Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,416
Yaani huyo Mkurugenzi alivyo fala, waliyoyaongea faragha akiwa na team ccm, yeye ameyaleta nuruni. Kweli Mungu hamfichi mnafiki.Mungu wangu sio kwa kujisahau huku ...hii evidence mambo yakienda vibaya itamuweka pabaya mno...
Bila kutaraji kajionesha rangi zake halisi
Mwezi wa kumi mwishoni lazima tufanye tohara.Tume ya kulinda chama tawala na kuwakandamiza/kuwadhibiti Wapinzani.
Ndio anazidi kujianika upopoma wakeNaona kapania kupambana na Lissu.
Huyi Mkurugenzi anatupangia kile tunacho paswa kukisikia au yeye yupo kwa ajili ya kumpigia kampeni mgombea anaye ongelea hayo anayo yasema yeye!?Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, amesema watanzania wanataka Afya iliyoimarika, barabara nzuri, miradi ya umeme, elimu bora hawataki blah! Blah!
Amesema watanzania hawataki viongozi watakaochukua madini yao na kwenda kuyauza kwa wageni nje, watanzania wanataka viongozi watakaotetea madini yao
Ameyasema hayo alipokuwa anazungumza kumuandikia barua Tundu Lissu ili kutoa maelezo dhidi ya tuhuma za uongo anazotuhumiwa kuzitoa
Amesema Tundu Lissu amekuwa akitangaza matusi, tuhuma na kudanganya wafanyakazi badala ya kutangaza sera
==
YALIYOZUNGUMZWA KWENYE VIDEO YA MKURUGENZI WA UCHAGUZI NEC
Kwa mamlaka ya kisheria Tume iliyonayo, tayari imemuandikia Barua Mh. Tundu Lissu ya kumuita katika Kamati ya Maadili ya Kitaifa ili aje kutoa maelezo na ushahidi wa kile alichokisema katika mkutano wake huko Musoma.
Kwa mara nyengine tena Tume inawasihi Wagombea wa Vyama vyote kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi ili kulinda amani ya nchi yetu, katika kipindi cha kampeni kilichobaki kwa kujali muda wa kampeni, ratiba za kampeni na kuepuka matusi, sababu unatumia muda mwingi kutangaza matusi badala ya kutangaza sera, unatumia muda mwingi kutangaza tuhuma badala ya kutangaza sera, unatumia muda mwingi kuwadanganya Watanzania na wafanyakazi badala ya kutangaza sera.
Watanzania sasa hivi wanataka Afya iliyoimarika, Watanzania sasa hivi wanataka barabara nzuri, Watanzania sasa hivi wanataka miradi ya umeme, Watanzania sasa hivi wanataka elimu bora, Watanzania hawataki bra bra. Watanzania sasa hivi wanataka viongozi ambao watalinda madini yao, sio viongozi watakaokuja kuchukua madini yao na kupeleka kwa wageni nje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkurugenzi wa uchanguzi hana mamlaka ya kutudemea Watanzania, hatujamtuma atusemee mahala popote.
Sijui watanzania wanataka umeme yeye yanamuhusu nini, sisi tulimwambia lini, wapi na tulimwambia kam nani?
Aache kihetehere.
Kwan ivyo alivyo vitaja Tundulisu hawez vifanya kama Rais mbona coment zenu zinaonesha kama Vitu ivyo ni Magufuli ndie anae Zungumziwa vip Tundulisu Hana sifa izo???Huyu mkurugenzi mkuu wa NEC anaitisha vyombo vya habari na kusema eti watanzania wanataka mtu atakayelinda madini yao, atakayewajengea vituo vya afya, atakayewajengea mabarabara, atakayewaletea umeme. Kwani haya yanaihusu NEC?
Mkurugenzi wa NEC anaposema kuwa watanzania hawataki mtu atakayetorosha madini nje, kwani inaihusu nini NEC?
Kweli nimeamini hawa NEC siyo wa kuwachekea hata kidogo. Hata hii engua ya wagombea wa upinzani inafanywa kimkakati na inaonekana wazi wazi.
Magufuli amevuruga mifumo mingi huru ya maamuzi. Hii nchi inakoelekea siko hata kidogo.
View attachment 1583150
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKEMkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, amesema watanzania wanataka Afya iliyoimarika, barabara nzuri, miradi ya umeme, elimu bora hawataki blah! Blah!
Amesema watanzania hawataki viongozi watakaochukua madini yao na kwenda kuyauza kwa wageni nje, watanzania wanataka viongozi watakaotetea madini yao
Ameyasema hayo alipokuwa anazungumza kumuandikia barua Tundu Lissu ili kutoa maelezo dhidi ya tuhuma za uongo anazotuhumiwa kuzitoa
Amesema Tundu Lissu amekuwa akitangaza matusi, tuhuma na kudanganya wafanyakazi badala ya kutangaza sera
==
YALIYOZUNGUMZWA KWENYE VIDEO YA MKURUGENZI WA UCHAGUZI NEC
Kwa mamlaka ya kisheria Tume iliyonayo, tayari imemuandikia Barua Mh. Tundu Lissu ya kumuita katika Kamati ya Maadili ya Kitaifa ili aje kutoa maelezo na ushahidi wa kile alichokisema katika mkutano wake huko Musoma.
Kwa mara nyengine tena Tume inawasihi Wagombea wa Vyama vyote kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi ili kulinda amani ya nchi yetu, katika kipindi cha kampeni kilichobaki kwa kujali muda wa kampeni, ratiba za kampeni na kuepuka matusi, sababu unatumia muda mwingi kutangaza matusi badala ya kutangaza sera, unatumia muda mwingi kutangaza tuhuma badala ya kutangaza sera, unatumia muda mwingi kuwadanganya Watanzania na wafanyakazi badala ya kutangaza sera.
Watanzania sasa hivi wanataka Afya iliyoimarika, Watanzania sasa hivi wanataka barabara nzuri, Watanzania sasa hivi wanataka miradi ya umeme, Watanzania sasa hivi wanataka elimu bora, Watanzania hawataki bra bra. Watanzania sasa hivi wanataka viongozi ambao watalinda madini yao, sio viongozi watakaokuja kuchukua madini yao na kupeleka kwa wageni nje.
Yaani jiwe limesagwa sagwa likasagika Hadi limeomba likizo ya siku tano kimya bila kampeni.
Inatakiwa kwanza Katiba mpya ndani yake ikiwa ina tume huru ya uchaguzi ndio suruhisho la kelele za uchaguzi mkuu.Ndio sababu wananchi wengi wanataka kuwepo na Tume Huru ya Uchaguzi. Tume ambayo itatoa haki kwa vyama vyote.
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
MKURUGENZI WA UCHAGUZI AONDOKE
HATUFAI
Huyu hajui Job description yake mbona anafanya kazi ya polepoleKwani huyo mkurugenzi anagombea urais kupitia chama gani? Watanzania tuna masikio, hayo matusi ya Lissu anasikia peke yake tu?
Hivi kusema mwenzio ni kibaraka wa wale unawaomba msaada ni sera hiyo? Au kusema askari wetu huwa hakosi shabaha nayo ni sera?Lissu ajikite kwenye sera sio vibweka
Vibweka vipo chama mboga mboga na mifumo, mbeleko ya mbogamboga.Lissu ajikite kwenye sera sio vibweka
Duuuu! Mkuu kuna sehemu umetelezaYani mnatetea mtu anaetaka kuweka rehani ardhi yetu? Unajidai upo deep kumbe umejaza manyoya tu kichwani. Mkiona hamuwezi kuisapoti CCM bora mkae kimya kuliko kutetea uovu.