TANZIA Mkurugenzi wa Quality Building Construction afariki dunia

TANZIA Mkurugenzi wa Quality Building Construction afariki dunia

Mkuu, jamaa yule ni mbishi na katu huwa hataki kuonekana yuko upande wa kushindwa. Nina uhakika hata kuwe na janga kubwa kabisa la vifo kuliko aonekane kushindwa ni bora watu waendelee kufa. Mimi nadhani ni ujinga kwa taifa zima kuogopa. Viongozi wengine wote na viongozi wa dini wakijitokeza na kusema ukweli hatakuwa na uwezo wa kumshughulikia kila mtu.
Utasubiri sana!
 
...Kwa hiyo in lile tu la kutaka wasionekane Kula Matapishi yao kwa kukiri tu kuwa 'Corona IPO na Inaua' ndio inawafanya Wakae kimya na Kuishia kusema kuwa Barakoa no Kwa ajili ya kukijikinga na Kifua Kikuu![emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15]
Kwani hawajasema kuwa covid ipo⁉️
 
Siku Pneumonia ya kisasa itakapomdondosha mtu gani sijui ndiyo watajua maana ya kuliambia taifa livae barakoa
Wewe na utuuzima wako unasubiri mtu aje akwambie uvae barakoa..una akili kweli...hujui zinapopatikana, hujui umuhim wake, hujui njia za kuepuka maambukizi mbalimbali...hivi unadhan Tanzania yetu Nani asiyeijua barakoa...sasa kuvaa napo mpaka uambiwe..huo ni ujinga sana
 
Siku Pneumonia ya kisasa itakapomdondosha mtu gani sijui ndiyo watajua maana ya kuliambia taifa livae barakoa
Mpaka waanze kudondoka viongozi wazito ndiyo utaona matamko kila kona.

Imagine kanisa katoliki walitoa tamko baada ya mapadri kadhaa kufariki wasingejisumbua kama wasingeguswa.
 
Magufuli anawadanganya kweli .Jamani kila mtu ana mwili na nafsi yake. Usivae barakoa eti kisa Magufuli kasema msivae. Vaeni Barakoa jamani. Maisha yalivyo matamu hivyo. Haiwezekani kufa kizembe. Barakoa navaa,mikono nanawa mara milion kwa siku. Kwenye pochi yangu haukosi Barakoa na Sanitizer.
 
...Kwa hiyo in lile tu la kutaka wasionekane Kula Matapishi yao kwa kukiri tu kuwa 'Corona IPO na Inaua' ndio inawafanya Wakae kimya na Kuishia kusema kuwa Barakoa no Kwa ajili ya kukijikinga na Kifua Kikuu![emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15]
Hawa ni wa "kunyonga" kwa sababu matamshi yao kama viongozi yatawaua wengi maana wanyonge watawasikiliza
 
Back
Top Bottom