peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
- Thread starter
- #21
Huyu bibi anatafuta fedha za kwenda kugombea ubunge kwao. Kila Senti Tano inayopita mbele yake ni halali yake.Watakwambia mama anaupigaa mwingi Wana wa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu bibi anatafuta fedha za kwenda kugombea ubunge kwao. Kila Senti Tano inayopita mbele yake ni halali yake.Watakwambia mama anaupigaa mwingi Wana wa ccm
PM Alisema eti nyumba za walimu ni 25m asee hadi unajiuliza ni kwamba yeye hajajenga au kujitoa ufahamu ila Siasa za Tanzania n ngumu sana.Laymen Wakiona 150 mil wanapagawa ni hela ndogo
Ukidadavua kitaaalamu hakuna hela hapo
Huwa namshangaa kasimu majaliwa kuingizwa mkenge kwenye hizi issue za kitaalam
kama vile ujenzi hufanywa na majini sio binadamu wanaotakiwa kulipwa na kupata faida pia
Weka BOQ hapo.Laymen Wakiona 150 mil wanapagawa ni hela ndogo
Ukidadavua kitaaalamu hakuna hela hapo
Huwa namshangaa kasimu majaliwa kuingizwa mkenge kwenye hizi issue za kitaalam
kama vile ujenzi hufanywa na majini sio binadamu wanaotakiwa kulipwa na kupata faida pia
Dogo jambo usilolijua likalie kimya. Kusema kwamba mbweni la watoto 80 kwa m. 150 umeonesha una uelewa mdogo sana wa mambo ya ujenzi wa mabweni. Ungeuliza kabla ya kupost.H
Tunaomba mchoro WA Hilo bweni!!
Cha kushangaza, kutakuwa hakuna vitanda Wala makabati Wala vyoo.
Mkandarasi aliyekuwa anajenga majengo ya serikali bila kiwango, kule mwanga DC , wakati bibi huyo akiwa DED, ndiye amehama naye anajenga tena soko la mbuyuni huko Moshi manispaa.
Mabweni yote ya shule za Serikali ya wakati huu yanabeba wanafunzi 80. Ni ya kisasa sana.150m inaweza kuwa gharama ya kawaida sana, sidhani kama kuna upigaji wa kutisha hapo. Muhimu utwekee michoro ili wajuvi wa kukadiria wakupe hesabu kamili. Ila 150m kwa watu 80 sidhani kama wamepiga.