Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Bw. Mahera amewaonya wasimamizi wa uchaguzi ambao wameficha barua za uteuzi za wagombea wa ubunge na udiwani ambao walishinda rufaa zao kwa sababu majina na picha zao zitakuwepo kwenye karatasi za wangombea halali wa uchaguzi.
Hivyo amewaangiza wasimamizi wa uchaguzi wakabidhi barua hizo kwa wagombea ili waendelee na kampeni kuomba ridhaa kwa wananchi kwa nafasi walizoomba.
Chanzo: Taarifa ya habari ITV saa mbili usiku.
Swali: Je, Tume ya Uchaguzi haina mamlaka kamili ya kuwadhibiti na kuwasimamia wasimamizi wa uchaguzi?
Hivyo amewaangiza wasimamizi wa uchaguzi wakabidhi barua hizo kwa wagombea ili waendelee na kampeni kuomba ridhaa kwa wananchi kwa nafasi walizoomba.
Chanzo: Taarifa ya habari ITV saa mbili usiku.
Swali: Je, Tume ya Uchaguzi haina mamlaka kamili ya kuwadhibiti na kuwasimamia wasimamizi wa uchaguzi?