Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Hii nchi ujinga ujinga mwingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasasa chukua tahadhari wewe na familia yako Corona ipo na inaua. achana na mambo ya websiteKwa hiyo Ile taarifa kwe website Yao aliiweka Nani? Au haikuwa website Yao?
Ebu waache upumbavu
Taarifa ipo kwenye website yao wenyewe! Hapo wamepigwa biti na kwahiyo wamelazimika kuikana taarifa yao!kwahiyo wale walevi taarifa wamezitoa wapi jaman[emoji15][emoji15][emoji15]
Leo ndo nimeamini serikali niliyoichagua na kuipigia debe kumbe kweli inaficha hili suala.I write to you this evening with an update.
As of this evening the Moshi campus has moved into campus quarantine until 1st February 2021. Whilst it remains that we have only one student who has tested positive for COVID-19, we now have a second student who is displaying symptoms which could be attributed to the coronavirus..
Ndio nashangaa mkuu, Boss wangu ana mtoto wa miaka 7 anasoma hapo ISM tokea juzi anakuja nae kazini wamefunga sababu ya coronaUkweli ni kuwa Corona ipo hapo Moshi International School, na shule imefungwa. Kuna mpwa wangu anasoma kwenye hiyo shule na jana jioni amerejea Dar akitokea moshi.
Kilichofanyika ni funika Kombe ili mwanaharamu apite.
Sasa kwanini wanaficha?Ukweli ni kuwa Corona ipo hapo Moshi International School, na shule imefungwa. Kuna mpwa wangu anasoma kwenye hiyo shule na jana jioni amerejea Dar akitokea moshi.
Kilichofanyika ni funika Kombe ili mwanaharamu apite.
Wewe unasimamia nini mkuu? Korona ipo? Haipo?Anakuja naye kazini ili aje awaambukize na nyinyi au?
Angalia post # 19Ungeweka hicho screen shot ya kipande kutoka tovuti ingependeza.
Kwa hiyo covid19 ipo eeh!“Wakati inabaki kuwa tuna mwanafunzi mmoja tu mwenye Covid-19, sasa tuna mwanafunzi wa pili ambaye anaonyesha dalili ambazo zinaweza kuhusishwa na virusi vya corona,” amesema Anna katika taarifa hiyo.
Hiyo si ndiyo Lockdown, au?Mkurugenzi huyo alifafanua kuwa wanafunzi wa kutwa watasoma kwa njia ya mtandao kutokea nyumbani na wale wa bweni watabaki katika mabweni yao na kwamba walimu wote watafanyia kazi wakitokea nyumbani.
huna cha kuniambia, ndugu Mimi naishi, Tanzania sipo ulaya, ko hari ya mtaani naitambua ikoje Na tunaishi vipi, Na hiyo covid itukuepo kwenu huko huko, Na kingine acha uzushi wa mambo usiyo yatambua, unaniadithia simulizi Za 2020 mwez wa 4,Kunijua hunijui wapi umeniona nimekusanyika hovyo? Na ni nani aliyekudanganya kwamba mimi sivai mask? 😳😳😳
huna cha kuniambia, ndugu Mimi naishi, Tanzania sipo ulaya, ko hari ya mtaani naitambua ikoje Na tunaishi vipi, Na hiyo covid itukuepo kwenu huko huko, Na kingine acha uzushi wa mambo usiyo yatambua, unaniadithia simulizi Za 2020 mwez wa 4,
Mkuu as the old adage goes "never urgue with a f**l"Kunijua hunijui wapi umeniona nimekusanyika hovyo? Na ni nani aliyekudanganya kwamba mimi sivai mask? 😳😳😳
Mi naona tu waungwana wakijificha katika shamba la karanga.View attachment 1682766
Moshi. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amekanusha taarifa zilizosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu kufungwa kwa shule ya International School Moshi (ISM) kwa madai ya mwanafunzi mmoja kukutwa na maambukizi ya ugonjwa wa Corona....
Wapumbavu kama wewe ni tatizo kubwa sana nchini. Wasted sperm. SAD!
Lakini wao wameshaagiza kwa siri na kupiga hizo chanjo.Halafu nakuhakikishia kuwa Tanzania itakataa chanjo ya COVID-19![emoji124][emoji124][emoji124]