereva wote, najua kuna baadhi wamejiunga na JF ila mjitahidi kuwa makini barabarani, kosa dogo tu linaweza kusababisha kifo chako na abiria wenzako.

Ushauri wangu kwenu mtumie nguvu kubwa kuepuka kosa dogo.

Kuna makosa yanatokea nje ya uwezo wenu haya mna msamaha kwa mola.
Hii SGR isambae nchi nzima tu. Mimi njia ya Dar-Moro-Dom situmii tena bus au gari binafsi. It's too dangerous.
 
Afrika ni aibu tupu, watu wanakufa vifo vya ajabu ajabu tu. Leo hii mtu anagongwa na gari kizembe tu.
Serikali inapaswa kusimamia usalama hasa kwa madereva wasio na sifa.
Ajali nyingi ni za wazembe wasiojali maisha ya wengine.
 
View attachment 3061218
Alafu machine yenyewe ni kama jeep hivi ,zile wanasemaga usalama mia, Mungu amrehemu
Usalama mia wakati gari limepondeka namna hiyo? Kagongwa kwa nyuma na Fuso naye akaenda akaparamia lori la mchanga kwa mbele. Ila mtoto wake wa miaka minne katoka salama mbali na michubuko tu ya hapa na pale. Miujiza 🙏🏿

IMG-20240804-WA0136.jpg
IMG-20240804-WA0131.jpg
IMG-20240804-WA0130.jpg
IMG-20240804-WA0127.jpg
IMG-20240804-WA0128.jpg
 
Back
Top Bottom