Mkurugenzi wa TBC Bw. Tido Mhando umechemka BIG TIME!!

Mkurugenzi wa TBC Bw. Tido Mhando umechemka BIG TIME!!

Hivi jamani kwani akina ITV, STAR TV, Channel 10 na.k.hawawezi kuonyesha kwa kupitia tv za nchi nyingine kama CFI?
 
Kweli inasikitisha sana! Huu upuuzi wa TBC si wa kutetewa, issue ni simple tu kwa nini wawastukize wananchi kununua hicho king'amuzi ambacho hata Kibaha hikifiki?

I guess sababu ya kupeleka matangazo ya WC channel ya pili ni opportunity nzuri ya kuuza sasa hivi. Hizi decoder haziwezi kupata wateja wengi kama hakuna kitu cha ziada, maana kuna Easy TV nao wana decoder na inacover almost all locals channels contrary to hii yenye channel tatu tu za local (TBC1&2 na Channel 10)
 
kumekucha jamani macho yote bondeni....tutaona hata kama ni bure,kulipia tutaona tu!!!
 
Masikini Watanzania wa Nyerere kila kukicha wanaganganywa hadi hawajui kabisa nani anasema ukweli
 
Kwa mimi yote sawa tu,
sipendi bungew wala soka, naon ayanapoteza muda tu wa tamthiliya zetu za kulia lia

Haika naona umeonegelea wengi wenzako wanaochefuliwa na mipira mipira hii....
 
Kilichoniuzi kwenye ufunguzi ule ni pamoja na Bwn. Bendera kutukana Watanzania kwa kuwaita MIJITU, hakuwa na sababu ya kusema vile angetoa lugha za kistaarabu tu angeeleweka, natamani wananchi wake wa Korogwe wamsikie ili akalie kuti kavu
 
Nadhani wale wanaolalamika wengi wao ni wanasiasa. Kwa mchumi, ataugulia ndani tu na kukubali matokeo. Pia matangazo ya redio si yatarushwa?
 
Above all, binafsi naona vikao vya Bunge havina kitu kipya, ni bora watanzania tuangalie michuano ya Kombe la Dunia kuliko "kupoteza muda" kuangalia vikao vya Bunge.

hapa tu,ndo nakuunga mkono kabsaaaaa.......
 
Naamini wale walokole ndo wanao ona kichefu chefu lakini wale mabingwa wa totoz hapo ndo pakutokea home unaaga unaenda kuangalia mpira bar maana hakuna local chanel itakayo onyesha lazima ufunge safari bar na kitu chako moto au baridi naamini wengi wananiunga mkono lakini hawataki kuweka wazi walio wengi ni fraha kwao wachache ndo huzuni.

Fidel80 naona mada hii waichukulia kimzahamzaha, tunachokiangalia hapa ni mambo makuu 2 amabayo TBC kiukweli wamechemka!
1. Kuwadanganya watz kuwa wataonesha
2. Kutokutoa taarifa mapema ili watu kujiandaa
3. Kutaka kuuza king'amuzi ambacho hakina uwezo wa kufika mbali

Sura hii ya TBC inaeleweka tu kuwa ni zile za kifasadi, kwani si tumezizoea?
 
I guess sababu ya kupeleka matangazo ya WC channel ya pili ni opportunity nzuri ya kuuza sasa hivi. Hizi decoder haziwezi kupata wateja wengi kama hakuna kitu cha ziada, maana kuna Easy TV nao wana decoder na inacover almost all locals channels contrary to hii yenye channel tatu tu za local (TBC1&2 na Channel 10)

...Naangalia options muda huu wa majeruhi! Mkuu hebu tupe tarakimu kuhusu hawa EasyTV. Shiing' ngapi?
 
Msilalamike sana jamani. Huu ni mwaka wa uchaguzi, na ninawaambia kuwa hii ni moja ya strategy za kuvutia kura, nyie tulalamikee, iki-heat sana JK atatangaza kwenye hiyohiyo TBC kuwa serikali imeamua kurusha matangazo ya mpira bure ili wananchi wajifunze toka kwa wenzetu, halafu tutarukaruka na kusema JK oyeee! October kura zetu zooooote kwa CCM.

YUO wrote like a genius! Hivyo ndivyo itakavyokuwa. Don't buy those shit! Hawa watu wataonyesha mpira kama walivyo ahidi, achana na hiyo midecoder Mdabwada. Lipia DSTV access ($10) aur Family ($20) zina mengi kuliko hizo decoder. Mpira utaupata kupitia TBC, Kenya TV nk.
Muungwana atakuja na hilo mzee , halafu watakwambia CCM imedhamini!!!!
 
YUO wrote like a genius! Hivyo ndivyo itakavyokuwa. Don't buy those shit! Hawa watu wataonyesha mpira kama walivyo ahidi, achana na hiyo midecoder Mdabwada. Lipia DSTV access ($10) aur Family ($20) zina mengi kuliko hizo decoder. Mpira utaupata kupitia TBC, Kenya TV nk.
Muungwana atakuja na hilo mzee , halafu watakwambia CCM imedhamini!!!!

...Wakuu, hakuna lolote ambalo mmesikia sikia huko la Mkuu wa Kaya kuingilia kati ili sisi tusiokuwa na Ubavu wa kununua madecorder na madishi na manini tena sijui tuone WC?
 
...Kwenye habari za michezo za taarifa ya habari ya TBC saa mbili usiku leo, mtangazaji amesema, nanukuu, "mechi hizo za World Cup zitawajia moja kwa moja kupitia TBC One na TBC 2!" Hii ni kweli ama limemtoka tu Mtangazaji????
 
poleni sana watz wenzangu,hapa nilipo nina choice zaidi ya moja kuangalia world cup,bila kulipia,on digital HD broadcast.......bureeeee i.e tv ya taifa.....as it is supposed to be!!!!!
 
poleni sana watz wenzangu,hapa nilipo nina choice zaidi ya moja kuangalia world cup,bila kulipia,on digital HD broadcast.......bureeeee i.e tv ya taifa.....as it is supposed to be!!!!!
Na 3D vile vile kama utataka!.
 
wandugu hao tbc wataonyesha leo WC??ufunguzi just 3 hrs away....................
 
mchangiaji mmmoja amekosea kusema kuwa wana ruzuku kutoka serikalini sio ruzuku ni fedha zetu tulizowapa
 
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote!
Inakuwaje watu wanaona kichefuchefu kuangalia mjadala unaohusu nchi yao na kusisitiza TV
ya Taifa ioneshe MECHI na kuachana na Bunge! Nina wasiwasi hata wabunge wanaomba kuwekewa TBC2 Bungeni
wacheki mechi wakati Bunge llikiendelea!!!! Mwe.
 
Back
Top Bottom